sibbonnobo JF-Expert Member Joined Aug 24, 2019 Posts 722 Reaction score 885 Dec 11, 2022 #101 Inashangaza sana, mnabishana kuandika jina wakati mmekubaliana mkakulane, na kukulana ni jambo la starehe, sasa endapo mmoja angejishusha akaandika jina hiyo faragha ingekuwa yenye raha kweli??
Inashangaza sana, mnabishana kuandika jina wakati mmekubaliana mkakulane, na kukulana ni jambo la starehe, sasa endapo mmoja angejishusha akaandika jina hiyo faragha ingekuwa yenye raha kweli??