Huyu Mwanamke tumeshindwana. Aende zake tu mi siwezi kwa kweli

Huyu Mwanamke tumeshindwana. Aende zake tu mi siwezi kwa kweli

We kijana ni kijana WA hovyo sana Inabidi ucharazwe viboko.
 
Mshukuru Mungu wako
Mshukuru kwa kukosa na umshukuru kwa kupata
 
Kwa kuzingatia muda hyo ni sifa kubwa sana ambayo inakupasa urudishe moyo kwake na umuoe maana kawahi kufika gest kabla yako

Maana wanawake wengi swala la muda huwa ni ngumu kuendana nalo
 
JF unaweza kuja maisha yamekupiga huko siku hiyo umechoka kweli kweli lakini hapa lazima utacheka tu....
Hakika Yaani tena siku hizi vichekesho ndo vingi haswa.
Imagine masaa 6 watu wamenuniana kisa jina dah! [emoji16][emoji16][emoji16]
Kiukweli inashangaza mno yaani mpaka unajiuliza kweli ni masaa haya sita tunayoyajua ama la.
 
Nilivyoona title ya thread nikadhani anayezungumziwa ni mwanamke, kiukweli nimeshangazwa sana kusikia mwanaume anamuomba pesa mwanamke tena pesa nyingi namna hiyo na kumgeuza kama kitega uchumi. Hebu amka achana na hayo mahusiano.
Hii komenti kama imekosea njia
 
Mbona umepoteza MDA kujadili kitu Cha kipuuzi, ulipaswa uende pale ukaandike jina unalotaka.

Akitaka la kwake,
Apewe kalamu aandike analotaka
 
Umesoma uzi mwingine, umekuja kukomenti kwenye uzi mwingine...hiyo komenti ni ya uzi wa dad anaeombwa laki na nusu kila wiki na mwanaume wake
Petro Oswald
 
Nimemwambia tukutane guest house. Kawahi sababu kwao ni karibu. Kachukua room ila hakulipa mpaka nije mimi.

Nimefika room nikampa pesa aende kulipa hataki. Tumebishana masaa mawili mwishowe kaenda kalipa. Karudi namuliza umeandikisha na jina. Anasema hawezi andikisha jina lake nikaandike langu.

Huu si ujeuri kabisa? Yaani pesa kaenda lipa yeye anataka litumike jina langu kwenye kitabu cha guest?huyu kweli atanifaa kumuwowa?naona kama hawezi jishusha hivi je kwenye ndoa si ndo atanipanda kichwani.

Nimemwambia akaandikishe jina kagoma kabisa. Basi tumekaa kuanzia saa 12 jioni jana mpaka saa 6 usiku kila mtu anategea mwenzake ndo akaandike jina. Nikaona ujinga. Nikaamka kama naenda kuandikisha.

Nikatlka nje nikapanda bodaboda nikarudi zangu home na simu nikazima. Sipendi wanawake wajeuri kabisa.
Una umri wa miaka mingapi?
 
fursa hiyo wadada, Wife Material avuke kiunzi cha kuandikisha jina
 
Back
Top Bottom