Huyu mwanamke wangu wa nje kanitamkia kuwa anahitaji siku moja tufanye “Threesome” nimeogopa sana mood ya kuendelea nae imepotea kabisa

Kuna watu makauzu sana,, na bahati mbaya zaidi wanawake tunapenda wanaume risk taker Kama hao yani, mwanaume mwenye experience ya kila aina ya ngono
Tena unamwagiwa offa lukuki ushindwe mwenyewe tuu
 
Ni pepo Hilo mkuu,Kama unaweza kaa nae zungumza nae kistaarabu mueleze athari za hcho kitu anachotaka kukifanya, mshauri pia afanye na ibada ya Toba, pia Kama anapenda kuangalia porn aache kabisa hyo ndo inamla ubongo wake.

Na pia Kama unajipenda wewe na familia yako ni vizuri ukamuacha tu, siku utakayothubutu na wewe kufanya hivyo utakua umejiletea madhara ya mapepo bila wewe kujua, inaweza jikuta hata na mkeo mmeacha bila kujua sababu ya msingi, Ila hii ni kiimani zaidi.
 
Achana na hilo zimwi mwanamke anayejiheshimu kamwe hawezi kufanya ujinga huo. Kimbia hafai.
 
Hahahahaaaa[emoji23] story za kutunga hizi kumbe hadi huku zipo nlidhania zinaishia huko kwengine, baki njia kuu mchepuko sio ishu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…