Huyu Mwanamke tangu alipokuja kwangu kang'ang'ania kukaa hataki kuondoka

Nilifikiria kama hivi ila niliweka kama plan C sababu akili zake anazijua mwenyewe naweza rudi baadae nikakuta kasepa na kila ktu.
Plan B....
Mtoe out, mkakae huko siku nzima, huku nyuma ushaacha bodaboda na arrangement zote wanahamisha vitu....hamia geto lingine.

Wakati wa kurudi mtangulize yeye jifanye hata unapitia kitu shop, anakutana na gofu.

na hii ikifeli sema mume nikupe plan zingine
 
Okay roger that.i got a numbers of plan from here,ni mimi kutulia nakufanyia kazi.thanks ma.
 
hii plan unyama sana.i've never loose that on this 🙏🙏
 
M pia nashngaa mieZi mitatu bila kumpa mimba [emoji23] duh haya bhna kijna mwezetu
 
Kapange chumba kingine kodi ikiisha atapambana na hali yake
 
Kabila gani huyo!!?Mgogo au mrangi!!?

Tafuta chumba kingine uhame kabisa hapo mwachie samani zote ulizonazo!!hakikisha hajui utakapohamia!!baada ya hapo badili laini ya sim Ili msiwasiliane!!

Mwachie msala wa kodi ya nyumba!!
 
Hats off...Akili ya kimafia kweli hii
 
Niko serious mkuu me ni mvivu sana kuandika yanini nitumie nguvu kubwa niumize macho kuandika kitu ambacho hakipo.

Ila nashukuru umenipa idea kubwa sana nimepata plan B. Ngja nisubr plan A
Halafu nyie vijana wa kileo ndomaana mnaitwa kwa majina mengi!

Umefungua uzi na takribani 90% ya waliokuchangia, mnafanana mawazo pamoja na upeo wenu wa kuchukua maamuzi!

Unamchukua mwanamke hawara kwa ajili ya kustareheshana, baadaye anaipindua meza kwa nia ovu anakuwa mke!

Halafu kwa mwaka mmoja ulioishi naye unamuona kabisa kuwa hamuendani na hakufai, lakini umeshindwa kupata sababu ya kumuacha!

Hili jambo linawezekana kweli?

Mkuu una haiba ya kilokole kichungaji chungaji nini?

Mwanamke asiye mke wako, namaanisha msiyefunga naye ndoa, hana haki zozote anazozistahili kutoka kwako na pia hauwezi kuumiza sana nafsi pamoja na akili zako kutafuta njia namna ya kumuondoa.

Sababu uliyoijenga mwanzo kumweleza kuwa una mzazi mwenzako, hiyo ticket ilitosha kabisa kumuondoa bila ya kutafuta vijisababu vingine vya kufikirika.

Lakini nadhani mkuu kuna kiunganishi flani unakiwaza kuwa ukimtema kitakuuma sana, hakuna kingine.

Mtu unapewa papa unaila huku ukitoa machozi ya furaha, wadhani ni vyepesi kuzindukana na kuipotezea?

Waijiua sababu ya kwanini mtoto huwa hapendi kuacha kunyonya ziwa la mamake, hadi awekewe pilipili zimuwashe ndiyo aone kuwa hakuna namna?

Tuwe wakweli bhana, huyo mwanamke bado unampenda, vinginevyo ni rahisi sana kumuondoa kwenye himaya yako mwanamke ambaye si mke wako, bila ya kusaka mbinu za ziada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…