Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Her age?mwanachuo nimtu mzima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Her age?mwanachuo nimtu mzima.
22Her age?
Man huyo hajapevuka kiakili. At that age mwanamke bado ana explore life, hiyo ni age ya try and error. Probably wewe si wakwanza kwake. At hiyo age wanasumbua sana unless you can carry utoto wake
Sweta tu kaanzisha uzi, mnauhakika kwenye harusi yao tutashiba kweli??? #jokesWanaanzaga hivi hivi, atataka sweater kisha gari na baadaye pango la nyumba la miaka miwili huku mzigo hujala bado. Kwa kweli kuna wanaume na vijanadume hapa Tanzania.
🤣🤣🤣🤣🤣My country people!yule demu baada ya kuiona noti ile alijawa na bashasha
Wenyewe wanasema kwenye harusi za kuchangishana unakwenda ili tu kusupport si kula na kushiba. Hapo ushatoa milioni 5 za mchango eti unakwenda kunywa beer 2 na labda kunywa chupa moja ya maji baridi.Sweta tu kaanzisha uzi, mnauhakika kwenye harusi yao tutashiba kweli??? #jokes
Unayajua maumivu ya kutoa mchango halafu ukose chakula siku ya sherehe?😅Wenyewe wanasema kwenye harusi za kuchangishana unakwenda ili tu kusupport si kula na kushiba. Hapo ushatoa milioni 5 za mchango eti unakwenda kunywa beer 2 na labda kunywa chupa moja ya maji baridi.
Wao wanajali nini, wao wanachotaka tu wewe utoe hela na usikute wanakuombea hiyo siku ya harusi usifike.Unayajua maumivu ya kutoa mchango halafu ukose chakula siku ya sherehe?😅