Huyu Mwanamke tumeshindwana. Aende zake tu mi siwezi kwa kweli

Huyu Mwanamke tumeshindwana. Aende zake tu mi siwezi kwa kweli

Kama hayuko kam huyu bas kimbia
IMG_20221203_223639.jpg
 
Nimemwambia tukutane guest house. Kawahi sababu kwao ni karibu. Kachukua room ila hakulipa mpaka nije mimi.

Nimefika room nikampa pesa aende kulipa hataki. Tumebishana masaa mawili mwishowe kaenda kalipa. Karudi namuliza umeandikisha na jina. Anasema hawezi andikisha jina lake nikaandike langu.

Huu si ujeuri kabisa? Yaani pesa kaenda lipa yeye anataka litumike jina langu kwenye kitabu cha guest?huyu kweli atanifaa kumuwowa?naona kama hawezi jishusha hivi je kwenye ndoa si ndo atanipanda kichwani.

Nimemwambia akaandikishe jina kagoma kabisa. Basi tumekaa kuanzia saa 12 jioni jana mpaka saa 6 usiku kila mtu anategea mwenzake ndo akaandike jina. Nikaona ujinga. Nikaamka kama naenda kuandikisha.

Nikatlka nje nikapanda bodaboda nikarudi zangu home na simu nikazima. Sipendi wanawake wajeuri kabisa.
Upuuz stor za ktoto mnaleta
 
Nimemwambia tukutane guest house. Kawahi sababu kwao ni karibu. Kachukua room ila hakulipa mpaka nije mimi.

Nimefika room nikampa pesa aende kulipa hataki. Tumebishana masaa mawili mwishowe kaenda kalipa. Karudi namuliza umeandikisha na jina. Anasema hawezi andikisha jina lake nikaandike langu.

Huu si ujeuri kabisa? Yaani pesa kaenda lipa yeye anataka litumike jina langu kwenye kitabu cha guest?huyu kweli atanifaa kumuwowa?naona kama hawezi jishusha hivi je kwenye ndoa si ndo atanipanda kichwani.

Nimemwambia akaandikishe jina kagoma kabisa. Basi tumekaa kuanzia saa 12 jioni jana mpaka saa 6 usiku kila mtu anategea mwenzake ndo akaandike jina. Nikaona ujinga. Nikaamka kama naenda kuandikisha.

Nikatlka nje nikapanda bodaboda nikarudi zangu home na simu nikazima. Sipendi wanawake wajeuri kabisa.
Khaa! JF ni kiboko.
 
Nimemwambia tukutane guest house. Kawahi sababu kwao ni karibu. Kachukua room ila hakulipa mpaka nije mimi.

Nimefika room nikampa pesa aende kulipa hataki. Tumebishana masaa mawili mwishowe kaenda kalipa. Karudi namuliza umeandikisha na jina. Anasema hawezi andikisha jina lake nikaandike langu.

Huu si ujeuri kabisa? Yaani pesa kaenda lipa yeye anataka litumike jina langu kwenye kitabu cha guest?huyu kweli atanifaa kumuwowa?naona kama hawezi jishusha hivi je kwenye ndoa si ndo atanipanda kichwani.

Nimemwambia akaandikishe jina kagoma kabisa. Basi tumekaa kuanzia saa 12 jioni jana mpaka saa 6 usiku kila mtu anategea mwenzake ndo akaandike jina. Nikaona ujinga. Nikaamka kama naenda kuandikisha.

Nikatlka nje nikapanda bodaboda nikarudi zangu home na simu nikazima. Sipendi wanawake wajeuri kabisa.
Mwamba una roho ngumu weweeee,akifaulisha show itakuwaje sasa😂🤣
 
Kama upo mkoani andika la ukweli lakini kwenye hizi ghouse andika jina la rafikiyo unayemjua.mimi kuna marafiki najua kabila mpaka namba zao za simu.
 
Nielekeze mkuu walau akaniambukize hata yutiyai Tu........maana huwezi kumuacha kizembe hivo.......ujui alikubali kuja guest house Kwa shida gani..............unazijua nyege wewe........Ila mkuu wewe sio junior kweli?? Maana haya ni matendo ya kina junior wahuni hatufanyagi hivi .....tena wewe junior namba E
 
Gest tunaandikaga majina ya uongo mkuu hsta kama nipo hapo hapo nasema nimetokea mkoa X" yaani msafiri..but linda ID yako likitokea lolote usaidike kirahisi
 
Nimemwambia tukutane guest house. Kawahi sababu kwao ni karibu. Kachukua room ila hakulipa mpaka nije mimi.

Nimefika room nikampa pesa aende kulipa hataki. Tumebishana masaa mawili mwishowe kaenda kalipa. Karudi namuliza umeandikisha na jina. Anasema hawezi andikisha jina lake nikaandike langu.

Huu si ujeuri kabisa? Yaani pesa kaenda lipa yeye anataka litumike jina langu kwenye kitabu cha guest?huyu kweli atanifaa kumuwowa?naona kama hawezi jishusha hivi je kwenye ndoa si ndo atanipanda kichwani.

Nimemwambia akaandikishe jina kagoma kabisa. Basi tumekaa kuanzia saa 12 jioni jana mpaka saa 6 usiku kila mtu anategea mwenzake ndo akaandike jina. Nikaona ujinga. Nikaamka kama naenda kuandikisha.

Nikatlka nje nikapanda bodaboda nikarudi zangu home na simu nikazima. Sipendi wanawake wajeuri kabisa.
Mbona una jazba mkuu? Mzigo ametoa lakini?
 
Gest tunaandikaga majina ya uongo mkuu hsta kama nipo hapo hapo nasema nimetokea mkoa X" yaani msafiri..but linda ID yako likitokea lolote usaidike kirahisi
Sikuona kama ni sahihi kudanganya. Si jambo jema hata kidogo. Yeye alifanya ujeuri tena kwa pesa yangu... Sasa alipata jeuri yake.
 
Mfano msingeandika jina ni kwamba uchi wake ungekuwa hauingiliki?? Au jogoo wako asingepanda mtungi mpaka kuwa na jina kwenye register ya guest.
 
Mfano msingeandika jina ni kwamba uchi wake ungekuwa hauingiliki?? Au jogoo wako asingepanda mtungi mpaka kuwa na jina kwenye register ya guest.
Hapaswi kuwa mjeuri. Mimi nimemtuma anatakiwa afanye nlichomtuma
 
Back
Top Bottom