TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
- Thread starter
- #61
Tafuta pesa kijana,bila pesa haya utaendelea kuyaandika sana hapa JF!nilipo soma huu mchango wako ndo nimegundua umeme kichwani kwako ni mdg mnooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta pesa kijana,bila pesa haya utaendelea kuyaandika sana hapa JF!nilipo soma huu mchango wako ndo nimegundua umeme kichwani kwako ni mdg mnooo
Ungekuwa na hela wala usingepata muda wa kuja kulalalamika hapaVijana tafuteni pesa,bila pesa mtaendelea kuyasema haya kila siku!
Wewe na yeye bado ukichaa haujawatoka miilini mwenu.Ukimuandika mali zako mtoto ndiyo umemkomesha mama yake?Unaijua bond ya mtoto kwa mama inavyokuwa?Nikikuuliza wewe tu hapo;Unaweza kumnyima nyumba au gari mama yako mzazi aliyekuzaa,kukulea kwa upendo na kukujali kama unavyo au una uwezo wa kumnunulua?Sasa oanisha kwa mtoto wako na mama yake.Huyo mwanamke wako ni mkosa akili ndiyo maana ni mgambo.Binafsi nimezaa na mwanamke mmoja mbaye ameajiliwa na Jeshi moja wapo miongoni mwa majeshi hapa nchini. Huyu mwanake amekuwa na nyodo sana kutokana na kazi yake anayoifanya!
Huyu mwanamke anaijua nyumba yangu hapa Dar es salaam pamoja na mali kadhaa zinazoonekana hapa nyumbani zikiwemo gari zangu 2!
Kwa akili yake alikuwa (ga) anadhani hizo zinazoonekana ndizo mali zangu pekee; Mimi na yeye tulikosana kwasababu za kijinga sana, kwakuwa wakati tumekosana alikuwa mjamzito! Nilisubiri akajifungua salama na baada ya kujifungua kabla hajarudi kazini kila mwezi nilikuwa namtumia Tsh 1.5 M ili imsaidie yeye pamoja na mwanangu!.
Kiukweli baada ya kuwa namtumia hii hela ni kama alichanganyikiwa na alidhani mimi nafanya kwa ajili yake kumbe nilikuwa nafanya kwa ajili ya mwanangu!
kufupisha stori!
Mali zangu zote nimemuandika mwanangu, sababu ya kufanya hivyo ni historia mbaya ya wanawake niliyonayo kichwani mwangu!
Baada ya kumwambia kila kitu kuhusu mali zangu nimemuandika mwanangu, hapo ndipo ugomvi umeanza rasmi!
Kumbuka huyu mwanamke tayari anaye mshikaji wake ila anataka kuniona mimi zuzu!
Kwa wikiTsh 1.5 Milioni
Ndio kwanza likizo inaanzaShule zinafunguliwa lini?...
Una uhakika huo mtoi ni wako mkuu?Yes,kwa ajili ya mtoto!
Akili ya kawaida najua ni kwaajili ya mtoto lakini najua mtoto hawezi tumia hela yote hiyo,nilitaka aone mwanangu ni wathamani kiasi gani!
Hiyo ilikuwa kipindi mwanangu akiwa mdogo but now namtumia laki 5 kila mwezi kwa ajili ya mahitaji ya mtoto,ingawaje amepanga kunipeleka mahakamani ili nitoe zaidi kwasababu anaelewa kipato changu ni zaidi ya hicho ninachotuma
Hata kama sina D mbili ,hii ni chai, 1.5Milioo au 150kBinafsi nimezaa na mwanamke mmoja mbaye ameajiliwa na Jeshi moja wapo miongoni mwa majeshi hapa nchini. Huyu mwanake amekuwa na nyodo sana kutokana na kazi yake anayoifanya!
Huyu mwanamke anaijua nyumba yangu hapa Dar es salaam pamoja na mali kadhaa zinazoonekana hapa nyumbani zikiwemo gari zangu 2!
Kwa akili yake alikuwa (ga) anadhani hizo zinazoonekana ndizo mali zangu pekee; Mimi na yeye tulikosana kwasababu za kijinga sana, kwakuwa wakati tumekosana alikuwa mjamzito! Nilisubiri akajifungua salama na baada ya kujifungua kabla hajarudi kazini kila mwezi nilikuwa namtumia Tsh 1.5 M ili imsaidie yeye pamoja na mwanangu!.
Kiukweli baada ya kuwa namtumia hii hela ni kama alichanganyikiwa na alidhani mimi nafanya kwa ajili yake kumbe nilikuwa nafanya kwa ajili ya mwanangu!
kufupisha stori!
Mali zangu zote nimemuandika mwanangu, sababu ya kufanya hivyo ni historia mbaya ya wanawake niliyonayo kichwani mwangu!
Baada ya kumwambia kila kitu kuhusu mali zangu nimemuandika mwanangu, hapo ndipo ugomvi umeanza rasmi!
Kumbuka huyu mwanamke tayari anaye mshikaji wake ila anataka kuniona mimi zuzu!
