Huyu mwanamke kanikosa na njaa zake

Huyu mwanamke kanikosa na njaa zake

Umetumia pesa nyingi sana,

Ulitakiwa umuite baa siku moja baada ya safari yenu, mnywe bia na nyama choma huku ukimlegeza na kwenda kula mzigo halafu unapiga chini.

Mimi ni mzembe sana kuhonga, ila akiwa anajielewa huwa natoa sana vihela.
 
Bora kuepuka zinaa, ukalinda tupu zako ukapata mume wa kheri akakuoa na kukuweka ndani akakutunza na kukuhudumia kwa kila kitu. Hata awe masikini atakuhudumia kwa uwezo wake.

Kuliko kuhangaika na dunia kuja kupewa tujisenti ambato hatukusaidia zaidi ya kukushusha thamani yako kukuongezea dhambi na possibly kupata maradhi.

Just thinking out loud. Its a harsh world ukiwa na tamaa na njaa za kijinga.
 
Nmekutana nae kwenye gari natoka mikoa ya kaskazini mwa nchi hii, nmepanda Basi nimekuta kwenye siti kakaa peke yake kaweka begi lake alivyoniona kalitoa tukaa wote nikampa salaam akaitikia kidharau nikasema powa nami nikawa bize na simu zangu

Tumefika korogwe Basi ikacmama kuchimba dawa ndo demu akashuka kumcheki vzr amejaaliwa nyuma na ndo ugonjwa wangu alivorudi bado nikaendelea kuwa bize na simu zangu sijamwongelesha

Pembeni yangu kuna jamaa wakaanzisha story za mpira na siasa tukaanze kula stori ubishi Safari ikawa tamu gafla

Tumefika msata ndo demu ananiuliza unashuka wapi nikamwambia na yeye akanambia ikibidi tuanze kufahamina kiasi tukapeana namba tukafika mwisho wa Safari yetu..

Asubuhi nikamcheki umeamkaje kaanza oooh njaa sijala nikamrushia cha ten km baada ya siku mbili tena analia njaa nikatoa twenty, juzi cku ya uhuru asubuhi kaamka ana shida ya15 haraka sana nikatuma imefika mchana kanichek Niko wapi nikamwambia bunju akanambia anatak kuniona nikamjibu njoo demu kaja kavaa kimitego nika kaa nae bar kidogo nikamwambie twende chumbani kajifanya kukataa kataa lkn mwisho kakubali huyo tukaelekea chumbani tukafany yetu, tumemaliza nikampa 10 nauli akasepa

Cha ajabu alivofika kwake kanitumia text eti yaan umenigaragaza ivo unanipa 10tu hata sabuni ya kufulia chupi na kuogea haitoshi nikauliza kwani tulikua tunauziana na je hizo nilizokua nakutumia uko juzi nilikua napata nini eti nisamehe nimeamua kuachana nae tangu juzi linatuma sms na kupiga silijibu Mimi. Limenikosa halinipati teeena shenzi saana

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kuna wanaume hamna class Na dignity, Hivi kila mwanamke ni wa kulala naye?
 
Kuna mahali unakwama ndugu inakuwaje mwanamke kuwasiliana tu siku ya kwanza tu anakuambia ana njaa we huoni anakuona mjinga na wew bila kufikiria hilo unampa hela mimi niliacha zamani kudate na wanawake hawa tena hauhitaj kutumia pesa nying Kama utahitaji kuwatumia one night stand
 
Nitumie namba yake kwenye Ujumbe fiche (PM) nimuonye asirudie tena kulalamika hovyo.
 
Nmekutana nae kwenye gari natoka mikoa ya kaskazini mwa nchi hii, nmepanda Basi nimekuta kwenye siti kakaa peke yake kaweka begi lake alivyoniona kalitoa tukaa wote nikampa salaam akaitikia kidharau nikasema powa nami nikawa bize na simu zangu

Tumefika korogwe Basi ikacmama kuchimba dawa ndo demu akashuka kumcheki vzr amejaaliwa nyuma na ndo ugonjwa wangu alivorudi bado nikaendelea kuwa bize na simu zangu sijamwongelesha

Pembeni yangu kuna jamaa wakaanzisha story za mpira na siasa tukaanze kula stori ubishi Safari ikawa tamu gafla

Tumefika msata ndo demu ananiuliza unashuka wapi nikamwambia na yeye akanambia ikibidi tuanze kufahamina kiasi tukapeana namba tukafika mwisho wa Safari yetu..

