Huyu Mwandishi kuna kitu anakitafuta kwa Yanga. Atakipata tu muda si mrefu

Huyu Mwandishi kuna kitu anakitafuta kwa Yanga. Atakipata tu muda si mrefu

Makolo kama mnaona CBE ni timu ndogo tuleteeni wa kwenu mnaemuona mkubwa! Mkiona wivu mje wenyewe mkachezee mkonyokoo wa Garmondi maana mmeshazoea bebi zetu..
 
Kama matches zetu watu hawaji au teams tunazocheza nazo kama CBE na IFM hazina mashabiki kwani ni kosa letu? Aache ufalah. Sawa Libya huwezi linganisha na Ethiopia lakini awe makini sana.

Naona kama anatumika kutudhalilisha
Yanga. Ni mpuuzi sana.
View attachment 3097410
Naona simba kila siku mnazidi kuhamisha magoli now mnaanza kupima mafanikio kwa uwanja kuwa na mashabiki... Yanga inakimbiza mwizi taratibu bila kelele, kelele anapiga mwizi mwenyewe.
 
Back
Top Bottom