Kazi ya uandishi itakufaa sana naona unaishi fantasy lifeTafuta pesa mdogo wangu,mbona haya mambo ya kawaida tu!
Mwenzio nikiwa nina miaka 25 tayari nilikuwa nimenunua eneo la Ujenzi hapo Salasala kwa gharama si chini ya milioni 100
Nyumba yangu ina thamani isiyopungua Tsh 250 Milioni,achana na ya pale Buswelu mkoani Mwanza ambayo thamani yake pamoja na uwanja ni Tsh 170 Milioni!.
Pale Kisongo mkoani Arusha pia nina eneo kubwa lakini bado sijajenga,hili nataka nijenge hoteli,eneo hili nikiachiwa na mzee wangu!
Huwa nikiona Vijana hapa JF mmekalia mipasho nabaki nawashangaa kwasababu mnapoteza muda tu,kama wewe na familia yenu hamna uwezo wa kuhudumia Tsh 1.5 Milioni kwa mwezi usidhani ni watanzania wote tunakosa hiyo hela,hiyo hela kwangu ni ndogo sana!
Pole sana. Hebu kaa uhadithie kwa utulivuBinafsi nimezaa na mwanamke mmoja mbaye ameajiliwa na Jeshi moja wapo miongoni mwa majeshi hapa nchini. Huyu mwanake amekuwa na nyodo sana kutokana na kazi yake anayoifanya!
Huyu mwanamke anaijua nyumba yangu hapa Dar es salaam pamoja na mali kadhaa zinazoonekana hapa nyumbani zikiwemo gari zangu 2!
Kwa akili yake alikuwa (ga) anadhani hizo zinazoonekana ndizo mali zangu pekee; Mimi na yeye tulikosana kwasababu za kijinga sana, kwakuwa wakati tumekosana alikuwa mjamzito! Nilisubiri akajifungua salama na baada ya kujifungua kabla hajarudi kazini kila mwezi nilikuwa namtumia Tsh 1.5 M ili imsaidie yeye pamoja na mwanangu!.
Kiukweli baada ya kuwa namtumia hii hela ni kama alichanganyikiwa na alidhani mimi nafanya kwa ajili yake kumbe nilikuwa nafanya kwa ajili ya mwanangu!
kufupisha stori!
Mali zangu zote nimemuandika mwanangu, sababu ya kufanya hivyo ni historia mbaya ya wanawake niliyonayo kichwani mwangu!
Baada ya kumwambia kila kitu kuhusu mali zangu nimemuandika mwanangu, hapo ndipo ugomvi umeanza rasmi!
Kumbuka huyu mwanamke tayari anaye mshikaji wake ila anataka kuniona mimi zuzu!
WWE uyoBinafsi nimezaa na mwanamke mmoja mbaye ameajiliwa na Jeshi moja wapo miongoni mwa majeshi hapa nchini. Huyu mwanake amekuwa na nyodo sana kutokana na kazi yake anayoifanya!
Huyu mwanamke anaijua nyumba yangu hapa Dar es salaam pamoja na mali kadhaa zinazoonekana hapa nyumbani zikiwemo gari zangu 2!
Kwa akili yake alikuwa (ga) anadhani hizo zinazoonekana ndizo mali zangu pekee; Mimi na yeye tulikosana kwasababu za kijinga sana, kwakuwa wakati tumekosana alikuwa mjamzito! Nilisubiri akajifungua salama na baada ya kujifungua kabla hajarudi kazini kila mwezi nilikuwa namtumia Tsh 1.5 M ili imsaidie yeye pamoja na mwanangu!.
Kiukweli baada ya kuwa namtumia hii hela ni kama alichanganyikiwa na alidhani mimi nafanya kwa ajili yake kumbe nilikuwa nafanya kwa ajili ya mwanangu!
kufupisha stori!
Mali zangu zote nimemuandika mwanangu, sababu ya kufanya hivyo ni historia mbaya ya wanawake niliyonayo kichwani mwangu!
Baada ya kumwambia kila kitu kuhusu mali zangu nimemuandika mwanangu, hapo ndipo ugomvi umeanza rasmi!
Kumbuka huyu mwanamke tayari anaye mshikaji wake ila anataka kuniona mimi zuzu!
hapana, kwangu mimi wewe ni age ya mtoto wangu wa mwisho (last born).Unataka unitunuku mtoto mwingine?
Watu wazima kama wewe angalau mnatulia na mnajua kulea!hapana, kwangu mimi wewe ni age ya mtoto wangu wa mwisho (last born).
Na tayari tumeshaona mengi kwenye hii dunia, hata hizo unrealistic expectations zako pia.
Mkuu hiyo hela mbona ya kawaida sana!Mil 1 na nusu kwa mwezi, eti uniache, tutagawana nyumba za sirikali
Mkuu kama hutojali nataka nikutoe out ili u-experience aina nyingine ya maisha,maana hayo unayoishi ni kama yamekufunga akili!Kazi ya uandishi itakufaa sana naona unaishi fantasy life