Huyu mwanamke amejisingizia ana mimba ili anipige pesa?

Huyu mwanamke amejisingizia ana mimba ili anipige pesa?

[emoji28][emoji28][emoji28] mkuu nacheka kama mazuri hivi anyway.
Mimi ningekuwa wewe ningemfata huko huko huyo mchumba na kumpima kuhakikisha kama kwel maana ukimtumia nauli aje atakula tu.
Mwezii huu wa 10 naingia mkoanii huko mbona atanieleza bro
 
Kuna mwanamke nilikutana nae kwenye garii nilikaa siti ya mwisho kabisa upande wa kushoto na yeye pia alikaa siti ya mbele yangu tulikuwa kikundi cha Street tulikuwa tunaenda Beach.

Sasa tamaa za vijana sisi mtoto nilimuelewa kinoma yanii kweli nikachukua namba tukaenda Beach kila mtu alikuwa anaoga kivyake tukarudi home nikawa na chart nae kweli nili approach na akukubalii kesho yake.

Mtoto akaomba tuonane nikasema yes ndio navyo taka hivii kweli mtoto tukapanga sehemu ya kuonana, akasema Lodge nikasema sawa kweli tulionana Lodge mwisho siku nikaruka nae.

Hiyo siku kumbe sikujua yule mtoto kama alikuwa kwenye siku zake za hatarii au vipii nashangaa baada ya siku 3 sijuii 4 baada ya wiki nika mgonga tena baada ya hapo anasema hanielewii anahisi kutapika sijuii mwisho wa siku kupima kweli anasema ana mimba na mimi hapo sina chochote.

Akasema usijali tutasaidiana basi baada ya hapo visimu havishii vya uongo na kweli naumwa, mzee najikakamua nampatia pesa sasa mpaka sasa mimba ina miezi 4 na nipo nae mbali kidogo.

Namaanisha yupo mkoanii mimi nipo Dar kwahiyo nilikuwa nawasiliana nae video call namwambiaga nioneshe mwanangu anaendelea je ananionesha kitumbo kidogo kwakuwa sina uzoefu na mimba sijuii kama mimba kweli au laah kitu ambacho kimekuja kunistuwa ana post picha anavaa ma bel mashat na tumbo silionii kubwa maan sina uzoefu wa mimba lakini miezii 4 nahisii hata kitumbo kitaanza kujionesha.

Sasa topic hivii sasa hivii nikimpgia video call anani jibu anavyotaka yeye nikimwambia nioneshe mwanng hatakii anasema tuma buku 5 sasa mpaka nashtuka huyu mwanamke vipi amejisingizia ana mimba ili anipige pesa au nilimwambia una mimba kweli ana panic anasema mimba anayo tena yangu na nikimwambia nioneshe hatakii na mimi nipo Dar yeye yuko mkoanii.

Msaada wenu please waungwanaa kichwa chote kina stress 2 hapa🙏
hizo text zake za kukuomba hela zitu zitunze zipige screenshot ziifaz kwny email huyo demu kata nae mazoea kabs km kwl ana mimba yako .. anazaa na akizaa atakuchfua lkn na ww lzm uwe na sabab ya kujitetea kwa alkuwa aelewek ndo maana ukamwaga
 
Kuna mwanamke nilikutana nae kwenye garii nilikaa siti ya mwisho kabisa upande wa kushoto na yeye pia alikaa siti ya mbele yangu tulikuwa kikundi cha Street tulikuwa tunaenda Beach.

Sasa tamaa za vijana sisi mtoto nilimuelewa kinoma yanii kweli nikachukua namba tukaenda Beach kila mtu alikuwa anaoga kivyake tukarudi home nikawa na chart nae kweli nili approach na akukubalii kesho yake.

Mtoto akaomba tuonane nikasema yes ndio navyo taka hivii kweli mtoto tukapanga sehemu ya kuonana, akasema Lodge nikasema sawa kweli tulionana Lodge mwisho siku nikaruka nae.

Hiyo siku kumbe sikujua yule mtoto kama alikuwa kwenye siku zake za hatarii au vipii nashangaa baada ya siku 3 sijuii 4 baada ya wiki nika mgonga tena baada ya hapo anasema hanielewii anahisi kutapika sijuii mwisho wa siku kupima kweli anasema ana mimba na mimi hapo sina chochote.

Akasema usijali tutasaidiana basi baada ya hapo visimu havishii vya uongo na kweli naumwa, mzee najikakamua nampatia pesa sasa mpaka sasa mimba ina miezi 4 na nipo nae mbali kidogo.

Namaanisha yupo mkoanii mimi nipo Dar kwahiyo nilikuwa nawasiliana nae video call namwambiaga nioneshe mwanangu anaendelea je ananionesha kitumbo kidogo kwakuwa sina uzoefu na mimba sijuii kama mimba kweli au laah kitu ambacho kimekuja kunistuwa ana post picha anavaa ma bel mashat na tumbo silionii kubwa maan sina uzoefu wa mimba lakini miezii 4 nahisii hata kitumbo kitaanza kujionesha.

