singanojr
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 1,974
- 10,361
[emoji23][emoji23][emoji23]Nyama ya kuku gani inauzwa elf 5?? Au zile za gongo la mboto
We humfai huyo mdogo wangu halafu kana akili kameshajua wewe empty set
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nyama ya kuku gani inauzwa elf 5?? Au zile za gongo la mboto
We humfai huyo mdogo wangu halafu kana akili kameshajua wewe empty set
Wenye Gongo la Mboto yao wamekuja.....Swali zuri sana....Gongo la mboto imekujaje hapa.
Una miaka mingapi?Kwema wakuu, kama mada inavojieleza kuna mdada nilikutananae wiki iliyopita kwa kifupi nilimwelewa nikamwomba namba akanipa tukayajenga fresh akakubali baada ya hapo nikaomba nionane nae sehemu mida ya jioni nikamnunulia nyama za kuku nikatoa noti ya af10 nikalipa. sasa yule demu baada ya kuiona noti ile alijawa na bashasha, basi nikapokea chenji kwa muuza nyama nikaanza kumsindikiza kuelekea kwao sababu alinambia tukitoka hapo nimsindkize kwao tulivofika karibu na kwao nikaomba anikiss.
Ee bwana ee si akanipa denda tukaagana mara ananiambia naomba nibless nauli ya kwenda nayo field kesho alitumia neno NIBLESS nauli ya kwenda nayo field sikumpa mana nilimnunulia nyama, pia anataka nimnunulie sweta la kuvaa huko field.
Sasa kinacho nikela huyu bidada huwa ananiuliza maswali ya kidwanzi kwamba nikimkuta na njemba nitamchukuliaje? Pia mara nyingi nikimchek kwa sms hasa mida ya usiku ananiambia yupo busy na masomo Pia mchana aniambia anakua busy field ni tabia ambayo anayo mara kwa mara sasa juzi nikaamua nifute namba yake mana ina kera kumtafuta mtu mda wote anakuambh yupo busy ilinisimsumbue mana akinambia nisimcheki ndo nataman zaidi kumtext pia nayeye toka nimefuta namba yake hajenicheki. Mabaharia vipi nimvizie ni hit and run au nivunge tu mana nikitaka nionane nae napajua kwao na anaposoma pia?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nyama ya kuku gani inauzwa elf 5?? Au zile za gongo la mboto
We humfai huyo mdogo wangu halafu kana akili kameshajua wewe empty set
Watu wengine bhanaNyama ya kuku gani inauzwa elf 5?? Au zile za gongo la mboto
We humfai huyo mdogo wangu halafu kana akili kameshajua wewe empty set
Wanaanzaga hivi hivi, atataka sweater kisha gari na baadaye pango la nyumba la miaka miwili huku mzigo hujala bado. Kwa kweli kuna wanaume na vijanadume hapa Tanzania.Mnunulie kwanza sweta, baridi ni hatari kwa afya yake...
Acha ku date na wanafunziKwema wakuu, kama mada inavojieleza kuna mdada nilikutananae wiki iliyopita kwa kifupi nilimwelewa nikamwomba namba akanipa tukayajenga fresh akakubali baada ya hapo nikaomba nionane nae sehemu mida ya jioni nikamnunulia nyama za kuku nikatoa noti ya af10 nikalipa. sasa yule demu baada ya kuiona noti ile alijawa na bashasha, basi nikapokea chenji kwa muuza nyama nikaanza kumsindikiza kuelekea kwao sababu alinambia tukitoka hapo nimsindkize kwao tulivofika karibu na kwao nikaomba anikiss.
Ee bwana ee si akanipa denda tukaagana mara ananiambia naomba nibless nauli ya kwenda nayo field kesho alitumia neno NIBLESS nauli ya kwenda nayo field sikumpa mana nilimnunulia nyama, pia anataka nimnunulie sweta la kuvaa huko field.
Sasa kinacho nikela huyu bidada huwa ananiuliza maswali ya kidwanzi kwamba nikimkuta na njemba nitamchukuliaje? Pia mara nyingi nikimchek kwa sms hasa mida ya usiku ananiambia yupo busy na masomo Pia mchana aniambia anakua busy field ni tabia ambayo anayo mara kwa mara sasa juzi nikaamua nifute namba yake mana ina kera kumtafuta mtu mda wote anakuambh yupo busy ilinisimsumbue mana akinambia nisimcheki ndo nataman zaidi kumtext pia nayeye toka nimefuta namba yake hajenicheki. Mabaharia vipi nimvizie ni hit and run au nivunge tu mana nikitaka nionane nae napajua kwao na anaposoma pia?
mwanachuo nimtu mzima.Acha ku date na wanafunzi
Hahaha, madogo miyeyusho sana. Wewe kiukweli kabisa katafute hela kwanza kama unataka tukushauri kwamba utulie na huyo mwanamke, maana bila hela nyuzi za maumivu zitakuwa nyingi sana. Huyo saivi hawezi kuwa na wewe peke yako kama hauna hela.Kwema wakuu, kama mada inavojieleza kuna mdada nilikutananae wiki iliyopita kwa kifupi nilimwelewa nikamwomba namba akanipa tukayajenga fresh akakubali baada ya hapo nikaomba nionane nae sehemu mida ya jioni nikamnunulia nyama za kuku nikatoa noti ya af10 nikalipa. sasa yule demu baada ya kuiona noti ile alijawa na bashasha, basi nikapokea chenji kwa muuza nyama nikaanza kumsindikiza kuelekea kwao sababu alinambia tukitoka hapo nimsindkize kwao tulivofika karibu na kwao nikaomba anikiss.
Ee bwana ee si akanipa denda tukaagana mara ananiambia naomba nibless nauli ya kwenda nayo field kesho alitumia neno NIBLESS nauli ya kwenda nayo field sikumpa mana nilimnunulia nyama, pia anataka nimnunulie sweta la kuvaa huko field.
Sasa kinacho nikela huyu bidada huwa ananiuliza maswali ya kidwanzi kwamba nikimkuta na njemba nitamchukuliaje? Pia mara nyingi nikimchek kwa sms hasa mida ya usiku ananiambia yupo busy na masomo Pia mchana aniambia anakua busy field ni tabia ambayo anayo mara kwa mara sasa juzi nikaamua nifute namba yake mana ina kera kumtafuta mtu mda wote anakuambh yupo busy ilinisimsumbue mana akinambia nisimcheki ndo nataman zaidi kumtext pia nayeye toka nimefuta namba yake hajenicheki. Mabaharia vipi nimvizie ni hit and run au nivunge tu mana nikitaka nionane nae napajua kwao na anaposoma pia?