- Thread starter
- #41
Hii kitu inatesa na siwezi rudia tenaKuna changamoto sana kuishi na mwanamke afanyaye kazi hotelini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu inatesa na siwezi rudia tenaKuna changamoto sana kuishi na mwanamke afanyaye kazi hotelini
Ooh sawa sawa mkuuMimba inakuchanganyaje..? Dawa ya msaliti apewe malipo yake azae alee awe single mother. Nigga don't be mad men.
Na Io picha ndo itakayokutesa na kufanya msiwe kama mwanzoNish
Nishasamehe yote ila picha ya kusaritiwa imegoma kutoka kichwani ,,
Nilimpata mtu humu tukaanza mahusiano fresh tu lakini ni ya kwa simu basi yalikuwa mazuri tu tena sana .Habari Wakuu,
Bila kupoteza mda niende Moja kwa Moja kwenye mada.
Nilikuwa na mpenzi ambaye ndiyo nilikuwa nategemea kumuoa, kilichofanya nije niulize hapa ni hili tukio. Mimi Niko mkoa mwingine na mpenzi wangu alikuwa anafanya kazi mkoa mwingine.
Siku moja nikawa nimeenda kumsalimia na nikaa naye kama siku tatu hivi ,baada ya hapo nikarudi mkoa ninaoishi kwa ajili ya kazi, basi ijumaa ya wiki hiyo niliyorudi akaniambia kutakuwa na ugeni ofisin kwao hivyo atakuwa busy maan yeye anafanya kazi hotel.
Basi kuanzia siku ya jumatatu hakuwahi pokea simu yangu wala kujibu text zangu Wala kanipigia yani nikawa nampigia simu inaita weee bila kupokeleea na namtumia text hajibu mpaka wiki ikaja kuisha siku ya jumapili ndiyo akaja pokea simu baada ya kumuuliza kwann hupokei simu wiki nzima na hata text hujibu, akanijibu vimajibu vya kitoto sana basi nikakaa kimya.
Siku hiyo hiyo baada kama ya lisaa limoja hivi nikapokea text kutoka number mpya ikiwa inanitaka nitoe ushirikiano wa kuwa huyu GETU unamfahamu? Na nina yako, maana Mimi nilikuwa naye wiki nzima na simu nilikuwa nazo Mimi.
Basi nikamuelekeza jamaa naye akamaindi sana, kumbe jamaa naye alikuwa katoka zenzibar kamfata Getu, basi kama wanaume tukaongea pale yakaisha ikaonekana demu anatuchanganya wote, basi mie nikaona hapa hamna mwanamke
Baada ya tukio hilo baada ya mwezi mmoja akaanza kunitafuta na kuniomba msamaha Sana na alinifata hadi ninakoishi mkoa mwingine lakini nilimfukuza alilia Sana ila nilikaza na baadaye akasema Akili mbili Nina Mimba na hii Mimba ni yako.
Ishu kubwa inayonitesa je hii Mimba inaweza kuwa yangu kweli au nimpotezee tu nisubiri akija jifunguwa ndiyo nione mtoto Kama anafanana na Mimi au laa?
Maana Toka tukio Lile sinaga hisia naye kabisa na namchukia sana.
Long distance relationships iwe ni kwa muda mfupi usiozidi mwezi. Zaidi ya hapo utachapiwa tu hata ufanyeje...Fimbo ya mbali haiui nyoka...mimi kuna long distance dem tulikuwa tunadate alipotea wikiend nzima...cm hapokei...mesej hajibu...nikajua tyar mwenzangu anajipakulia...na kwakuwa nlshajiandaa hilo nkapotezea...sijibu meseji na sim zake mpk leo
Mkuu kilikupata nini???..nipe experience maana nami kuna janga lmetokea...na ametoka copy ya mama yake...hakuna ht kuchaKilichonipata Mimi kitakupata naww, Cha msingi subir mtoto umuone Kwanza utauziwa mbuzi kwenye gunia..oohhhoooo