TPDF kuna idara ya upelelezi wa ndani na upelelezi wa nje, Kwa ufupi nje hupelekwa wafanyabiashara kama kawaida au bloggers, au madreva malori, ndani ndio hubakia bodaboda, malaya, walimu, manesi, makuli, mafundi ujenzi na kadhalika na askari hufanya kazi Kwa weledi haijalishi ana rank gani ya cheo, ( MI) , ulinzi wa nchi sio lelemama hadi wauza mkaa wapo, na kila jeshi kuanzia polisi, uhamiaji, magereza, zimamoto, na kadhalika wote hao wana vitengo vya intelijensia na hubadirishana taarifa inapobidi hadi kwenye mashirika ya umma kote hao wapo