Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Commando hawana maajabu yeyote, mpiganaji wa MMA anaweza kumtandika vizuri tu commando tena akakimbia.
Sasa usizungumzie commando wetu ambao tunakutanana nao bar wanavuta sigara na kunywa pombe🤣😂🤣😂 ndio kituko kabisa.
Mbona umeenda mbali sana!!

Huwezi kabisa kulinganisha uwezo wa kupigana wa MMA fighter na mwanajeshi wa special forces.

Kwa ambao hawajui, wanaweza kubisha kwa sababu wameaminishwa kuwa commando ni species tofauti na sisi.

Lakini kwa wanaojua, MMA fighters ni habari nyingine kabisa.

In a street fight, hata raia tu wa kawaida asiye muoga anamchakaza kabisa commando.

Kinachowapa jeuri hao wanajeshi, ni silaha za moto tu.

Hand to hand combat ni habari nyingine kabisa yenye variables nyingi tu.
 
Commando hawana maajabu yeyote, mpiganaji wa MMA anaweza kumtandika vizuri tu commando tena akakimbia.
Sasa usizungumzie commando wetu ambao tunakutanana nao bar wanavuta sigara na kunywa pombe🤣😂🤣😂 ndio kituko kabisa.
Jidanganye najua hadi unaandika MMA unaelewa ina maana gani ila kitabu cha wazee mwanzoni tu kimeandikwa THESE MEN ARE LEARNING KILLING SKILLS NOT SPORT sasa sijajua kama MMA nayo ni killing skill ila kwa ufupi sana imo ndani ya mtaala kwasababu hao wana martial arts kadhaa ndani yake kitu kama judo, karate, kick boxing na boxing na tae Kwon do usisahau.

MMA fighter yeye ana practice kwa ajili ya competition tu japo si kila CDO yupo active kwa kila sanaa.


PAIN IS MY MEDICINE.
 
Mbona umeenda mbali sana!!

Huwezi kabisa kulinganisha uwezo wa kupigana wa MMA fighter na mwanajeshi wa special forces.

Kwa ambao hawajui, wanaweza kubisha kwa sababu wameaminishwa kuwa commando ni species tofauti na sisi.

Lakini kwa wanaojua, MMA fighters ni habari nyingine kabisa.

In a street fight, hata raia tu wa kawaida asiye muoga anamchakaza kabisa commando.

Kinachowapa jeuri hao wanajeshi, ni silaha za moto tu.

Hand to hand combat ni habari nyingine kabisa yenye variables nyingi tu.
Kwani Nyani Ngabu naomba niulize kitu huyo askari wa SF anafunzwa MMA au Hand to hand to combat? Na upi utofauti baina ya hizo sanaa?
 
Mimi leo nimemuona nikasema huyu si jamaa wa madafu? Nikatafuta kama kuna thread ya yanayojiri maadhimisho ya Muungano niseme hilo nikaikosa nikakaa kimya.

Jamaa tokea namuona siku ya kwanza ile fitness haikuwa ya kawaida.
Nifah kwani kama mtu ni Cpt. tena SF kwani shida nini? Mbona Tz vitu easy mnapenda kukuza sana? Kwa hali ya kawaida tu CiC kumsogelea siyo rahisi sasa kipi cha ajabu msipende kukuza mambo.
 
Mbona umeenda mbali sana!!

Huwezi kabisa kulinganisha uwezo wa kupigana wa MMA fighter na mwanajeshi wa special forces.

Kwa ambao hawajui, wanaweza kubisha kwa sababu wameaminishwa kuwa commando ni species tofauti na sisi.

Lakini kwa wanaojua, MMA fighters ni habari nyingine kabisa.

In a street fight, hata raia tu wa kawaida asiye muoga anamchakaza kabisa commando.

Kinachowapa jeuri hao wanajeshi, ni silaha za moto tu.

Hand to hand combat ni habari nyingine kabisa yenye variables nyingi tu.m

Ona sass, mshabadilisha uzi kuwa wa maneno magumu magumu.....

Acheni bana tuendelee kucheka, kufurahi na kuburudika na alfulela ulela za blangata za nchi yetu... 😄😄😄.

Nyoda ake Mtufudenge....😁😁😁.
 
Kwani Nyani Ngabu naomba niulize kitu huyo askari wa SF anafunzwa MMA au Hand to hand to combat? Na upi utofauti baina ya hizo sanaa?
Maswali mazuri hayo.

Tuanze na fasili kwanza.

Martial arts ni nini? Ni sanaa za mapigano.

Sanaa hizo ni masumbwi [boxing], mieleka [siyo ile ya WWE ya akina Bianca Belair😉], kickboxing, jiu-jitsu, judo, karate, aikido, n.k.

