Huyu mwanamke ana tatizo gani?

Huyu mwanamke ana tatizo gani?

TUKANA UONE

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2018
Posts
2,345
Reaction score
6,970
Binafsi nimezaa na mwanamke mmoja mbaye ameajiliwa na Jeshi moja wapo miongoni mwa majeshi hapa nchini. Huyu mwanake amekuwa na nyodo sana kutokana na kazi yake anayoifanya!

Huyu mwanamke anaijua nyumba yangu hapa Dar es salaam pamoja na mali kadhaa zinazoonekana hapa nyumbani zikiwemo gari zangu 2!

Kwa akili yake alikuwa (ga) anadhani hizo zinazoonekana ndizo mali zangu pekee; Mimi na yeye tulikosana kwasababu za kijinga sana, kwakuwa wakati tumekosana alikuwa mjamzito! Nilisubiri akajifungua salama na baada ya kujifungua kabla hajarudi kazini kila mwezi nilikuwa namtumia Tsh 1.5 M ili imsaidie yeye pamoja na mwanangu!.

Kiukweli baada ya kuwa namtumia hii hela ni kama alichanganyikiwa na alidhani mimi nafanya kwa ajili yake kumbe nilikuwa nafanya kwa ajili ya mwanangu!

kufupisha stori!

Mali zangu zote nimemuandika mwanangu, sababu ya kufanya hivyo ni historia mbaya ya wanawake niliyonayo kichwani mwangu!

Baada ya kumwambia kila kitu kuhusu mali zangu nimemuandika mwanangu, hapo ndipo ugomvi umeanza rasmi!

Kumbuka huyu mwanamke tayari anaye mshikaji wake ila anataka kuniona mimi zuzu!
 
FB_IMG_17169972372418092.jpg


Yani hapo bado picha halijaanza
 
Binafsi nimezaa na mwanamke mmoja mbaye ameajiliwa na Jeshi moja wapo miongoni mwa majeshi hapa nchini, Huyu mwanake amekuwa na nyodo sana kutokana na kazi yake anayoifanya!

Huyu mwanamke anaijua nyumba yangu hapa Dar es salaam pamoja na mali kadhaa zinazoonekana hapa nyumbani zikiwemo gari zangu 2!

Kwa akili yake alikuwa (ga) anadhani hizo zinazoonekana ndizo mali zangu pekee;Mimi na yeye tulikosana kwasababu za kijinga sana,kwakuwa wakati tumekosana alikuwa mjamzito!,nilisubiri akajifungua salama na baada ya kujifungua kabla hajarudi kazini kila mwezi nilikuwa namtumia Tsh 1.5 M ili imsaidie yeye pamoja na mwanangu!.

Kiukweli baada ya kuwa namtumia hii hela ni kama alichanganyikiwa na alidhani mimi nafanya kwa ajili yake kumbe nilikuwa nafanya kwa ajili ya mwanangu!

kufupisha stori!

Mali zangu zote nimemuandika mwanangu,sababu ya kufanya hivyo ni historia mbaya ya wanawake niliyonayo kichwani mwangu!

Baada ya kumwambia kila kitu kuhusu mali zangu nimemuandika mwanangu,hapo ndipo ugomvi umeanza rasmi!

Kumbuka huyu mwanamke tayari anaye mshikaji wake ila anataka kuniona mimi zuzu!
Kwahiyo umezaa na mke wa mtu Braza??? Afu ukawa unamuhonga 1.5million ili azuzuke.? Braza inamaana hujui kuwa pesa hainunui upendo.???
 
Binafsi nimezaa na mwanamke mmoja mbaye ameajiliwa na Jeshi moja wapo miongoni mwa majeshi hapa nchini, Huyu mwanake amekuwa na nyodo sana kutokana na kazi yake anayoifanya!

Huyu mwanamke anaijua nyumba yangu hapa Dar es salaam pamoja na mali kadhaa zinazoonekana hapa nyumbani zikiwemo gari zangu 2!

Kwa akili yake alikuwa (ga) anadhani hizo zinazoonekana ndizo mali zangu pekee;Mimi na yeye tulikosana kwasababu za kijinga sana,kwakuwa wakati tumekosana alikuwa mjamzito!,nilisubiri akajifungua salama na baada ya kujifungua kabla hajarudi kazini kila mwezi nilikuwa namtumia Tsh 1.5 M ili imsaidie yeye pamoja na mwanangu!.

Kiukweli baada ya kuwa namtumia hii hela ni kama alichanganyikiwa na alidhani mimi nafanya kwa ajili yake kumbe nilikuwa nafanya kwa ajili ya mwanangu!

kufupisha stori!

Mali zangu zote nimemuandika mwanangu,sababu ya kufanya hivyo ni historia mbaya ya wanawake niliyonayo kichwani mwangu!

Baada ya kumwambia kila kitu kuhusu mali zangu nimemuandika mwanangu,hapo ndipo ugomvi umeanza rasmi!

Kumbuka huyu mwanamke tayari anaye mshikaji wake ila anataka kuniona mimi zuzu!
Mmepima DNA ukathibitisha dogo ni wako?
 
Back
Top Bottom