Huyu mwanamke anafaa kuwa mke kweli?

Huyu mwanamke anafaa kuwa mke kweli?

Habari Wakuu,

Bila kupoteza mda niende Moja kwa Moja kwenye mada.

Nilikuwa na mpenzi ambaye ndiyo nilikuwa nategemea kumuoa, kilichofanya nije niulize hapa ni hili tukio. Mimi Niko mkoa mwingine na mpenzi wangu alikuwa anafanya kazi mkoa mwingine.

Siku moja nikawa nimeenda kumsalimia na nikaa naye kama siku tatu hivi ,baada ya hapo nikarudi mkoa ninaoishi kwa ajili ya kazi, basi ijumaa ya wiki hiyo niliyorudi akaniambia kutakuwa na ugeni ofisin kwao hivyo atakuwa busy maan yeye anafanya kazi hotel.

Basi kuanzia siku ya jumatatu hakuwahi pokea simu yangu wala kujibu text zangu Wala kanipigia yani nikawa nampigia simu inaita weee bila kupokeleea na namtumia text hajibu mpaka wiki ikaja kuisha siku ya jumapili ndiyo akaja pokea simu baada ya kumuuliza kwann hupokei simu wiki nzima na hata text hujibu, akanijibu vimajibu vya kitoto sana basi nikakaa kimya.

Siku hiyo hiyo baada kama ya lisaa limoja hivi nikapokea text kutoka number mpya ikiwa inanitaka nitoe ushirikiano wa kuwa huyu GETU unamfahamu? Na nina yako, maana Mimi nilikuwa naye wiki nzima na simu nilikuwa nazo Mimi.

Basi nikamuelekeza jamaa naye akamaindi sana, kumbe jamaa naye alikuwa katoka zenzibar kamfata Getu, basi kama wanaume tukaongea pale yakaisha ikaonekana demu anatuchanganya wote, basi mie nikaona hapa hamna mwanamke

Baada ya tukio hilo baada ya mwezi mmoja akaanza kunitafuta na kuniomba msamaha Sana na alinifata hadi ninakoishi mkoa mwingine lakini nilimfukuza alilia Sana ila nilikaza na baadaye akasema Akili mbili Nina Mimba na hii Mimba ni yako.

Ishu kubwa inayonitesa je hii Mimba inaweza kuwa yangu kweli au nimpotezee tu nisubiri akija jifunguwa ndiyo nione mtoto Kama anafanana na Mimi au laa?

Maana Toka tukio Lile sinaga hisia naye kabisa na namchukia sana.
Kuna haya
1- hana mimba ila anatengeneza mazingira ya kutokupoteza

2-mimba ipo ndio ila je ni ya kwako kweli??au ya uyo jamaa mwingne ( anaweza dhibitisha kama ni yako kwa sasa au ndo mpaka mtoto azaliwe?)

3- kama utaweza kukubaliana na maumivu ya moyo na ile picha ya kusalitiwa akilini mwako na kusahau mazima ,,msamehe muendeleze gurudumu la mapenzi yenu
 
Habari Wakuu,

Bila kupoteza mda niende Moja kwa Moja kwenye mada.

Nilikuwa na mpenzi ambaye ndiyo nilikuwa nategemea kumuoa, kilichofanya nije niulize hapa ni hili tukio. Mimi Niko mkoa mwingine na mpenzi wangu alikuwa anafanya kazi mkoa mwingine.

Siku moja nikawa nimeenda kumsalimia na nikaa naye kama siku tatu hivi ,baada ya hapo nikarudi mkoa ninaoishi kwa ajili ya kazi, basi ijumaa ya wiki hiyo niliyorudi akaniambia kutakuwa na ugeni ofisin kwao hivyo atakuwa busy maan yeye anafanya kazi hotel.

Basi kuanzia siku ya jumatatu hakuwahi pokea simu yangu wala kujibu text zangu Wala kanipigia yani nikawa nampigia simu inaita weee bila kupokeleea na namtumia text hajibu mpaka wiki ikaja kuisha siku ya jumapili ndiyo akaja pokea simu baada ya kumuuliza kwann hupokei simu wiki nzima na hata text hujibu, akanijibu vimajibu vya kitoto sana basi nikakaa kimya.

Siku hiyo hiyo baada kama ya lisaa limoja hivi nikapokea text kutoka number mpya ikiwa inanitaka nitoe ushirikiano wa kuwa huyu GETU unamfahamu? Na nina yako, maana Mimi nilikuwa naye wiki nzima na simu nilikuwa nazo Mimi.

