Huyu Mwanamke tumeshindwana. Aende zake tu mi siwezi kwa kweli

Huyu Mwanamke tumeshindwana. Aende zake tu mi siwezi kwa kweli

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Nimemwambia tukutane guest house. Kawahi sababu kwao ni karibu. Kachukua room ila hakulipa mpaka nije mimi.

Nimefika room nikampa pesa aende kulipa hataki. Tumebishana masaa mawili mwishowe kaenda kalipa. Karudi namuliza umeandikisha na jina. Anasema hawezi andikisha jina lake nikaandike langu.

Huu si ujeuri kabisa? Yaani pesa kaenda lipa yeye anataka litumike jina langu kwenye kitabu cha guest?huyu kweli atanifaa kumuwowa?naona kama hawezi jishusha hivi je kwenye ndoa si ndo atanipanda kichwani.

Nimemwambia akaandikishe jina kagoma kabisa. Basi tumekaa kuanzia saa 12 jioni jana mpaka saa 6 usiku kila mtu anategea mwenzake ndo akaandike jina. Nikaona ujinga. Nikaamka kama naenda kuandikisha.

Nikatlka nje nikapanda bodaboda nikarudi zangu home na simu nikazima. Sipendi wanawake wajeuri kabisa.
 
Nimemwambia tukutane guest house. Kawahi sababu kwao ni karibu. Kachukua room ila hakulipa mpaka nije mimi.

Nimefika room nikampa pesa aende kulipa hataki. Tumebishana masaa mawili mwishowe kaenda kalipa. Karudi namuliza umeandikisha na jina. Anasema hawezi andikisha jina lake nikaandike langu.

Huu si ujeuri kabisa? Yaani pesa kaenda lipa yeye anataka litumike jina langu kwenye kitabu cha guest?huyu kweli atanifaa kumuwowa?naona kama hawezi jishusha hivi je kwenye ndoa si ndo atanipanda kichwani.

Nimemwambia akaandikishe jina kagoma kabisa. Basi tumekaa kuanzia saa 12 jioni jana mpaka saa 6 usiku kila mtu anategea mwenzake ndo akaandike jina. Nikaona ujinga. Nikaamka kama naenda kuandikisha.

Nikatlka nje nikapanda bodaboda nikarudi zangu home na simu nikazima. Sipendi wanawake wajeuri kabisa.
nan anataka jina lake andike kitabu cha motoni
 
Daah atleast nimecheka leo[emoji23]
JamiiForums-1049870428.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemwambia tukutane guest house. Kawahi sababu kwao ni karibu. Kachukua room ila hakulipa mpaka nije mimi.

Nimefika room nikampa pesa aende kulipa hataki. Tumebishana masaa mawili mwishowe kaenda kalipa. Karudi namuliza umeandikisha na jina. Anasema hawezi andikisha jina lake nikaandike langu.

Huu si ujeuri kabisa? Yaani pesa kaenda lipa yeye anataka litumike jina langu kwenye kitabu cha guest?huyu kweli atanifaa kumuwowa?naona kama hawezi jishusha hivi je kwenye ndoa si ndo atanipanda kichwani.

Nimemwambia akaandikishe jina kagoma kabisa. Basi tumekaa kuanzia saa 12 jioni jana mpaka saa 6 usiku kila mtu anategea mwenzake ndo akaandike jina. Nikaona ujinga. Nikaamka kama naenda kuandikisha.

Nikatlka nje nikapanda bodaboda nikarudi zangu home na simu nikazima. Sipendi wanawake wajeuri kabisa.
Nyie hamuwezi kuwowana [emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom