Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

Vipi mkuu ulifanikiwa kumtimua??? Au mpo mnalea mimba?
 
Noma sana!
 
Ongeza perfomance ukigonga vzuri anaondkka
 
Nilifikiria kama hivi ila niliweka kama plan C sababu akili zake anazijua mwenyewe naweza rudi baadae nikakuta kasepa na kila ktu.
Njoo kwenye ofisi yangu ya kausha damu, nikujazie form feki kwamba unadaiwa milioni 2 hivi na umeweka bondi kitanda, Godoro, Tv, Bufa, Sofa, Simu yako n.k

Halafu nakuja kufilisi hivyo vitu vyote...


lazima aondoke
 
Sure
 
Umemtumia umechoka unaona hana maana
 
Kukutana na mchepuko siyo mbaya ila kumpeleks geto ndo mtihani..mbaya ukampa na funguo, je angeiba vitu ukabaki wewe tu.ingekuwaje?. Huyu mwanamke ni mstaraabu anachotaka ni mume tu..la svyo ungelia, ila pia wwe ni mpole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…