Basi nikamuelekeza jamaa naye akamaindi sana, kumbe jamaa naye alikuwa katoka zenzibar kamfata Getu, basi kama wanaume tukaongea pale yakaisha ikaonekana demu anatuchanganya wote, basi mie nikaona hapa hamna mwanamke

Baada ya tukio hilo baada ya mwezi mmoja akaanza kunitafuta na kuniomba msamaha Sana na alinifata hadi ninakoishi mkoa mwingine lakini nilimfukuza alilia Sana ila nilikaza na baadaye akasema Akili mbili Nina Mimba na hii Mimba ni yako.

Ishu kubwa inayonitesa je hii Mimba inaweza kuwa yangu kweli au nimpotezee tu nisubiri akija jifunguwa ndiyo nione mtoto Kama anafanana na Mimi au laa?

Maana Toka tukio Lile sinaga hisia naye kabisa na namchukia sana.
Sasa rafiki , kweli hapo unauliza tena ndugu?, Embu tumia akili kwanza hisia zifuate badae yaani binti akae na mtu one week , then hujui ni lini waliingia kwenye mahusiano, na mtu from Zanzibar mpaka kumuona Getu. Embu achana na huyo malaya then usitusumbue tena .Hiyo mimba kapime ujue ni yako au lah.


Ushauri tu
TEKERI.
 
Habari Wakuu,

Bila kupoteza mda niende Moja kwa Moja kwenye mada.

Nilikuwa na mpenzi ambaye ndiyo nilikuwa nategemea kumuoa, kilichofanya nije niulize hapa ni hili tukio. Mimi Niko mkoa mwingine na mpenzi wangu alikuwa anafanya kazi mkoa mwingine.

Siku moja nikawa nimeenda kumsalimia na nikaa naye kama siku tatu hivi ,baada ya hapo nikarudi mkoa ninaoishi kwa ajili ya kazi, basi ijumaa ya wiki hiyo niliyorudi akaniambia kutakuwa na ugeni ofisin kwao hivyo atakuwa busy maan yeye anafanya kazi hotel.

Basi kuanzia siku ya jumatatu hakuwahi pokea simu yangu wala kujibu text zangu Wala kanipigia yani nikawa nampigia simu inaita weee bila kupokeleea na namtumia text hajibu mpaka wiki ikaja kuisha siku ya jumapili ndiyo akaja pokea simu baada ya kumuuliza kwann hupokei simu wiki nzima na hata text hujibu, akanijibu vimajibu vya kitoto sana basi nikakaa kimya.

Siku hiyo hiyo baada kama ya lisaa limoja hivi nikapokea text kutoka number mpya ikiwa inanitaka nitoe ushirikiano wa kuwa huyu GETU unamfahamu? Na nina yako, maana Mimi nilikuwa naye wiki nzima na simu nilikuwa nazo Mimi.

Basi nikamuelekeza jamaa naye akamaindi sana, kumbe jamaa naye alikuwa katoka zenzibar kamfata Getu, basi kama wanaume tukaongea pale yakaisha ikaonekana demu anatuchanganya wote, basi mie nikaona hapa hamna mwanamke

Baada ya tukio hilo baada ya mwezi mmoja akaanza kunitafuta na kuniomba msamaha Sana na alinifata hadi ninakoishi mkoa mwingine lakini nilimfukuza alilia Sana ila nilikaza na baadaye akasema Akili mbili Nina Mimba na hii Mimba ni yako.

Ishu kubwa inayonitesa je hii Mimba inaweza kuwa yangu kweli au nimpotezee tu nisubiri akija jifunguwa ndiyo nione mtoto Kama anafanana na Mimi au laa?

Maana Toka tukio Lile sinaga hisia naye kabisa na namchukia sana.
Achana na huyo koko
 
Habari Wakuu,

Bila kupoteza mda niende Moja kwa Moja kwenye mada.

Nilikuwa na mpenzi ambaye ndiyo nilikuwa nategemea kumuoa, kilichofanya nije niulize hapa ni hili tukio. Mimi Niko mkoa mwingine na mpenzi wangu alikuwa anafanya kazi mkoa mwingine.