Sasa topic hivii sasa hivii nikimpgia video call anani jibu anavyotaka yeye nikimwambia nioneshe mwanng hatakii anasema tuma buku 5 sasa mpaka nashtuka huyu mwanamke vipi amejisingizia ana mimba ili anipige pesa au nilimwambia una mimba kweli ana panic anasema mimba anayo tena yangu na nikimwambia nioneshe hatakii na mimi nipo Dar yeye yuko mkoanii.

Msaada wenu please waungwanaa kichwa chote kina stress 2 hapa🙏
Tupe taarifa za kutosha tuende kwao tukamuangalie kama mi kweli. Si mlienda naye kuogelea kule Chemka?
 
hizo text zake za kukuomba hela zitu zitunze zipige screenshot ziifaz kwny email huyo demu kata nae mazoea kabs km kwl ana mimba yako .. anazaa na akizaa atakuchfua lkn na ww lzm uwe na sabab ya kujitetea kwa alkuwa aelewek ndo maana ukamwaga
Shukranii kaka[emoji419]
 
Kuna mwanamke nilikutana nae kwenye garii nilikaa siti ya mwisho kabisa upande wa kushoto na yeye pia alikaa siti ya mbele yangu tulikuwa kikundi cha Street tulikuwa tunaenda Beach.

Sasa tamaa za vijana sisi mtoto nilimuelewa kinoma yanii kweli nikachukua namba tukaenda Beach kila mtu alikuwa anaoga kivyake tukarudi home nikawa na chart nae kweli nili approach na akukubalii kesho yake.

Mtoto akaomba tuonane nikasema yes ndio navyo taka hivii kweli mtoto tukapanga sehemu ya kuonana, akasema Lodge nikasema sawa kweli tulionana Lodge mwisho siku nikaruka nae.

Hiyo siku kumbe sikujua yule mtoto kama alikuwa kwenye siku zake za hatarii au vipii nashangaa baada ya siku 3 sijuii 4 baada ya wiki nika mgonga tena baada ya hapo anasema hanielewii anahisi kutapika sijuii mwisho wa siku kupima kweli anasema ana mimba na mimi hapo sina chochote.

Akasema usijali tutasaidiana basi baada ya hapo visimu havishii vya uongo na kweli naumwa, mzee najikakamua nampatia pesa sasa mpaka sasa mimba ina miezi 4 na nipo nae mbali kidogo.

Namaanisha yupo mkoanii mimi nipo Dar kwahiyo nilikuwa nawasiliana nae video call namwambiaga nioneshe mwanangu anaendelea je ananionesha kitumbo kidogo kwakuwa sina uzoefu na mimba sijuii kama mimba kweli au laah kitu ambacho kimekuja kunistuwa ana post picha anavaa ma bel mashat na tumbo silionii kubwa maan sina uzoefu wa mimba lakini miezii 4 nahisii hata kitumbo kitaanza kujionesha.

Sasa topic hivii sasa hivii nikimpgia video call anani jibu anavyotaka yeye nikimwambia nioneshe mwanng hatakii anasema tuma buku 5 sasa mpaka nashtuka huyu mwanamke vipi amejisingizia ana mimba ili anipige pesa au nilimwambia una mimba kweli ana panic anasema mimba anayo tena yangu na nikimwambia nioneshe hatakii na mimi nipo Dar yeye yuko mkoanii.

Msaada wenu please waungwanaa kichwa chote kina stress 2 hapa🙏
Msaada pekee kwako, ACHA UMALAYA. Mnatujazia mapanya road tu.
 
Kuna mwanamke nilikutana nae kwenye garii nilikaa siti ya mwisho kabisa upande wa kushoto na yeye pia alikaa siti ya mbele yangu tulikuwa kikundi cha Street tulikuwa tunaenda Beach.

Sasa tamaa za vijana sisi mtoto nilimuelewa kinoma yanii kweli nikachukua namba tukaenda Beach kila mtu alikuwa anaoga kivyake tukarudi home nikawa na chart nae kweli nili approach na akukubalii kesho yake.

Mtoto akaomba tuonane nikasema yes ndio navyo taka hivii kweli mtoto tukapanga sehemu ya kuonana, akasema Lodge nikasema sawa kweli tulionana Lodge mwisho siku nikaruka nae.

Hiyo siku kumbe sikujua yule mtoto kama alikuwa kwenye siku zake za hatarii au vipii nashangaa baada ya siku 3 sijuii 4 baada ya wiki nika mgonga tena baada ya hapo anasema hanielewii anahisi kutapika sijuii mwisho wa siku kupima kweli anasema ana mimba na mimi hapo sina chochote.

Akasema usijali tutasaidiana basi baada ya hapo visimu havishii vya uongo na kweli naumwa, mzee najikakamua nampatia pesa sasa mpaka sasa mimba ina miezi 4 na nipo nae mbali kidogo.

