Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

TPDF kuna idara ya upelelezi wa ndani na upelelezi wa nje, Kwa ufupi nje hupelekwa wafanyabiashara kama kawaida au bloggers, au madreva malori, ndani ndio hubakia bodaboda, malaya, walimu, manesi, makuli, mafundi ujenzi na kadhalika na askari hufanya kazi Kwa weledi haijalishi ana rank gani ya cheo, ( MI) , ulinzi wa nchi sio lelemama hadi wauza mkaa wapo, na kila jeshi kuanzia polisi, uhamiaji, magereza, zimamoto, na kadhalika wote hao wana vitengo vya intelijensia na hubadirishana taarifa inapobidi hadi kwenye mashirika ya umma kote hao wapo
Ila sijui kwanini MI huwa hawaziamini sana taarifa za ma TI.
 
Kuna vitu vingine sometimes ni vya Kitoto na huwa tunapotezeana tu muda Kuvijadili hapa Jukwaani. Hivi kabisa kuna Mtanzania ambaye aliamini kuwa wale Wauza Madafu ni Wauza Madafu kweli na siyo Watu wa Mfumo na Medani za Kivita? Kwahiyo sasa mnavyomshangaa huyo sijui Muuza Madafu hayo mliyemuona kwaniyo labda nyie mnaomshangaa huyo Jamaa mlitaka Rais alindwe na nani labda ili mridhike?

Ni mara ngapi hapa JamiiForums Wabobezi na haya Masuala huwa wanawapeni Elimu Kubwa juu ya Masuala mazima ya Ulinzi wa Viongozi / Marais? Yaani kabisa kwa jinsi Watanzania sasa Walivyochanganyikiwa na Maisha magumu kweli Idara ya TISS kupitia PSU iachie tu Watu wa Kawaida na hata Wasiowajua wamsogelee Rais wa nchi ili pengine wazimalizie Hasira zao Kwake?
 
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.

Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.

Wapo waliohoji maigizo yale yalikuwa na haja gani, basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.

Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakuwa na jibu lake!

Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

View attachment 2974869

View attachment 2974798

View attachment 2974800
Hivi vinchi vyetu tunajitafuta kwakweli
Hivi na huko marekani ulaya, Israel, iran na japan au china makondo wao tena captain kabisa wanawafanyia km hawa wetu huku.
 
😂😂😂

20240426_225249.jpg
 
TPDF kuna idara ya upelelezi wa ndani na upelelezi wa nje, Kwa ufupi nje hupelekwa wafanyabiashara kama kawaida au bloggers, au madreva malori, ndani ndio hubakia bodaboda, malaya, walimu, manesi, makuli, mafundi ujenzi na kadhalika na askari hufanya kazi Kwa weledi haijalishi ana rank gani ya cheo, ( MI) , ulinzi wa nchi sio lelemama hadi wauza mkaa wapo, na kila jeshi kuanzia polisi, uhamiaji, magereza, zimamoto, na kadhalika wote hao wana vitengo vya intelijensia na hubadirishana taarifa inapobidi hadi kwenye mashirika ya umma kote hao wapo
hadi zimamoto ni jeshi linalohitaji intelijensia, kwenye nini sasa? kutafuta nyumba inayoungua au waliotumbukia kwenye choo? au nini. just curious.
 
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.

Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.

Wapo waliohoji maigizo yale yalikuwa na haja gani, basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.

Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakuwa na jibu lake!

Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

View attachment 2974869

View attachment 2974798

View attachment 2974800

Nchi yetu ina ulinzi imara sana duniani, kuweni makini sana, hata Jay One usimwamini..!! Tanzania iko salama sana
 
Back
Top Bottom