Huyu Mwanamke tumeshindwana. Aende zake tu mi siwezi kwa kweli

Huyu Mwanamke tumeshindwana. Aende zake tu mi siwezi kwa kweli

Nimemwambia tukutane guest house. Kawahi sababu kwao ni karibu. Kachukua room ila hakulipa mpaka nije mimi.

Nimefika room nikampa pesa aende kulipa hataki. Tumebishana masaa mawili mwishowe kaenda kalipa. Karudi namuliza umeandikisha na jina. Anasema hawezi andikisha jina lake nikaandike langu.

Huu si ujeuri kabisa? Yaani pesa kaenda lipa yeye anataka litumike jina langu kwenye kitabu cha guest?huyu kweli atanifaa kumuwowa?naona kama hawezi jishusha hivi je kwenye ndoa si ndo atanipanda kichwani.

Nimemwambia akaandikishe jina kagoma kabisa. Basi tumekaa kuanzia saa 12 jioni jana mpaka saa 6 usiku kila mtu anategea mwenzake ndo akaandike jina. Nikaona ujinga. Nikaamka kama naenda kuandikisha.

Nikatlka nje nikapanda bodaboda nikarudi zangu home na simu nikazima. Sipendi wanawake wajeuri kabisa.
sasa wewe kwenda gesti unataka kuandika jina hutaki aliyetoa wazo la kwenda gesti ndo aandike jina
 
Nimemwambia tukutane guest house. Kawahi sababu kwao ni karibu. Kachukua room ila hakulipa mpaka nije mimi.

Nimefika room nikampa pesa aende kulipa hataki. Tumebishana masaa mawili mwishowe kaenda kalipa. Karudi namuliza umeandikisha na jina. Anasema hawezi andikisha jina lake nikaandike langu.

Huu si ujeuri kabisa? Yaani pesa kaenda lipa yeye anataka litumike jina langu kwenye kitabu cha guest?huyu kweli atanifaa kumuwowa?naona kama hawezi jishusha hivi je kwenye ndoa si ndo atanipanda kichwani.

Nimemwambia akaandikishe jina kagoma kabisa. Basi tumekaa kuanzia saa 12 jioni jana mpaka saa 6 usiku kila mtu anategea mwenzake ndo akaandike jina. Nikaona ujinga. Nikaamka kama naenda kuandikisha.

Nikatlka nje nikapanda bodaboda nikarudi zangu home na simu nikazima. Sipendi wanawake wajeuri kabisa.
Huyo binti ni shujaa sana, maana aliona unamlengesha tu.
 
Form 4 unakuja kutuharibia JF yetu...!! Tunakuombea ufaulu uendelee na shule.
 
Itoshe kusema Kwamba were pamoja na huyo mpenzi wako bila Shaka hamzidi miaka 25.

Kwa hiyo mmeamua kuupeleka utoto wenu kwenye guest ya watu na kuanza kutgesheana huko.

Kwa maamuzi uliyofanya ya kuondoka na kumuacha mpenzi wako ndani Ni dhahiri kwamba bado hujakomaa kiakili Kama na kuwa mwanaume wa kutegemewa.Katika scenario Kama hii ulitakiwa ujishushe ili uweze kuenjoy penzi la mchumba wako.

Nakushauri uachane na mpango was ndoa kafanye ishu zingine mpaka pale utakapokomaa kiakili ndo uanze kuifikiria ndoa.
 
We mwanaume kweli au Bahati Mbaya. Umepeleke mtoto wa watu then ukose ujasiri wa kuandika jina? Kama huna uwezo huo mtoto wa watu utamtunza kweli?
Nimemwambia akaandikishe jina kagoma kabisa. Basi tumekaa kuanzia saa 12 jioni jana mpaka saa 6 usiku kila mtu anategea mwenzake ndo akaandike jina. Nikaona ujinga. Nikaamka kama naenda kuandikisha.
 
Back
Top Bottom