Namaanisha yupo mkoanii mimi nipo Dar kwahiyo nilikuwa nawasiliana nae video call namwambiaga nioneshe mwanangu anaendelea je ananionesha kitumbo kidogo kwakuwa sina uzoefu na mimba sijuii kama mimba kweli au laah kitu ambacho kimekuja kunistuwa ana post picha anavaa ma bel mashat na tumbo silionii kubwa maan sina uzoefu wa mimba lakini miezii 4 nahisii hata kitumbo kitaanza kujionesha.

Sasa topic hivii sasa hivii nikimpgia video call anani jibu anavyotaka yeye nikimwambia nioneshe mwanng hatakii anasema tuma buku 5 sasa mpaka nashtuka huyu mwanamke vipi amejisingizia ana mimba ili anipige pesa au nilimwambia una mimba kweli ana panic anasema mimba anayo tena yangu na nikimwambia nioneshe hatakii na mimi nipo Dar yeye yuko mkoanii.

Msaada wenu please waungwanaa kichwa chote kina stress 2 hapa[emoji120]

Yaani ulipo sema anatumia kama fimbo ya kukupiga pesa jua hapo hakuna Mimba aisee. Nowadays njaa ipo nyingi kwa mabinti, Dem unamtongoza mchana jioni nyumbani gas imeisha sembuse Mimba. Kama vipi jitoe muhanga mtumie nauli aje Dar kaa nae ghetto nunua cha kupimia mimba mpime. Na hata kama anayo kuna uwezekano pia MIMBA ISIWE YAKO.
 
Yaani ulipo sema anatumia kama fimbo ya kukupiga pesa jua hapo hakuna Mimba aisee. Nowadays njaa ipo nyingi kwa mabinti, Dem unamtongoza mchana jioni nyumbani gas imeisha sembuse Mimba. Kama vipi jitoe muhanga mtumie nauli aje Dar kaa nae ghetto nunua cha kupimia mimba mpime. Na hata kama anayo kuna uwezekano pia MIMBA ISIWE YAKO.
Sasa nikituma nauli hapo kaks kuna mawili kupigwa au anawez akaja kweriii
 
Kuna mwanamke nilikutana nae kwenye garii nilikaa siti ya mwisho kabisa upande wa kushoto na yeye pia alikaa siti ya mbele yangu tulikuwa kikundi cha Street tulikuwa tunaenda Beach.

Sasa tamaa za vijana sisi mtoto nilimuelewa kinoma yanii kweli nikachukua namba tukaenda Beach kila mtu alikuwa anaoga kivyake tukarudi home nikawa na chart nae kweli nili approach na akukubalii kesho yake.

Mtoto akaomba tuonane nikasema yes ndio navyo taka hivii kweli mtoto tukapanga sehemu ya kuonana, akasema Lodge nikasema sawa kweli tulionana Lodge mwisho siku nikaruka nae.

Hiyo siku kumbe sikujua yule mtoto kama alikuwa kwenye siku zake za hatarii au vipii nashangaa baada ya siku 3 sijuii 4 baada ya wiki nika mgonga tena baada ya hapo anasema hanielewii anahisi kutapika sijuii mwisho wa siku kupima kweli anasema ana mimba na mimi hapo sina chochote.

Akasema usijali tutasaidiana basi baada ya hapo visimu havishii vya uongo na kweli naumwa, mzee najikakamua nampatia pesa sasa mpaka sasa mimba ina miezi 4 na nipo nae mbali kidogo.

Namaanisha yupo mkoanii mimi nipo Dar kwahiyo nilikuwa nawasiliana nae video call namwambiaga nioneshe mwanangu anaendelea je ananionesha kitumbo kidogo kwakuwa sina uzoefu na mimba sijuii kama mimba kweli au laah kitu ambacho kimekuja kunistuwa ana post picha anavaa ma bel mashat na tumbo silionii kubwa maan sina uzoefu wa mimba lakini miezii 4 nahisii hata kitumbo kitaanza kujionesha.

Sasa topic hivii sasa hivii nikimpgia video call anani jibu anavyotaka yeye nikimwambia nioneshe mwanng hatakii anasema tuma buku 5 sasa mpaka nashtuka huyu mwanamke vipi amejisingizia ana mimba ili anipige pesa au nilimwambia una mimba kweli ana panic anasema mimba anayo tena yangu na nikimwambia nioneshe hatakii na mimi nipo Dar yeye yuko mkoanii.

Msaada wenu please waungwanaa kichwa chote kina stress 2 hapa[emoji120]
Hapa Dar umefungwa kamba huwezi kutoka kwenda huko huko mkoani ukajiridhishe?
Harafu ulijiamini nini kugonga peku peku?
Ukimaliza hilo la mimba uende ukapime na ukimwi kwa kufanya ngono zembe.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kama demu ni mfupi, mweusi , mwembamba na sura personal basi jiandae tu kuitwa dingi[emoji23].
 
Back
Top Bottom