Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Machine bado itasimama , kwanini asitolewe yote abaki na kashimo hapo mbele?😅Akatwe kende moja[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Awekwe kitundu mbele paleLife ban
Hakika Yaani tena siku hizi vichekesho ndo vingi haswa.JF unaweza kuja maisha yamekupiga huko siku hiyo umechoka kweli kweli lakini hapa lazima utacheka tu....
Kiukweli inashangaza mno yaani mpaka unajiuliza kweli ni masaa haya sita tunayoyajua ama la.Imagine masaa 6 watu wamenuniana kisa jina dah! [emoji16][emoji16][emoji16]
Jamaa kaamua kupoteza hela aliyolipa Guest...ni bora angemgonga huyo duu afidie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jf kisima cha burudani
Hii komenti kama imekosea njiaNilivyoona title ya thread nikadhani anayezungumziwa ni mwanamke, kiukweli nimeshangazwa sana kusikia mwanaume anamuomba pesa mwanamke tena pesa nyingi namna hiyo na kumgeuza kama kitega uchumi. Hebu amka achana na hayo mahusiano.
Kwanb uwape watu tabu kutafuta marehemu😂😂😂Kwani wewe ukienda lodge kugegeda kwenye kile kitabu huuwa unaandika jina lako halisi na taarifa zako kamili?
😂😂😂 noma😂😂😂😂😂😂😂😂Mwanamke alishalijua hili mapema ndio maana akagoma ,,,,, jamaa hataki kwenda jahannam 😂😂😂😂haya maisha bhana,,,
Una umri wa miaka mingapi?Nimemwambia tukutane guest house. Kawahi sababu kwao ni karibu. Kachukua room ila hakulipa mpaka nije mimi.
Nimefika room nikampa pesa aende kulipa hataki. Tumebishana masaa mawili mwishowe kaenda kalipa. Karudi namuliza umeandikisha na jina. Anasema hawezi andikisha jina lake nikaandike langu.
Huu si ujeuri kabisa? Yaani pesa kaenda lipa yeye anataka litumike jina langu kwenye kitabu cha guest?huyu kweli atanifaa kumuwowa?naona kama hawezi jishusha hivi je kwenye ndoa si ndo atanipanda kichwani.
Nimemwambia akaandikishe jina kagoma kabisa. Basi tumekaa kuanzia saa 12 jioni jana mpaka saa 6 usiku kila mtu anategea mwenzake ndo akaandike jina. Nikaona ujinga. Nikaamka kama naenda kuandikisha.
Nikatlka nje nikapanda bodaboda nikarudi zangu home na simu nikazima. Sipendi wanawake wajeuri kabisa.