Siku moja nikawa nimeenda kumsalimia na nikaa naye kama siku tatu hivi ,baada ya hapo nikarudi mkoa ninaoishi kwa ajili ya kazi, basi ijumaa ya wiki hiyo niliyorudi akaniambia kutakuwa na ugeni ofisin kwao hivyo atakuwa busy maan yeye anafanya kazi hotel.

Basi kuanzia siku ya jumatatu hakuwahi pokea simu yangu wala kujibu text zangu Wala kanipigia yani nikawa nampigia simu inaita weee bila kupokeleea na namtumia text hajibu mpaka wiki ikaja kuisha siku ya jumapili ndiyo akaja pokea simu baada ya kumuuliza kwann hupokei simu wiki nzima na hata text hujibu, akanijibu vimajibu vya kitoto sana basi nikakaa kimya.

Siku hiyo hiyo baada kama ya lisaa limoja hivi nikapokea text kutoka number mpya ikiwa inanitaka nitoe ushirikiano wa kuwa huyu GETU unamfahamu? Na nina yako, maana Mimi nilikuwa naye wiki nzima na simu nilikuwa nazo Mimi.

Basi nikamuelekeza jamaa naye akamaindi sana, kumbe jamaa naye alikuwa katoka zenzibar kamfata Getu, basi kama wanaume tukaongea pale yakaisha ikaonekana demu anatuchanganya wote, basi mie nikaona hapa hamna mwanamke

Baada ya tukio hilo baada ya mwezi mmoja akaanza kunitafuta na kuniomba msamaha Sana na alinifata hadi ninakoishi mkoa mwingine lakini nilimfukuza alilia Sana ila nilikaza na baadaye akasema Akili mbili Nina Mimba na hii Mimba ni yako.

Ishu kubwa inayonitesa je hii Mimba inaweza kuwa yangu kweli au nimpotezee tu nisubiri akija jifunguwa ndiyo nione mtoto Kama anafanana na Mimi au laa?

Maana Toka tukio Lile sinaga hisia naye kabisa na namchukia sana.
Ama kwel ww una shida mahal FUSE zako haziko sawa kuna mahali zimekatika
 
Jibu unalo mwenyewe fanya unachoona ni sawa JF akuna anejua mapenzi yenu yametoka wap na mnapendana kias gan
 
Maana kuna maswali mengine ya kipuuzi sana. Mtu anaona kabisa aliyepo mbele yake ni Simba, halafu anakuuliza huyu anaekuja ni simba ama samaki?!

Sasa umjibuje hapo?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ingekuwa ni yeye hapo angesema ni Samaki 😂😂😂 wakati anaona kabisaa ni simba
 
Habari Wakuu,

Bila kupoteza mda niende Moja kwa Moja kwenye mada.

Nilikuwa na mpenzi ambaye ndiyo nilikuwa nategemea kumuoa, kilichofanya nije niulize hapa ni hili tukio. Mimi Niko mkoa mwingine na mpenzi wangu alikuwa anafanya kazi mkoa mwingine.

Siku moja nikawa nimeenda kumsalimia na nikaa naye kama siku tatu hivi ,baada ya hapo nikarudi mkoa ninaoishi kwa ajili ya kazi, basi ijumaa ya wiki hiyo niliyorudi akaniambia kutakuwa na ugeni ofisin kwao hivyo atakuwa busy maan yeye anafanya kazi hotel.

Basi kuanzia siku ya jumatatu hakuwahi pokea simu yangu wala kujibu text zangu Wala kanipigia yani nikawa nampigia simu inaita weee bila kupokeleea na namtumia text hajibu mpaka wiki ikaja kuisha siku ya jumapili ndiyo akaja pokea simu baada ya kumuuliza kwann hupokei simu wiki nzima na hata text hujibu, akanijibu vimajibu vya kitoto sana basi nikakaa kimya.

Siku hiyo hiyo baada kama ya lisaa limoja hivi nikapokea text kutoka number mpya ikiwa inanitaka nitoe ushirikiano wa kuwa huyu GETU unamfahamu? Na nina yako, maana Mimi nilikuwa naye wiki nzima na simu nilikuwa nazo Mimi.

Basi nikamuelekeza jamaa naye akamaindi sana, kumbe jamaa naye alikuwa katoka zenzibar kamfata Getu, basi kama wanaume tukaongea pale yakaisha ikaonekana demu anatuchanganya wote, basi mie nikaona hapa hamna mwanamke

Baada ya tukio hilo baada ya mwezi mmoja akaanza kunitafuta na kuniomba msamaha Sana na alinifata hadi ninakoishi mkoa mwingine lakini nilimfukuza alilia Sana ila nilikaza na baadaye akasema Akili mbili Nina Mimba na hii Mimba ni yako.