Asubuhi nikamcheki umeamkaje kaanza oooh njaa sijala nikamrushia cha ten km baada ya siku mbili tena analia njaa nikatoa twenty, juzi cku ya uhuru asubuhi kaamka ana shida ya15 haraka sana nikatuma imefika mchana kanichek Niko wapi nikamwambia bunju akanambia anatak kuniona nikamjibu njoo demu kaja kavaa kimitego nika kaa nae bar kidogo nikamwambie twende chumbani kajifanya kukataa kataa lkn mwisho kakubali huyo tukaelekea chumbani tukafany yetu, tumemaliza nikampa 10 nauli akasepa

Cha ajabu alivofika kwake kanitumia text eti yaan umenigaragaza ivo unanipa 10tu hata sabuni ya kufulia chupi na kuogea haitoshi nikauliza kwani tulikua tunauziana na je hizo nilizokua nakutumia uko juzi nilikua napata nini eti nisamehe nimeamua kuachana nae tangu juzi linatuma sms na kupiga silijibu Mimi. Limenikosa halinipati teeena shenzi saana

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kimeumana
 
Nmekutana nae kwenye gari natoka mikoa ya kaskazini mwa nchi hii, nmepanda Basi nimekuta kwenye siti kakaa peke yake kaweka begi lake alivyoniona kalitoa tukaa wote nikampa salaam akaitikia kidharau nikasema powa nami nikawa bize na simu zangu

Tumefika korogwe Basi ikacmama kuchimba dawa ndo demu akashuka kumcheki vzr amejaaliwa nyuma na ndo ugonjwa wangu alivorudi bado nikaendelea kuwa bize na simu zangu sijamwongelesha

Pembeni yangu kuna jamaa wakaanzisha story za mpira na siasa tukaanze kula stori ubishi Safari ikawa tamu gafla

Tumefika msata ndo demu ananiuliza unashuka wapi nikamwambia na yeye akanambia ikibidi tuanze kufahamina kiasi tukapeana namba tukafika mwisho wa Safari yetu..

Asubuhi nikamcheki umeamkaje kaanza oooh njaa sijala nikamrushia cha ten km baada ya siku mbili tena analia njaa nikatoa twenty, juzi cku ya uhuru asubuhi kaamka ana shida ya15 haraka sana nikatuma imefika mchana kanichek Niko wapi nikamwambia bunju akanambia anatak kuniona nikamjibu njoo demu kaja kavaa kimitego nika kaa nae bar kidogo nikamwambie twende chumbani kajifanya kukataa kataa lkn mwisho kakubali huyo tukaelekea chumbani tukafany yetu, tumemaliza nikampa 10 nauli akasepa

Cha ajabu alivofika kwake kanitumia text eti yaan umenigaragaza ivo unanipa 10tu hata sabuni ya kufulia chupi na kuogea haitoshi nikauliza kwani tulikua tunauziana na je hizo nilizokua nakutumia uko juzi nilikua napata nini eti nisamehe nimeamua kuachana nae tangu juzi linatuma sms na kupiga silijibu Mimi. Limenikosa halinipati teeena shenzi saana

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Na lazima litakuwa humu linasoma
 
Tafuta pesa ili uache kuandika nyuzi za namna hii...
Inabidi ajitahidi sana kuzitafuta akirudi akasoma hizi threads zake atakuja kuona alkua anaandika ujinga.
255753690649_status_29d4496d7f294101b06d7872173cba51.jpg
 
Nmekutana nae kwenye gari natoka mikoa ya kaskazini mwa nchi hii, nmepanda Basi nimekuta kwenye siti kakaa peke yake kaweka begi lake alivyoniona kalitoa tukaa wote nikampa salaam akaitikia kidharau nikasema powa nami nikawa bize na simu zangu

Tumefika korogwe Basi ikacmama kuchimba dawa ndo demu akashuka kumcheki vzr amejaaliwa nyuma na ndo ugonjwa wangu alivorudi bado nikaendelea kuwa bize na simu zangu sijamwongelesha

Pembeni yangu kuna jamaa wakaanzisha story za mpira na siasa tukaanze kula stori ubishi Safari ikawa tamu gafla

Tumefika msata ndo demu ananiuliza unashuka wapi nikamwambia na yeye akanambia ikibidi tuanze kufahamina kiasi tukapeana namba tukafika mwisho wa Safari yetu..

Asubuhi nikamcheki umeamkaje kaanza oooh njaa sijala nikamrushia cha ten km baada ya siku mbili tena analia njaa nikatoa twenty, juzi cku ya uhuru asubuhi kaamka ana shida ya15 haraka sana nikatuma imefika mchana kanichek Niko wapi nikamwambia bunju akanambia anatak kuniona nikamjibu njoo demu kaja kavaa kimitego nika kaa nae bar kidogo nikamwambie twende chumbani kajifanya kukataa kataa lkn mwisho kakubali huyo tukaelekea chumbani tukafany yetu, tumemaliza nikampa 10 nauli akasepa

Cha ajabu alivofika kwake kanitumia text eti yaan umenigaragaza ivo unanipa 10tu hata sabuni ya kufulia chupi na kuogea haitoshi nikauliza kwani tulikua tunauziana na je hizo nilizokua nakutumia uko juzi nilikua napata nini eti nisamehe nimeamua kuachana nae tangu juzi linatuma sms na kupiga silijibu Mimi. Limenikosa halinipati teeena shenzi saana

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Ndo dawa yao man,piga mbupu ndo unatoa ela

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mzee, anajiuza huyo.
Lkn pia wanawake wa mjini Daslam aisee ni shida! Ukiomba number tu umeshanunua matatizo makubwa.
[emoji23][emoji23]Ukichukua tu namba unakuwa in big trouble by default kama hela zako ni za ngama.
 
Back
Top Bottom