MMA [Mixed martial arts] ni nini? Ni mchanganyiko wa hizo sanaa za mapigano na kutengeneza mchezo au mashindano yanayohusisha hizo aina zote za mapigano.

Kwenye MMA unaruhusiwa kumpiga teke mshindani wako. Unaruhusiwa kumpiga kifuti. Unaruhusiwa kumpiga kipepsi. Unaruhusiwa kumpiga kabali. Unaruhusiwa armbar [sijui Kiswahili chake]. Unaruhusiwa heel hook [sijui Kiswahili chake]. Unaruhusiwa kurusha mangumi.

Kwa ufupi, kwenye MMA unaruhusiwa kutumia mbinu nyingi kumshinda mpinzani wako.

Askari wa special forces, wanafunzwa basics tu [mambo ya msingi] za kujihami, basi.

Hapigani kikweli kweli. Anapewa tu hiyo elimu ikitokea anaihitaji, ataitumia kujinasua kutoka kwenye mbananisho.

Professional MMA fighter, yeye ndo ajira yake hiyo. Kupigana na MMA fighters wengine kwenye mashindano.

Sasa, kuna tofauti kubwa sana kati ya mtu kupewa mafunzo ya msingi ya kujihami na mtu ambaye ajira yake ni kupigana ili aweze kulipwa ujira.

Na ndo maana ni nadra sana kukuta mtu aliyepo au aliyewahi kuwa kwenye special forces kufanya vizuri kwenye mashindano ya MMA.
 
Mbona umeenda mbali sana!!

Huwezi kabisa kulinganisha uwezo wa kupigana wa MMA fighter na mwanajeshi wa special forces.

Kwa ambao hawajui, wanaweza kubisha kwa sababu wameaminishwa kuwa commando ni species tofauti na sisi.

Lakini kwa wanaojua, MMA fighters ni habari nyingine kabisa.

In a street fight, hata raia tu wa kawaida asiye muoga anamchakaza kabisa commando.

Kinachowapa jeuri hao wanajeshi, ni silaha za moto tu.

Hand to hand combat ni habari nyingine kabisa yenye variables nyingi tu.
Ni kweli, special forces wapo trained kushirikiana katika team, lakini hawa MMA fighters wanafanya mazoezi mengi kwa siku na pia wanatumia masaa mengi
Kwanza ukitizama punch wanazomeza MMA fighters commando hawezi lazima aende chini.

Japo kuna sheria katika MMA na commando hawana sheria katika kupambana lakini hata kama sheria zikitolewa commando atatandikwa akimbie kabisa.

Commando/special force hata apewe kisu ni mfu mbele ya mtu anayepigana MMA.
 
Ona sass, mshabadilisha uzi kuwa wa maneno magumu magumu.....

Acheni bana tuendelee kucheka, kufurahi na kuburudika na alfulela ulela za blangata za nchi yetu... 😄😄😄.

Nyoda ake Mtufudenge....😁😁😁.
🖕🖕🖕🖕x 100 times the American military budget.
 
Jidanganye najua hadi unaandika MMA unaelewa ina maana gani ila kitabu cha wazee mwanzoni tu kimeandikwa THESE MEN ARE LEARNING KILLING SKILLS NOT SPORT sasa sijajua kama MMA nayo ni killing skill ila kwa ufupi sana imo ndani ya mtaala kwasababu hao wana martial arts kadhaa ndani yake kitu kama judo, karate, kick boxing na boxing na tae Kwon do usisahau.

MMA fighter yeye ana practice kwa ajili ya competition tu japo si kila CDO yupo active kwa kila sanaa.


PAIN IS MY MEDICINE.
Mzee hufahamu chochote.
Commando/special force hana uwezo wowote kupambana na mtu anacheza MMA.
Special forces wamefunzwa kushirikiana kwa team katika kushambulia, MMA kuna sheria lakini hata ukitoa sheria commando anatandikwa na anakata moto.

Special force amefunzwa anapozidiwa atatumia silaha sana sana atakupiga risasi au kutumia silaha yeyote kitu amabcho katika sheria MMA ni uvunjaji wa sheria, hivyo commandos ni wa kawaida sana hasa katika hand to hand combat.
 
Kwani Nyani Ngabu naomba niulize kitu huyo askari wa SF anafunzwa MMA au Hand to hand to combat? Na upi utofauti baina ya hizo sanaa?
Kinachofanya watu kutokuamini kuhusu special force kutandikwa na MMA au raia wa kawaida kabisa ninayefanya mazoezi ni movies za holywood. 😂 😂
 
Back
Top Bottom