Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Kapteni wa Jeshi anayeuza Madafu.
TPDF kuna idara ya upelelezi wa ndani na upelelezi wa nje, Kwa ufupi nje hupelekwa wafanyabiashara kama kawaida au bloggers, au madreva malori, ndani ndio hubakia bodaboda, malaya, walimu, manesi, makuli, mafundi ujenzi na kadhalika na askari hufanya kazi Kwa weledi haijalishi ana rank gani ya cheo, ( MI) , ulinzi wa nchi sio lelemama hadi wauza mkaa wapo, na kila jeshi kuanzia polisi, uhamiaji, magereza, zimamoto, na kadhalika wote hao wana vitengo vya intelijensia na hubadirishana taarifa inapobidi hadi kwenye mashirika ya umma kote hao wapo
 
1C0302B4-C4B6-4294-9759-C336A10F170D.png


 
Alikuwa anauza madafu lini..
Wakati wa mfungo wa ramadhan raisi Samia aliandaa iftar ikulu wakatafutwa wauza madafu vijana zaidi ya watatu wanaenda kywanjibgea madafu waalikwa.
Kisha zikatoea picha raisi kapita walipo kawasalimia na kuwakaribisha Ikulu.
 
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.

Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.

Wapo waliohoji maigizo yale yalikua na haja gani,basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.

Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakua na jibu lake!

Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

View attachment 2974798View attachment 2974799

View attachment 2974800
😆😆😆😆😆😆
 
Ni yeye huyo huyo.
Lakini, Je, maigizo ya namna hii yana faida gani kwa uchumi wa nchi na Wananchi wake?
Kwa mtazamo wa haraka-haraka utaona kama hakuna faida yeyote ... lakini ukizingatia hoja ya nchi kuwa kwenye Usalama, Amani na Utengamano utagundua kwamba huyo jamaa alikuwepo hapo kwa kazi maalum na sio kuuza madafu. Kuuza madafu ilikuwa ni kuhalalisha uwepo wake hapo na kuwapoteza malengo wanoko endapo walikuwepo. Hilo lilikuwa ni Mkakati maalum. Si umeona watu mwanzoni walihoji na kukomenti eti kuuza madafu Ikulu ni kuidhalilisha nchi? Labda kwa sasa watakuwa wamepata mwanga.
 
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.

Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.

Wapo waliohoji maigizo yale yalikuwa na haja gani, basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.

Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakuwa na jibu lake!

Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

View attachment 2974869

View attachment 2974798

View attachment 2974800
Umenikumbusha maigizo ya mchoma mahindi alipomuuzia Magu hindi la kucoma kule Dumila, naye akalila hadharani huku walinzi wake wakimtazama tu!!
 
Back
Top Bottom