Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Hujui kufananisna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TPDF kuna idara ya upelelezi wa ndani na upelelezi wa nje, Kwa ufupi nje hupelekwa wafanyabiashara kama kawaida au bloggers, au madreva malori, ndani ndio hubakia bodaboda, malaya, walimu, manesi, makuli, mafundi ujenzi na kadhalika na askari hufanya kazi Kwa weledi haijalishi ana rank gani ya cheo, ( MI) , ulinzi wa nchi sio lelemama hadi wauza mkaa wapo, na kila jeshi kuanzia polisi, uhamiaji, magereza, zimamoto, na kadhalika wote hao wana vitengo vya intelijensia na hubadirishana taarifa inapobidi hadi kwenye mashirika ya umma kote hao wapoKapteni wa Jeshi anayeuza Madafu.
Tumuulize ChoiceVariableNi yeye huyo huyo.
Lakini, Je, maigizo ya namna hii yana faida gani kwa uchumi wa nchi na Wananchi wake?
Niki vipi mjini kibahaHujui kufananisna
Mm sio NikiNiki vipi mjini kibaha
Bodaboda piaUsisahau na machinga wenye kutembeza vitu mtaani.
Kwa ufupi Nchi iko salama 7/24 Hrs
Labda ni Kama majaliwa wa Precision
Wakati wa mfungo wa ramadhan raisi Samia aliandaa iftar ikulu wakatafutwa wauza madafu vijana zaidi ya watatu wanaenda kywanjibgea madafu waalikwa.Alikuwa anauza madafu lini..
Atakuwa ni yeye. Siyo kwa uvaaji huo wa Beenie hats zinazofanana kila kitu kimuonekano in wildly different situations
😆😆😆😆😆😆Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.
Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.
Wapo waliohoji maigizo yale yalikua na haja gani,basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.
Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakua na jibu lake!
Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?
View attachment 2974798View attachment 2974799
View attachment 2974800
Kwa mtazamo wa haraka-haraka utaona kama hakuna faida yeyote ... lakini ukizingatia hoja ya nchi kuwa kwenye Usalama, Amani na Utengamano utagundua kwamba huyo jamaa alikuwepo hapo kwa kazi maalum na sio kuuza madafu. Kuuza madafu ilikuwa ni kuhalalisha uwepo wake hapo na kuwapoteza malengo wanoko endapo walikuwepo. Hilo lilikuwa ni Mkakati maalum. Si umeona watu mwanzoni walihoji na kukomenti eti kuuza madafu Ikulu ni kuidhalilisha nchi? Labda kwa sasa watakuwa wamepata mwanga.Ni yeye huyo huyo.
Lakini, Je, maigizo ya namna hii yana faida gani kwa uchumi wa nchi na Wananchi wake?
Umenikumbusha maigizo ya mchoma mahindi alipomuuzia Magu hindi la kucoma kule Dumila, naye akalila hadharani huku walinzi wake wakimtazama tu!!Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.
Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.
Wapo waliohoji maigizo yale yalikuwa na haja gani, basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.
Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakuwa na jibu lake!
Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?
View attachment 2974869
View attachment 2974798
View attachment 2974800