Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Chai ya ukwaju hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe yako ya kweli iko wapi?Stori yako yote ya uongo
Tafuta pesa kijana,acha kudhani yasiyowezekana kwenu na kwetu hayawezekani!Chai ya ukwaju hii
Ndo ujue kuwa kwa hela unaeza kununua only pussy not love. Nakumzalisha nimatokeo tu ila moyo wake upo kwa mtu wake so chill out braza acha manung'uniko endelea na matumizi yako maybe wengine watashoboka.Mkuu huyu mwanamke ni askari (Trafic) pale Karatu,na yeye ndiye alishoboka baada ya kuona matanuzi yangu!
Kama ilivyo kawaida kwa wanawake wote,nilimuuliza kama ameolewa eidha na Askari mwenzie au Raia wa kawaida na akakataa kabisa kwamba hajaolewa na hana mtu!,Hivyo mtu mzima nikajiweka kwake takribani miaka 2,ndipo dogo akapatikana,lakini akiwa na mimba tulikosana na ndipo sasa nashangaa hivi sasa ana mtu!
Huyo askari inaonekana ako na pu**y matata sana 1.5million per month siyo mchezoUnamtumia 1.5 million kila mwezi kwaajili ya mtoto?!
Sawa uwe na usiku mwema TajiriTafuta pesa kijana,acha kudhani yasiyowezekana kwenu na kwetu hayawezekani!
Omba uzima na ujichunge! Unafikiri ukifa, na mtoto ni mdogo, nani atasimamia hizo Mali kama sio mamiye? Haya maisha!Binafsi nimezaa na mwanamke mmoja mbaye ameajiliwa na Jeshi moja wapo miongoni mwa majeshi hapa nchini. Huyu mwanake amekuwa na nyodo sana kutokana na kazi yake anayoifanya!
Huyu mwanamke anaijua nyumba yangu hapa Dar es salaam pamoja na mali kadhaa zinazoonekana hapa nyumbani zikiwemo gari zangu 2!
Kwa akili yake alikuwa (ga) anadhani hizo zinazoonekana ndizo mali zangu pekee; Mimi na yeye tulikosana kwasababu za kijinga sana, kwakuwa wakati tumekosana alikuwa mjamzito! Nilisubiri akajifungua salama na baada ya kujifungua kabla hajarudi kazini kila mwezi nilikuwa namtumia Tsh 1.5 M ili imsaidie yeye pamoja na mwanangu!.
Kiukweli baada ya kuwa namtumia hii hela ni kama alichanganyikiwa na alidhani mimi nafanya kwa ajili yake kumbe nilikuwa nafanya kwa ajili ya mwanangu!
kufupisha stori!
Mali zangu zote nimemuandika mwanangu, sababu ya kufanya hivyo ni historia mbaya ya wanawake niliyonayo kichwani mwangu!
Baada ya kumwambia kila kitu kuhusu mali zangu nimemuandika mwanangu, hapo ndipo ugomvi umeanza rasmi!
Kumbuka huyu mwanamke tayari anaye mshikaji wake ila anataka kuniona mimi zuzu!
Au 15k?maana mwandiko wake tu hauonyeshi kama ana uwezo wa kutuma 1.5m huyo.Kila mwezi ulikuwa unamtumia 1.5mil au 150k?
Mmh
nilipo soma huu mchango wako ndo nimegundua umeme kichwani kwako ni mdg mnoooTafuta pesa mdogo wangu,mbona haya mambo ya kawaida tu!
Mwenzio nikiwa nina miaka 25 tayari nilikuwa nimenunua eneo la Ujenzi hapo Salasala kwa gharama si chini ya milioni 100
Nyumba yangu ina thamani isiyopungua Tsh 250 Milioni,achana na ya pale Buswelu mkoani Mwanza ambayo thamani yake pamoja na uwanja ni Tsh 170 Milioni!.
Pale Kisongo mkoani Arusha pia nina eneo kubwa lakini bado sijajenga,hili nataka nijenge hoteli,eneo hili nikiachiwa na mzee wangu!
Huwa nikiona Vijana hapa JF mmekalia mipasho nabaki nawashangaa kwasababu mnapoteza muda tu,kama wewe na familia yenu hamna uwezo wa kuhudumia Tsh 1.5 Milioni kwa mwezi usidhani ni watanzania wote tunakosa hiyo hela,hiyo hela kwangu ni ndogo sana!
Aongeze na iliki kwenye hii chaiIli chai inoge
Binafsi nimezaa na mwanamke mmoja mbaye ameajiliwa na Jeshi moja wapo miongoni mwa majeshi hapa nchini. Huyu mwanake amekuwa na nyodo sana kutokana na kazi yake anayoifanya!
Huyu mwanamke anaijua nyumba yangu hapa Dar es salaam pamoja na mali kadhaa zinazoonekana hapa nyumbani zikiwemo gari zangu 2!
Kwa akili yake alikuwa (ga) anadhani hizo zinazoonekana ndizo mali zangu pekee; Mimi na yeye tulikosana kwasababu za kijinga sana, kwakuwa wakati tumekosana alikuwa mjamzito! Nilisubiri akajifungua salama na baada ya kujifungua kabla hajarudi kazini kila mwezi nilikuwa namtumia Tsh 1.5 M ili imsaidie yeye pamoja na mwanangu!.
Kiukweli baada ya kuwa namtumia hii hela ni kama alichanganyikiwa na alidhani mimi nafanya kwa ajili yake kumbe nilikuwa nafanya kwa ajili ya mwanangu!
kufupisha stori!
Mali zangu zote nimemuandika mwanangu, sababu ya kufanya hivyo ni historia mbaya ya wanawake niliyonayo kichwani mwangu!
Baada ya kumwambia kila kitu kuhusu mali zangu nimemuandika mwanangu, hapo ndipo ugomvi umeanza rasmi!
Kumbuka huyu mwanamke tayari anaye mshikaji wake ila anataka kuniona mimi zuzu!
Aongeze na iliki kwenye hii chai
na hizo mali tayari ameandikiwa mtoto au vipi?Kila mwezi ulikuwa unamtumia 1.5mil au 150k?
Mmh
Naona chai yake ametia asalina hizo mali tayari ameandikiwa mtoto au vipi?
Mbona sukari imezidi sana kwenye chai, umeshajihakikishia kuwa huyo ndiyo atakuwa mtoto wa pekee?
Vijana tafuteni pesa,bila pesa mtaendelea kuyasema haya kila siku!Naona chai yake ametia asali
Unataka unitunuku mtoto mwingine?na hizo mali tayari ameandikiwa mtoto au vipi?
Mbona sukari imezidi sana kwenye chai, umeshajihakikishia kuwa huyo ndiyo atakuwa mtoto wa pekee?