Huyu mwanamke ni mzuri kama malaika, halafu mlokole

kwahiyo mlokole wa watu anakupigia simu kila siku kukujulia hali sio…halafu wewe usipompigia anakulalamikia si ndio eee

Safiii🤛
Ni swala la muda tu
Hao wote ni kama vile wanaogopana! Mlokole anaona kisha jitambulisha kua yeye kaokoka,so kuomba game anaona kama itakua sio sawa,na jamaa yetu kisha pigwa sound kua demu kaokoka,so anaona kumuomba game mlokole itakua sio sawa na huenda ndio ikawa mwisho wa urafiki wao,but kiuhalisia,sasa hivi kila mmoja kati yao, yupo tayari kuitenda ile dhambi.
 
There you are ..unawaza kama mimi...ulokole ni kakichaka tu✌
Ngoja nikwambie tu ukweli ndugu yangu..sio wanawake tu hata wanaume wanapendwa kudanganywa.

Imagine huyo mwanamke angekuwa amevaa min skirt pengine ikamuonesha baadhi ya maungo kama kwanzia hapo juu ya Magoti kushuka chini na akamwambia ameokoka hivi unafikiri angemwamini?kuna kakivuli ka uwokovu amekatanguliza mbele..

😂😂hawa majamaa kunasiku watapasuana sehemu za uzazi ngoja tusubiri
 
Hujambo rafiki?

😎
 
stop living in fantansy
 
niamini TI..kuna siku ndugu yetu tunaependezwa nae atamualika shangazi mlokole wakapate divai na chakula cha bwana restaurant baada ya kumaliza kula ataomba amsindikize nyumbani….sasa umbali wa kutoka restaurant mpka nyumban.. lolote laweza kutokea ikiwa ni pamoja na kupanga siku nyingine ya kwenda kusifu na kuabudu mlima sayuni

Hallelujah
 
Hao mimi siwaachi natengaga laki5 ikifika Laki 2 na nusu sijamla nakatisha mzuka.
 
Huu uzi bila picha hauna mashiko hata kidogo
 
Uzii huu bila picha ni batili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…