Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikwmbie ww dada zako wa Green cityTuvulana twa dar tunapendaga kishamba sana
Kama ulikuwepo bro mulemule yanii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama demu ni mfupi, mweusi , mwembamba na sura personal basi jiandae tu kuitwa dingi[emoji23].
Hapo naku support broMimba haijifichi. Wakifika kumsalimu tu kitaeleweka
KekunduKEKUNDUU KEKUNDUUU,KEKUNDU
UmeliwaJamaniii shukranii sanaa naludisha mlejesho nilijaribu kuangaika mpka nikapata namba za bro wake nikamuuliza akani jibu mbona sister hana mimba alikuwa anakuzinguwa 2 daah Wallah niliganda hapo hapo nimeshatumia gharama zangu kibao ameshanitia short sanaa 2 yanii[emoji17][emoji25]
Mpaka hapo unahangaika na mpigajiSasa topic hivii sasa hivii nikimpgia video call anani jibu anavyotaka yeye nikimwambia nioneshe mwanng hatakii anasema tuma buku 5 sasa mpaka nashtuka huyu mwanamke vipi amejisingizia ana mimba ili anipige pesa au nilimwambia una mimba kweli ana panic anasema mimba anayo tena yangu na nikimwambia nioneshe hatakii na mimi nipo Dar yeye yuko mkoanii.
Msaada wenu please waungwanaa kichwa chote kina stress 2 hapa🙏