Huyu mwanamke nimtafute tena au nibwage?

Huyu mwanamke nimtafute tena au nibwage?

Nje ya kidogo ya maada mliyajengaje? yaani ulimwambia maneno gani hadi akakubali? Tunasaidie na sisi madomozege tupate pa kuanzia.
 
Kwema wakuu, kama mada inavojieleza kuna mdada nilikutananae wiki iliyopita kwa kifupi nilimwelewa nikamwomba namba akanipa tukayajenga fresh akakubali baada ya hapo nikaomba nionane nae sehemu mida ya jioni nikamnunulia nyama za kuku nikatoa noti ya af10 nikalipa. sasa yule demu baada ya kuiona noti ile alijawa na bashasha, basi nikapokea chenji kwa muuza nyama nikaanza kumsindikiza kuelekea kwao sababu alinambia tukitoka hapo nimsindkize kwao tulivofika karibu na kwao nikaomba anikiss.

Ee bwana ee si akanipa denda tukaagana mara ananiambia naomba nibless nauli ya kwenda nayo field kesho alitumia neno NIBLESS nauli ya kwenda nayo field sikumpa mana nilimnunulia nyama, pia anataka nimnunulie sweta la kuvaa huko field.

Sasa kinacho nikela huyu bidada huwa ananiuliza maswali ya kidwanzi kwamba nikimkuta na njemba nitamchukuliaje? Pia mara nyingi nikimchek kwa sms hasa mida ya usiku ananiambia yupo busy na masomo Pia mchana aniambia anakua busy field ni tabia ambayo anayo mara kwa mara sasa juzi nikaamua nifute namba yake mana ina kera kumtafuta mtu mda wote anakuambh yupo busy ilinisimsumbue mana akinambia nisimcheki ndo nataman zaidi kumtext pia nayeye toka nimefuta namba yake hajenicheki. Mabaharia vipi nimvizie ni hit and run au nivunge tu mana nikitaka nionane nae napajua kwao na anaposoma pia?
Una miaka mingapi?
 
Yaani mtu kala nyama zako za kuku alafu anazingua usikubali mwana!

Alafu eti anaona chenji ya teni imerudi eti anaomba umbless?

Ila JF dah.
 
ifike mahali ukue pambana ujitambue unataka nini kwa huyo mtoto mwenzio ,vinginevyo utapoteza muda na hela zako ...unachokitaka kuna wenzako wanapewa bure bila kutoa chochote
 
NIMESOMA COMMENTS NIMECHEKA HADI TUMBO LINANIUMA. WAKUU SHUSHENI COMMENTS ZIWE MINGI
 
Junior eeh,huyo demu Ana msela mwingine anaemuelewa,chakufanya mulie tiiming piga afu sepa hela isiende bure
 
Aikoooooo! Umtafute kwa nini wakati red flag tayari zimekuzunguka ulishabwagwa🤣🤣🤣🤣
 
Kwema wakuu, kama mada inavojieleza kuna mdada nilikutananae wiki iliyopita kwa kifupi nilimwelewa nikamwomba namba akanipa tukayajenga fresh akakubali baada ya hapo nikaomba nionane nae sehemu mida ya jioni nikamnunulia nyama za kuku nikatoa noti ya af10 nikalipa. sasa yule demu baada ya kuiona noti ile alijawa na bashasha, basi nikapokea chenji kwa muuza nyama nikaanza kumsindikiza kuelekea kwao sababu alinambia tukitoka hapo nimsindkize kwao tulivofika karibu na kwao nikaomba anikiss.

Ee bwana ee si akanipa denda tukaagana mara ananiambia naomba nibless nauli ya kwenda nayo field kesho alitumia neno NIBLESS nauli ya kwenda nayo field sikumpa mana nilimnunulia nyama, pia anataka nimnunulie sweta la kuvaa huko field.

Sasa kinacho nikela huyu bidada huwa ananiuliza maswali ya kidwanzi kwamba nikimkuta na njemba nitamchukuliaje? Pia mara nyingi nikimchek kwa sms hasa mida ya usiku ananiambia yupo busy na masomo Pia mchana aniambia anakua busy field ni tabia ambayo anayo mara kwa mara sasa juzi nikaamua nifute namba yake mana ina kera kumtafuta mtu mda wote anakuambh yupo busy ilinisimsumbue mana akinambia nisimcheki ndo nataman zaidi kumtext pia nayeye toka nimefuta namba yake hajenicheki. Mabaharia vipi nimvizie ni hit and run au nivunge tu mana nikitaka nionane nae napajua kwao na anaposoma pia?
Acha ku date na wanafunzi
 
Kwema wakuu, kama mada inavojieleza kuna mdada nilikutananae wiki iliyopita kwa kifupi nilimwelewa nikamwomba namba akanipa tukayajenga fresh akakubali baada ya hapo nikaomba nionane nae sehemu mida ya jioni nikamnunulia nyama za kuku nikatoa noti ya af10 nikalipa. sasa yule demu baada ya kuiona noti ile alijawa na bashasha, basi nikapokea chenji kwa muuza nyama nikaanza kumsindikiza kuelekea kwao sababu alinambia tukitoka hapo nimsindkize kwao tulivofika karibu na kwao nikaomba anikiss.

Ee bwana ee si akanipa denda tukaagana mara ananiambia naomba nibless nauli ya kwenda nayo field kesho alitumia neno NIBLESS nauli ya kwenda nayo field sikumpa mana nilimnunulia nyama, pia anataka nimnunulie sweta la kuvaa huko field.

Sasa kinacho nikela huyu bidada huwa ananiuliza maswali ya kidwanzi kwamba nikimkuta na njemba nitamchukuliaje? Pia mara nyingi nikimchek kwa sms hasa mida ya usiku ananiambia yupo busy na masomo Pia mchana aniambia anakua busy field ni tabia ambayo anayo mara kwa mara sasa juzi nikaamua nifute namba yake mana ina kera kumtafuta mtu mda wote anakuambh yupo busy ilinisimsumbue mana akinambia nisimcheki ndo nataman zaidi kumtext pia nayeye toka nimefuta namba yake hajenicheki. Mabaharia vipi nimvizie ni hit and run au nivunge tu mana nikitaka nionane nae napajua kwao na anaposoma pia?
Hahaha, madogo miyeyusho sana. Wewe kiukweli kabisa katafute hela kwanza kama unataka tukushauri kwamba utulie na huyo mwanamke, maana bila hela nyuzi za maumivu zitakuwa nyingi sana. Huyo saivi hawezi kuwa na wewe peke yako kama hauna hela.
 
Back
Top Bottom