Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

Niko serious mkuu me ni mvivu sana kuandika yanini nitumie nguvu kubwa niumize macho kuandika kitu ambacho hakipo.

Ila nashukuru umenipa idea kubwa sana nimepata plan B. Ngja nisubr plan A
 
Tafuta chumba mbali na hapo kale deal na afisa mikopo waje wasombe vitu umeshindwa kulipa mkopo ila anza kujenga mazingira ulalamike una mkopo umekopa microfinance jitie mawazo haulali halafu wake kubeba kumbe wanakuhamisha weeee hakai halafu wewe jifanye waenda kukaaa Kwa mshikaji.
 
Mnyakyusa?
 
Kama umemkuta bikra basi ishi nae , ila kama umekuta K imechakatwa vya kutosha imenyunduliwa imedidimwa, imebinywabinywa , imelambwa ikakunwa ikapapaswa na ikapimwa oil kabisa basi achanana nae haraka!!!
 
Mbadilishie kitasa Cha mlango, mizigo yake weka nje, potea Wiki Nzima, ukirud, unaingia kulala mida ishaenda. Mkodishie Askari aje amtoe. Mimi naona kinachokusumbua ni upole wako, hapo mlipofikia ni roho mbaya tu Ndio inatakiwa.
 
Nimecheka sana. 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…