Huyu mwanamke anafaa kuwa mke kweli?

Fimbo ya mbali haiui nyoka...mimi kuna long distance dem tulikuwa tunadate alipotea wikiend nzima...cm hapokei...mesej hajibu...nikajua tyar mwenzangu anajipakulia...na kwakuwa nlshajiandaa hilo nkapotezea...sijibu meseji na sim zake mpk leo
 
Mbaya zaidi huyu getu me pia namtafuna Sanaa..kwanza ni loose ball hiyo...pole mkuu
 
Nilimpata mtu humu tukaanza mahusiano fresh tu lakini ni ya kwa simu basi yalikuwa mazuri tu tena sana .
Kidogo akasema nakuja huko Arusha mie kuja kukuona weweee siukimpigia anakuwa anafoka sasa hakujua anaongea na mtu gani basi nikawapa machalii kazi wakaenda kumsaka aliposema yupo na sehemubza starehe za watu waserikali akadakwa yupo najimama ndio amekuja kumsabahi huku Arusha , weeee nikamvumilia nikaona isiwe ishu nikamuacha .
Basi nikaja jua kuwa huku jf wengi hamjielewi wanaume mpo tu .
Unalala na limama lenye watoto watatu kila mtoto ana baba ake.
Mnawaacha wasichana tifu tifu huko mlipo au huku mnapokwenda aisee mnamoyo .

Mwingine naye unaanza mahusiano naye halafu hata wiki haiishi demu anapokea simu .
Hello hii simu ni ya bwana angu dah bwana yupi huyoo.
Akamtaja siunachoka sasa ...
Dawa ya wanaume weusi ni moja tu.
Wanawake wote wakaolewe na wazungu period....
Mie natafuta mzungu ndio wanaoendaga wanawake wazuri, wabaya wao wanataka tu mapenzii.
Basii.
 
Fimbo ya mbali haiui nyoka...mimi kuna long distance dem tulikuwa tunadate alipotea wikiend nzima...cm hapokei...mesej hajibu...nikajua tyar mwenzangu anajipakulia...na kwakuwa nlshajiandaa hilo nkapotezea...sijibu meseji na sim zake mpk leo
Long distance relationships iwe ni kwa muda mfupi usiozidi mwezi. Zaidi ya hapo utachapiwa tu hata ufanyeje...
 
Kilichonipata Mimi kitakupata naww, Cha msingi subir mtoto umuone Kwanza utauziwa mbuzi kwenye gunia..oohhhoooo
 
Kilichonipata Mimi kitakupata naww, Cha msingi subir mtoto umuone Kwanza utauziwa mbuzi kwenye gunia..oohhhoooo
Mkuu kilikupata nini???..nipe experience maana nami kuna janga lmetokea...na ametoka copy ya mama yake...hakuna ht kucha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…