Ishu kubwa inayonitesa je hii Mimba inaweza kuwa yangu kweli au nimpotezee tu nisubiri akija jifunguwa ndiyo nione mtoto Kama anafanana na Mimi au laa?

Maana Toka tukio Lile sinaga hisia naye kabisa na namchukia sana.
Mimba inakuchanganyaje..? Dawa ya msaliti apewe malipo yake azae alee awe single mother. Nigga don't be mad men.
 
Habari Wakuu,

Bila kupoteza mda niende Moja kwa Moja kwenye mada.

Nilikuwa na mpenzi ambaye ndiyo nilikuwa nategemea kumuoa, kilichofanya nije niulize hapa ni hili tukio. Mimi Niko mkoa mwingine na mpenzi wangu alikuwa anafanya kazi mkoa mwingine.

Siku moja nikawa nimeenda kumsalimia na nikaa naye kama siku tatu hivi ,baada ya hapo nikarudi mkoa ninaoishi kwa ajili ya kazi, basi ijumaa ya wiki hiyo niliyorudi akaniambia kutakuwa na ugeni ofisin kwao hivyo atakuwa busy maan yeye anafanya kazi hotel.

Basi kuanzia siku ya jumatatu hakuwahi pokea simu yangu wala kujibu text zangu Wala kanipigia yani nikawa nampigia simu inaita weee bila kupokeleea na namtumia text hajibu mpaka wiki ikaja kuisha siku ya jumapili ndiyo akaja pokea simu baada ya kumuuliza kwann hupokei simu wiki nzima na hata text hujibu, akanijibu vimajibu vya kitoto sana basi nikakaa kimya.

Siku hiyo hiyo baada kama ya lisaa limoja hivi nikapokea text kutoka number mpya ikiwa inanitaka nitoe ushirikiano wa kuwa huyu GETU unamfahamu? Na nina yako, maana Mimi nilikuwa naye wiki nzima na simu nilikuwa nazo Mimi.

Basi nikamuelekeza jamaa naye akamaindi sana, kumbe jamaa naye alikuwa katoka zenzibar kamfata Getu, basi kama wanaume tukaongea pale yakaisha ikaonekana demu anatuchanganya wote, basi mie nikaona hapa hamna mwanamke

Baada ya tukio hilo baada ya mwezi mmoja akaanza kunitafuta na kuniomba msamaha Sana na alinifata hadi ninakoishi mkoa mwingine lakini nilimfukuza alilia Sana ila nilikaza na baadaye akasema Akili mbili Nina Mimba na hii Mimba ni yako.

Ishu kubwa inayonitesa je hii Mimba inaweza kuwa yangu kweli au nimpotezee tu nisubiri akija jifunguwa ndiyo nione mtoto Kama anafanana na Mimi au laa?

Maana Toka tukio Lile sinaga hisia naye kabisa na namchukia sana.
Oa tuu ni wife material uyo
 
Oya mr akili 2 me nakuongezea ya tatu [emoji116]

ACHANA NA HUYO MSHENZI
 
Nish
Kuna haya
1- hana mimba ila anatengeneza mazingira ya kutokupoteza

2-mimba ipo ndio ila je ni ya kwako kweli??au ya uyo jamaa mwingne ( anaweza dhibitisha kama ni yako kwa sasa au ndo mpaka mtoto azaliwe?)

3- kama utaweza kukubaliana na maumivu ya moyo na ile picha ya kusalitiwa akilini mwako na kusahau mazima ,,msamehe muendeleze gurudumu la mapenzi yenu
Nishasamehe yote ila picha ya kusaritiwa imegoma kutoka kichwani ,,
 
Hawara aachwi, mkule 0713,mpige tukio kama lake akukute na m-baby mwingine alafu akili yake itakaa sawa
 
Sasa rafiki , kweli hapo unauliza tena ndugu?, Embu tumia akili kwanza hisia zifuate badae yaani binti akae na mtu one week , then hujui ni lini waliingia kwenye mahusiano, na mtu from Zanzibar mpaka kumuona Getu. Embu achana na huyo malaya then usitusumbue tena .Hiyo mimba kapime ujue ni yako au lah.


Ushauri tu
TEKERI.
Asante mkuu kwa ushauri
 
Back
Top Bottom