min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Haito kaa itokee kamwe .Mbele ya K hua nawekaga sana akiba ya maneno....ipo siku mtu utanasa kwa binti wa mtu utajua uchafu wake wote lkn kwake huambiliki hushauriki na husaidiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haito kaa itokee kamwe .Mbele ya K hua nawekaga sana akiba ya maneno....ipo siku mtu utanasa kwa binti wa mtu utajua uchafu wake wote lkn kwake huambiliki hushauriki na husaidiki
Kitu kinanyonywa huku unaambiwa umwage Siri utamu umemkolea Siri zinamwagikaMnoo,,Bibie chuma hivyo alafu akupe na Nta lazima useme yote
Pombe tamu kuliko K. Ndio maana mtu anaanza na pombe kisha anamalizia K, not otherwiseNguvu ya K ina siri nyingi.
Ukitaka ufike nae mbali fanya hivyo ukweli weka pembeniDeception na uongo ndo vitu vya kuzingatia uwapo na viumbe hawa.
Mwamini mama yako tu but at some point huyo huyo alikuwa mwiba kwa baba yako.MWANAMKE hajawahi kuaminika hata siku moja
Kikubwa pumzi tuendelee kuwepo utashuhudia mengi kakaHaito kaa itokee kamwe .
Ni upwiru tu mkuu.Kikubwa pumzi tuendelee kuwepo utashuhudia mengi kaka
Kama haijakubamba ww bas kwenye circle ya washkaji zako hii kitu utakua umeonaNi upwiru tu mkuu.
Kama ww tuAlikuwa mzuri sanaa
Kamanda usimalize manenoHaito kaa itokee kamwe .
Mkuu nmemaliza tofauti na apo ni upwiru tu .Kamanda usimalize maneno
SimfikiiKama ww tu
Yule ni vle alikua anadinywa na president wa Dunia ikawa rahis kua spotted ila Kuna pisi kibao tu zilikua zinamzidi vigezo ila ndo vle tena zipo Rorya sijui Nyakanazi Sio rahis kuonekanaSimfikii