Huyu mwanamke ana tatizo gani?

Huyu mwanamke ana tatizo gani?

Mkuu huyu mwanamke ni askari (Trafic) pale Karatu,na yeye ndiye alishoboka baada ya kuona matanuzi yangu!

Kama ilivyo kawaida kwa wanawake wote,nilimuuliza kama ameolewa eidha na Askari mwenzie au Raia wa kawaida na akakataa kabisa kwamba hajaolewa na hana mtu!,Hivyo mtu mzima nikajiweka kwake takribani miaka 2,ndipo dogo akapatikana,lakini akiwa na mimba tulikosana na ndipo sasa nashangaa hivi sasa ana mtu!
Ndo ujue kuwa kwa hela unaeza kununua only pussy not love. Nakumzalisha nimatokeo tu ila moyo wake upo kwa mtu wake so chill out braza acha manung'uniko endelea na matumizi yako maybe wengine watashoboka.
 
kuba coment umeiluka kule unazuga

uyo mme mwenzio ambae ni askari na mkeo kacoment😃
 
Binafsi nimezaa na mwanamke mmoja mbaye ameajiliwa na Jeshi moja wapo miongoni mwa majeshi hapa nchini. Huyu mwanake amekuwa na nyodo sana kutokana na kazi yake anayoifanya!

Huyu mwanamke anaijua nyumba yangu hapa Dar es salaam pamoja na mali kadhaa zinazoonekana hapa nyumbani zikiwemo gari zangu 2!

Kwa akili yake alikuwa (ga) anadhani hizo zinazoonekana ndizo mali zangu pekee; Mimi na yeye tulikosana kwasababu za kijinga sana, kwakuwa wakati tumekosana alikuwa mjamzito! Nilisubiri akajifungua salama na baada ya kujifungua kabla hajarudi kazini kila mwezi nilikuwa namtumia Tsh 1.5 M ili imsaidie yeye pamoja na mwanangu!.

Kiukweli baada ya kuwa namtumia hii hela ni kama alichanganyikiwa na alidhani mimi nafanya kwa ajili yake kumbe nilikuwa nafanya kwa ajili ya mwanangu!

kufupisha stori!

Mali zangu zote nimemuandika mwanangu, sababu ya kufanya hivyo ni historia mbaya ya wanawake niliyonayo kichwani mwangu!

Baada ya kumwambia kila kitu kuhusu mali zangu nimemuandika mwanangu, hapo ndipo ugomvi umeanza rasmi!

Kumbuka huyu mwanamke tayari anaye mshikaji wake ila anataka kuniona mimi zuzu!
Omba uzima na ujichunge! Unafikiri ukifa, na mtoto ni mdogo, nani atasimamia hizo Mali kama sio mamiye? Haya maisha!
 
Tafuta pesa mdogo wangu,mbona haya mambo ya kawaida tu!


Mwenzio nikiwa nina miaka 25 tayari nilikuwa nimenunua eneo la Ujenzi hapo Salasala kwa gharama si chini ya milioni 100

Nyumba yangu ina thamani isiyopungua Tsh 250 Milioni,achana na ya pale Buswelu mkoani Mwanza ambayo thamani yake pamoja na uwanja ni Tsh 170 Milioni!.


Pale Kisongo mkoani Arusha pia nina eneo kubwa lakini bado sijajenga,hili nataka nijenge hoteli,eneo hili nikiachiwa na mzee wangu!

Huwa nikiona Vijana hapa JF mmekalia mipasho nabaki nawashangaa kwasababu mnapoteza muda tu,kama wewe na familia yenu hamna uwezo wa kuhudumia Tsh 1.5 Milioni kwa mwezi usidhani ni watanzania wote tunakosa hiyo hela,hiyo hela kwangu ni ndogo sana!
nilipo soma huu mchango wako ndo nimegundua umeme kichwani kwako ni mdg mnooo
 
Binafsi nimezaa na mwanamke mmoja mbaye ameajiliwa na Jeshi moja wapo miongoni mwa majeshi hapa nchini. Huyu mwanake amekuwa na nyodo sana kutokana na kazi yake anayoifanya!

Huyu mwanamke anaijua nyumba yangu hapa Dar es salaam pamoja na mali kadhaa zinazoonekana hapa nyumbani zikiwemo gari zangu 2!

Kwa akili yake alikuwa (ga) anadhani hizo zinazoonekana ndizo mali zangu pekee; Mimi na yeye tulikosana kwasababu za kijinga sana, kwakuwa wakati tumekosana alikuwa mjamzito! Nilisubiri akajifungua salama na baada ya kujifungua kabla hajarudi kazini kila mwezi nilikuwa namtumia Tsh 1.5 M ili imsaidie yeye pamoja na mwanangu!.

Kiukweli baada ya kuwa namtumia hii hela ni kama alichanganyikiwa na alidhani mimi nafanya kwa ajili yake kumbe nilikuwa nafanya kwa ajili ya mwanangu!

kufupisha stori!

Mali zangu zote nimemuandika mwanangu, sababu ya kufanya hivyo ni historia mbaya ya wanawake niliyonayo kichwani mwangu!

Baada ya kumwambia kila kitu kuhusu mali zangu nimemuandika mwanangu, hapo ndipo ugomvi umeanza rasmi!

Kumbuka huyu mwanamke tayari anaye mshikaji wake ila anataka kuniona mimi zuzu!


Story yako inakosa uhalisia.....
 
Back
Top Bottom