sibbonnobo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 722
- 885
Apewe adhabu ndogo tu ya kushikwa shikwa matako. Wachaguliwe kwa wanaume watano tu wanatosha.Kwenye kikao Cha wanaume apewe adhabu gani huyu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apewe adhabu ndogo tu ya kushikwa shikwa matako. Wachaguliwe kwa wanaume watano tu wanatosha.Kwenye kikao Cha wanaume apewe adhabu gani huyu?
Mbinguni ukiulizwa umekufaje, malaika hawana mbavu😂😂😂, Sasa kam dem kamoja kamekuuwa sasa tukikupa hawa 72 wenyembususu laini ??😂😂😂😂Kufia lodge ni aibu sana 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 utaonekana hauna vigezo vya kupewa mabikira 72Mbinguni ukiulizwa umekufaje, malaika hawana mbavu😂😂😂, Sasa kam dem kamoja kamekuuwa sasa tukikupa hawa 72 wenyembususu laini ??😂😂😂😂
si ndio😂😂😂🤣🤣🤣 utaonekana hauna vigezo vya kupewa mabikira 72
Nimemwambia tukutane guest house. Kawahi sababu kwao ni karibu. Kachukua room ila hakulipa mpaka nije mimi.
Nimefika room nikampa pesa aende kulipa hataki. Tumebishana masaa mawili mwishowe kaenda kalipa. Karudi namuliza umeandikisha na jina. Anasema hawezi andikisha jina lake nikaandike langu.
Huu si ujeuri kabisa? Yaani pesa kaenda lipa yeye anataka litumike jina langu kwenye kitabu cha guest?huyu kweli atanifaa kumuwowa?naona kama hawezi jishusha hivi je kwenye ndoa si ndo atanipanda kichwani.
Nimemwambia akaandikishe jina kagoma kabisa. Basi tumekaa kuanzia saa 12 jioni jana mpaka saa 6 usiku kila mtu anategea mwenzake ndo akaandike jina. Nikaona ujinga. Nikaamka kama naenda kuandikisha.
Nikatlka nje nikapanda bodaboda nikarudi zangu home na simu nikazima. Sipendi wanawake wajeuri kabisa
Kwa nini yeye asitake kuandika jina lake? Lazima kutakuwa na sababu. Na mimi namtuma anakataaje?Kwani mkuu ungeandika jina lako ungepungukiwa nini? daaaah hukuwa na hamu ya kula mbususu yake aisee,
yaani nashangaa mwanaume gani unasusa kula mbususu?
majina ya gesti tunaandika wanaume we mvulanaNimemwambia tukutane guest house. Kawahi sababu kwao ni karibu. Kachukua room ila hakulipa mpaka nije mimi.
Nimefika room nikampa pesa aende kulipa hataki. Tumebishana masaa mawili mwishowe kaenda kalipa. Karudi namuliza umeandikisha na jina. Anasema hawezi andikisha jina lake nikaandike langu.
Huu si ujeuri kabisa? Yaani pesa kaenda lipa yeye anataka litumike jina langu kwenye kitabu cha guest?huyu kweli atanifaa kumuwowa?naona kama hawezi jishusha hivi je kwenye ndoa si ndo atanipanda kichwani.
Nimemwambia akaandikishe jina kagoma kabisa. Basi tumekaa kuanzia saa 12 jioni jana mpaka saa 6 usiku kila mtu anategea mwenzake ndo akaandike jina. Nikaona ujinga. Nikaamka kama naenda kuandikisha.
Nikatlka nje nikapanda bodaboda nikarudi zangu home na simu nikazima. Sipendi wanawake wajeuri kabisa.
Na hakuna mwanaume inabidi ajitangaze kuwa ni mwanaume. Huyo atakuwa demu. Ndicho ulichofanya. Simba huwa hapiti porini akijitangaza kuwa yeye ni Simba.majina ya gesti tunaandika wanaume we mvulana
Kaeni mlee watoto mjenge familia yenuNimemwambia tukutane guest house. Kawahi sababu kwao ni karibu. Kachukua room ila hakulipa mpaka nije mimi.
Nimefika room nikampa pesa aende kulipa hataki. Tumebishana masaa mawili mwishowe kaenda kalipa. Karudi namuliza umeandikisha na jina. Anasema hawezi andikisha jina lake nikaandike langu.
Huu si ujeuri kabisa? Yaani pesa kaenda lipa yeye anataka litumike jina langu kwenye kitabu cha guest?huyu kweli atanifaa kumuwowa?naona kama hawezi jishusha hivi je kwenye ndoa si ndo atanipanda kichwani.
Nimemwambia akaandikishe jina kagoma kabisa. Basi tumekaa kuanzia saa 12 jioni jana mpaka saa 6 usiku kila mtu anategea mwenzake ndo akaandike jina. Nikaona ujinga. Nikaamka kama naenda kuandikisha.
Nikatlka nje nikapanda bodaboda nikarudi zangu home na simu nikazima. Sipendi wanawake wajeuri kabisa.
acha kulia lia weweNa hakuna mwanaume inabidi ajitangaze kuwa ni mwanaume. Huyo atakuwa demu. Ndicho ulichofanya. Simba huwa hapiti porini akijitangaza kuwa yeye ni Simba.