Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.

Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.

Wapo waliohoji maigizo yale yalikuwa na haja gani, basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.

Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakuwa na jibu lake!

Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

View attachment 2974869

View attachment 2974798

View attachment 2974800
Hata ka Rais Jiwe kalishawahi kula mahindi ya kuchoma pale Dumila!
 
Hii nchi, kwamba hapo walikua wanawahadaa wananchi wapumbavu wapiga kura wa ccm wahongwa khanga, kofia, tshirt na chumvi kwamba ikulu ni yao wote🤣
 
Ni yeye huyo huyo.
Lakini, Je, maigizo ya namna hii yana faida gani kwa uchumi wa nchi na Wananchi wake?
kama kweli ni yeye sijui kwanini watu wanasema ni maigizo. hii ni ishara kwamba nchi ina intelijensia popote, hata mataifa mengine wajue kuwa tupo macho.
 
Jamaa wote wa kigoma hao, leo ngoma imefunguka wazi kumbe jamaa ni komando kabisa
ndio ujichanganye umzulumu dafu lake hapo usimlaumu mtu. nilishawahi shuhudia msukuma tololi hapahapa dsm akimkanda mtu, wanaume kama watano walisogea kuamulia walishindwa.
 
Nchi yetu ina ulinzi imara sana duniani, kuweni makini sana, hata Jay One usimwamini..!! Tanzania iko salama sana
Hata wenye Jammie For Harm siyo wa kuwaamini kiviilee. Na hakunaga mkate mgumu kwa chai.
 
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.

Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.

Wapo waliohoji maigizo yale yalikuwa na haja gani, basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.

Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakuwa na jibu lake!

Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

View attachment 2974869

View attachment 2974798

View attachment 2974800
TAARIFA

Tarehe 26/04/2024 kupitia mitandao ya kijamii zilionekana picha za Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania akifananishwa na muuza madafu aliyewahi kuuza madafu ndani ya Ikulu wakati wa futari iliyoandaliwa na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Komredi, Mheshimiwa, Dokta, Mama rais Samia Suluhu Hassan.

Picha hizo zilizua taharuku kwa wanamchi wanyonge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kupelekea kutoelewa kama waiamini Serikali yao au lah. Jeshi la Polisi linapenda kwanza kusikitishwa na picha hizi zikihusishwa na mtu mmoja, badala ya watu wawili tofauti. Pia Jeshi la Polisi linapenda kuwakumbusha wananchi wanyonge wa Jamhuri ya Muunganobwa Tanzania kwamba duniani ni wawili wawili.

Jeshi la Polisi linamtaka aliyesambaza picha hizo mitandaoni akizisindikizia na habari kujisalimisha kituo chochote cha Polisi kilicho karibu naye ili Jeshi la Polisi liweze kumuelewesha kwa amani na upendo kama zilivyo tunu zetu.

Ahsanteni sana
 
Ili mtaani tuheshimiane tu hata kama Kila mmoja ana changamoto zake za ugumu wa maish.
 
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.

Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.

Wapo waliohoji maigizo yale yalikuwa na haja gani, basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.

Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakuwa na jibu lake!

Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

View attachment 2974869

View attachment 2974798

View attachment 2974800
CCM Chama cha Mataahira
 
TAARIFA

Tarehe 26/04/2024 kupitia mitandao ya kijamii zilionekana picha za Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania akifananishwa na muuza madafu aliywahi kuuza madafu ndani ya Ikulu wakati wa futari iliyoandaliwa na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Komredi, Mheshimiwa, Dokta, Mama rais Damia Suluhu Hassan.

Picha hizo zilizua taharuku kwa wanamchi wanyonge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kupelekea kutoelewa kama waiamini serioali yao au lah. Jeshi la Polisi linapenda kwanza kusikitishwa na picha hizi zikihusishwa na mtu mmoja, badala ya wawili tofauti. Pia Jeshi la Polisi linapenda kuwakumbusha wananchi wanyonge wa Jamhuri ya Muunganobwa Tanzania kwamba duniani ni wawili wawili.ppli

Jeshi la Polisi linamtaka aliyesambaza hizo mitandaoni akizisindikizia na habari kujisalimisha kituo chochote cha Polisi kilicho karibu naye ili Jeshi la Polisi liweze kumuelewesha kwa amani na upendo kama zilivyo tunu zetu.

Ahsanteni sana
Huu upumbavu wa jeshi la policcm utaisha lini?
 
Screenshot_20240426-231713.jpg
 
Back
Top Bottom