Huyu mwanamke kanikosa na njaa zake

Mzee, anajiuza huyo.
Lkn pia wanawake wa mjini Daslam aisee ni shida! Ukiomba number tu umeshanunua matatizo makubwa.
 
Kivp tena
 
Uzi ungekosa maana kama usingechakata mbususu, ila umeshamgaragaza..

Kimbia sana kamanda, usigeuke nyuma.
 
Vipi ulitumia kondomu maana huyo anajiuza atakuwa kawapanga wengi Yani kukutana tu kwenye gari na mshavuana chupi?
Be careful
Ila point, sisi wanaume tunachukulia eti kakupenda au unajua sana kutongoza, kumbe watu kazini.

Mwanamke anayejiheshimu awezi kimbilia kuomba pesa na wakati ndio kwanza mmekutana na hajui una hali gani kifedha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…