Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

Mkuu maisha ya wadada ni magumu Sana oa tu hiyo Mali(Kula chuma hicho)
Hapo ukute keshakutegeshea mimba ili akuzalie kabisa
 
Okay roger that.i got a numbers of plan from here,ni mimi kutulia nakufanyia kazi.thanks ma.
Fanya haraka utuletee mrejesho tunangoja kuona baby mama wako anakuwa free kwako na sio malayer unazokutana nazo, kumbuka mtoto wako anahitaji malezi yako
 
Kwani ukipiga hesabu vitu vya hapo ndani ulipo panga vina thamani gani?

Toka hapo tokomea muachie nyumba atajijua mwenyewe


Amani ya moyo ni bora zaidi kuliko vitu utqkavyoviacha hapo kumkimbia huyo mhuni wako.
Hakuna vya kumuachia nyumba, inaonekana jamaa hamna kitu yaani mlenda, anashindwaje kuwa mkali amfukuzie mbali abaki na amani yake ya moyo na baby mama wake
 
Mkuu maisha ya wadada ni magumu Sana oa tu hiyo Mali(Kula chuma hicho)
Hapo ukute keshakutegeshea mimba ili akuzalie kabisa
Na yule mchumba sjui mke baby mama wake ndo abaki wa kuitwa single maza? Hizi umbwa sio kila muokota makopo amevuta bangi kumbe
 
Hahaha! Unajua napata shida sana kuamini uwepo wa watu kama wewe. Watu wanaoendeshwa, kuteswa, kuonewa na Wanawake. Naona kama natazama Sci fi movie. Huu uzi naona unaweza kuwa Chai.

Mimi ndio maana habari za kugandana na mtu sitaki kuzisikia kabisa. Ukimaliza shida unadissappear kama ghost.

Wanawake ni binadamu na binadamu ni kama mbwa. Anakusoma na unachomzoesha na kumfundisha ndicho anachokifanya. Maana yake siku za mwanzoni unatakiwa umfundishe unayotaka ayajue kuhusu wewe kama ni mtu wa misimamo au boya.

Ulichokosea ni kumuacha siku ya kwanza kabisa aende kinyume na maamuzi yako bila kumfanya chochote, hivyo akakuona boya na easy kukuendesha.

Kama kweli una nia ya kumuacha na kusawazisha mambo. Basi mbadilikie mara moja. Kuwa mkali na umuonyeshe who's the fukin man in the damn house. Kwa kiswahili ni mbadilikie na umuonyeshe nani mwanaume kwenye nyumba.
 
This is it.
 
Mbinu za kibinadamu hazita kutoa ulipo
Tumia za kimafia kisha leta mrejesho. Niliwahi kupitia hali kama hiyo mbinu za kimafia ndio zilinitoa,
Nili time hayupo ni kafunga mlango nikamwandikia sms nimeenda wilaya jirani, akawa anapiga simu sipokei wala sijibu sms baada ya wiki nakamwelekeza mahali aka chukue mabegi yake. Baada ya hapo nilijiona kama nimezaliwa upya. Wewe una mahali pakukimbilia hamia huko mwezi vitu vyake mtumishie bodaboda mpe boda namba yake
Ukisha mwambia nimekutumia vitu vyako usitake mawasiliano wala usilale kwako siku hiyo, au hama
 
I got you buddha.🙏🙏
 
Fukuxa Mtoroke fala huyo kabla haja kupiga msumari
 
Jamaa ameyakanyaga halafu inavyoonekana mwanamke amewahi kumsoma jamaa kwa haraka sana kwamba ni mtu mpole,sio mchoyo,muelewa mwanamke akaona ndio huyu huyu nilikuwa nakesha kwenye maombi kumtafuta sasa amejitokeza ndio maana kajiachia kabisa wala hamuogopi,kila anachoomba anapewa ataenda wapi tena.
Wewe unadhani ingekuwa jamaa ana uso wa mbuzi,muonekano kama jambazi unadhani angekaa hapo.
Kwa kifupi jamaa kwa sasa hana cha kufanya hapo inasubiriwa mimba tu ili iwe kidhibiti kamili.
Yaani hapo usalama wake ni kumtelekeza tu kumsusia geto na kumzimia simu akushakaa na njaa siku 2 mwenyewe ataondoka,akishaondoka unaenda kuhamisha vitu vyako unahamia mtaa mwingine kama uko serious lakini maana isije ikawa tunaombwa ushauri wakati kumbe na mwentewe kashanogewa naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…