Huyu mwanamke ana tatizo gani?

Huyu mwanamke ana tatizo gani?

Binafsi nimezaa na mwanamke mmoja mbaye ameajiliwa na Jeshi moja wapo miongoni mwa majeshi hapa nchini. Huyu mwanake amekuwa na nyodo sana kutokana na kazi yake anayoifanya!

Huyu mwanamke anaijua nyumba yangu hapa Dar es salaam pamoja na mali kadhaa zinazoonekana hapa nyumbani zikiwemo gari zangu 2!

Kwa akili yake alikuwa (ga) anadhani hizo zinazoonekana ndizo mali zangu pekee; Mimi na yeye tulikosana kwasababu za kijinga sana, kwakuwa wakati tumekosana alikuwa mjamzito! Nilisubiri akajifungua salama na baada ya kujifungua kabla hajarudi kazini kila mwezi nilikuwa namtumia Tsh 1.5 M ili imsaidie yeye pamoja na mwanangu!.

Kiukweli baada ya kuwa namtumia hii hela ni kama alichanganyikiwa na alidhani mimi nafanya kwa ajili yake kumbe nilikuwa nafanya kwa ajili ya mwanangu!

kufupisha stori!

Mali zangu zote nimemuandika mwanangu, sababu ya kufanya hivyo ni historia mbaya ya wanawake niliyonayo kichwani mwangu!

Baada ya kumwambia kila kitu kuhusu mali zangu nimemuandika mwanangu, hapo ndipo ugomvi umeanza rasmi!

Kumbuka huyu mwanamke tayari anaye mshikaji wake ila anataka kuniona mimi zuzu!
Wewe na yeye bado ukichaa haujawatoka miilini mwenu.Ukimuandika mali zako mtoto ndiyo umemkomesha mama yake?Unaijua bond ya mtoto kwa mama inavyokuwa?Nikikuuliza wewe tu hapo;Unaweza kumnyima nyumba au gari mama yako mzazi aliyekuzaa,kukulea kwa upendo na kukujali kama unavyo au una uwezo wa kumnunulua?Sasa oanisha kwa mtoto wako na mama yake.Huyo mwanamke wako ni mkosa akili ndiyo maana ni mgambo.
 
Yes,kwa ajili ya mtoto!

Akili ya kawaida najua ni kwaajili ya mtoto lakini najua mtoto hawezi tumia hela yote hiyo,nilitaka aone mwanangu ni wathamani kiasi gani!

Hiyo ilikuwa kipindi mwanangu akiwa mdogo but now namtumia laki 5 kila mwezi kwa ajili ya mahitaji ya mtoto,ingawaje amepanga kunipeleka mahakamani ili nitoe zaidi kwasababu anaelewa kipato changu ni zaidi ya hicho ninachotuma
Una uhakika huo mtoi ni wako mkuu?
 
Hatua ulizochukua ni sahihi kuandikisha mali zako kuwa za Mtoto wako.
Isipokuwa matumizi ya mtoto ni makubwa mno! Kwa ujinga wa wanawake kama hujamwonyesha vyanzo vyako VYOTE vya mapato yako ni rahisi kuamini una mali nyingi au fedha nyingi(huu ni ujinga wa wanawake karibia wote)
Usipofanya hivyo usishangae ukizushiwa uwongo kwamba una vimada wengine wanaotumia pesa hizo.
Pili kwa habari ya tabia yake hauna budi kukubaliana na hali tu.
Kama mlifunga ndoa ambayo inatambuliwa na Jeshi nadhani ulipewa fomu fulani ya kujaza na kusaini ambayo nadhani unaambiwa mkeo anaweza kuhihitajika muda wo wote!
Kama atahitajiwa na bosi wake usiku sawa!
Kama hujafunga naye ndoa na anaanza kukuchanganya fanya utaratibu wa kuachana naye! Maana mateso ya hiyo ndoa hutayavumilia.
Hayo ni mawazo yangu!
 
Binafsi nimezaa na mwanamke mmoja mbaye ameajiliwa na Jeshi moja wapo miongoni mwa majeshi hapa nchini. Huyu mwanake amekuwa na nyodo sana kutokana na kazi yake anayoifanya!

Huyu mwanamke anaijua nyumba yangu hapa Dar es salaam pamoja na mali kadhaa zinazoonekana hapa nyumbani zikiwemo gari zangu 2!

Kwa akili yake alikuwa (ga) anadhani hizo zinazoonekana ndizo mali zangu pekee; Mimi na yeye tulikosana kwasababu za kijinga sana, kwakuwa wakati tumekosana alikuwa mjamzito! Nilisubiri akajifungua salama na baada ya kujifungua kabla hajarudi kazini kila mwezi nilikuwa namtumia Tsh 1.5 M ili imsaidie yeye pamoja na mwanangu!.

Kiukweli baada ya kuwa namtumia hii hela ni kama alichanganyikiwa na alidhani mimi nafanya kwa ajili yake kumbe nilikuwa nafanya kwa ajili ya mwanangu!

kufupisha stori!

Mali zangu zote nimemuandika mwanangu, sababu ya kufanya hivyo ni historia mbaya ya wanawake niliyonayo kichwani mwangu!

