BonventureSr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2023
- 879
- 1,432
Namwambiaga huyu hasikii.Atakujibu sasa hiviWewe nae kama lijinga utadhani humu ndani ccm ni peke yako..
Aliyekwambia ukiwa ccm lazima useme uongo ni nani..?
Acha kudhalilisha chama kwani ikiwa imejulikana kuwa ni yeye au siyo yeye inaathiri sipi za ziada kwa serikali na mifumo yake ya ulinzi.
Mwanume gani unakuwa na shobo za hovyohovyo hivi.