Baada ya kumwambia kila kitu kuhusu mali zangu nimemuandika mwanangu, hapo ndipo ugomvi umeanza rasmi!

Kumbuka huyu mwanamke tayari anaye mshikaji wake ila anataka kuniona mimi zuzu!
Hata kama sina D mbili ,hii ni chai, 1.5Milioo au 150k
 
Tafuta pesa mdogo wangu,mbona haya mambo ya kawaida tu!


Mwenzio nikiwa nina miaka 25 tayari nilikuwa nimenunua eneo la Ujenzi hapo Salasala kwa gharama si chini ya milioni 100

Nyumba yangu ina thamani isiyopungua Tsh 250 Milioni,achana na ya pale Buswelu mkoani Mwanza ambayo thamani yake pamoja na uwanja ni Tsh 170 Milioni!.


Pale Kisongo mkoani Arusha pia nina eneo kubwa lakini bado sijajenga,hili nataka nijenge hoteli,eneo hili nikiachiwa na mzee wangu!

Huwa nikiona Vijana hapa JF mmekalia mipasho nabaki nawashangaa kwasababu mnapoteza muda tu,kama wewe na familia yenu hamna uwezo wa kuhudumia Tsh 1.5 Milioni kwa mwezi usidhani ni watanzania wote tunakosa hiyo hela,hiyo hela kwangu ni ndogo sana!
Kazi ya uandishi itakufaa sana naona unaishi fantasy life
 
Binafsi nimezaa na mwanamke mmoja mbaye ameajiliwa na Jeshi moja wapo miongoni mwa majeshi hapa nchini. Huyu mwanake amekuwa na nyodo sana kutokana na kazi yake anayoifanya!

Huyu mwanamke anaijua nyumba yangu hapa Dar es salaam pamoja na mali kadhaa zinazoonekana hapa nyumbani zikiwemo gari zangu 2!

Kwa akili yake alikuwa (ga) anadhani hizo zinazoonekana ndizo mali zangu pekee; Mimi na yeye tulikosana kwasababu za kijinga sana, kwakuwa wakati tumekosana alikuwa mjamzito! Nilisubiri akajifungua salama na baada ya kujifungua kabla hajarudi kazini kila mwezi nilikuwa namtumia Tsh 1.5 M ili imsaidie yeye pamoja na mwanangu!.

Kiukweli baada ya kuwa namtumia hii hela ni kama alichanganyikiwa na alidhani mimi nafanya kwa ajili yake kumbe nilikuwa nafanya kwa ajili ya mwanangu!

kufupisha stori!

Mali zangu zote nimemuandika mwanangu, sababu ya kufanya hivyo ni historia mbaya ya wanawake niliyonayo kichwani mwangu!

Baada ya kumwambia kila kitu kuhusu mali zangu nimemuandika mwanangu, hapo ndipo ugomvi umeanza rasmi!

Kumbuka huyu mwanamke tayari anaye mshikaji wake ila anataka kuniona mimi zuzu!
Pole sana. Hebu kaa uhadithie kwa utulivu
 
Binafsi nimezaa na mwanamke mmoja mbaye ameajiliwa na Jeshi moja wapo miongoni mwa majeshi hapa nchini. Huyu mwanake amekuwa na nyodo sana kutokana na kazi yake anayoifanya!

Huyu mwanamke anaijua nyumba yangu hapa Dar es salaam pamoja na mali kadhaa zinazoonekana hapa nyumbani zikiwemo gari zangu 2!

Kwa akili yake alikuwa (ga) anadhani hizo zinazoonekana ndizo mali zangu pekee; Mimi na yeye tulikosana kwasababu za kijinga sana, kwakuwa wakati tumekosana alikuwa mjamzito! Nilisubiri akajifungua salama na baada ya kujifungua kabla hajarudi kazini kila mwezi nilikuwa namtumia Tsh 1.5 M ili imsaidie yeye pamoja na mwanangu!.

Kiukweli baada ya kuwa namtumia hii hela ni kama alichanganyikiwa na alidhani mimi nafanya kwa ajili yake kumbe nilikuwa nafanya kwa ajili ya mwanangu!

kufupisha stori!

Mali zangu zote nimemuandika mwanangu, sababu ya kufanya hivyo ni historia mbaya ya wanawake niliyonayo kichwani mwangu!

Baada ya kumwambia kila kitu kuhusu mali zangu nimemuandika mwanangu, hapo ndipo ugomvi umeanza rasmi!

Kumbuka huyu mwanamke tayari anaye mshikaji wake ila anataka kuniona mimi zuzu!
WWE uyo
 
hapana, kwangu mimi wewe ni age ya mtoto wangu wa mwisho (last born).

Na tayari tumeshaona mengi kwenye hii dunia, hata hizo unrealistic expectations zako pia.
Watu wazima kama wewe angalau mnatulia na mnajua kulea!
 
Kazi ya uandishi itakufaa sana naona unaishi fantasy life
Mkuu kama hutojali nataka nikutoe out ili u-experience aina nyingine ya maisha,maana hayo unayoishi ni kama yamekufunga akili!

Chagua nchi yoyote unayotaka kwenda nitakulipia Gharama zote kwa muda wa siku 7!

Ukiwa tayari nicheki pm
 
Back
Top Bottom