Huyu Mwarabu popote alipo, aagize soda nitalipa, kawasuta sana waarabu na dini yao

Huyu Mwarabu popote alipo, aagize soda nitalipa, kawasuta sana waarabu na dini yao

sawa,kwamba hakuna mwarabu mwenye akili kabisa?.
Israel should Boom you guys entirely in order to return to sense.
We are in silly season once again šŸ˜„

Anyone can drop bombs from 15 000 feet’s, but historically there’s not a single war where air raids and bombardment won the battle. Literally never happened. They sure wipe out the buildings in Gaza, but they can’t defeat Hamasi and the will of the Gaza people.
 
Angola ni nchi ya wakristo? 😁😁😁
Nchi ya kidini upande wa wakristo duniani ambayo inamilikiwa na dhehebu moja la Roman Catholic ni Vatican.
__________________
Soma Hadithi idadi:16,245 ya Mu'waiya Abu ibn Sufyan na uone wapi yalikua makao makuu ya ushoga yalikuwa wapi
__________________
Hasan bin Sufiyan katika Musnad yake, Tabarani katika Al-Awsat, Hakim na Abu Naiym katika Al-Mastakhraj pamoja na mlolongo wa riwaya ya Hasan kutoka kwa Ibn Umar ambaye amesema: ā€œAya hii iliteremshwa juu ya Mtume kwa ajili ya kuruhusiwa. kufanya mapenzi kwenye njia ya haja kubwa ya mwanamke.ā€ (Ibid., Juzuu 1, uk. 638)
__________________
Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

ā€œ...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.ā€ This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.
Angola kupata waislam ni shida sana, mimi nimeisha fika Angola 98% ni wakristo unaona unakwepa.

Haya Germany ni waislam? Waingereza ni waislam, Ukraine na Russia hawa wote ni wakristo au uwongo? America šŸ˜„
 
We are in silly season once again šŸ˜„

Anyone can drop bombs from 15 000 feet’s, but historically there’s not a single war where air raids and bombardment won the battle. Literally never happened. They sure wipe out the buildings in Gaza, but they can’t defeat Hamasi and the will of the Gaza people.
100% true. Israel imeshindwa kabisa kuingia Ghaza. Kila wakajaribu kupenya wameishia kulambishwa mchanga mpaka amekubali kukaa meza moja na Hamas kufanya makubaliano🤣🤣🤣 ameishia kuzizunguka hospital zilizoko beach tena kwa msaada mkubwa wa ndege na meli
 
Angola kupata waislam ni shida sana, mimi nimeisha fika Angola 98% ni wakristo unaona unakwepa.

Haya Germany ni waislam? Waingereza ni waislam, Ukraine na Russia hawa wote ni wakristo au uwongo? America šŸ˜„
Hapo jirani yetu Congo 95% ni wakiristo lakini hakujawahi kuwa na amani
 
Waafrica mlipigwa na wahenga wa kiarabu
Kama Waarabu, tunapaswa kukiri kwamba Magharibi na Israeli sio wakandamizaji wetu.

Sisi Waarabu ni maadui zetu wakubwa na madhalimu wakubwa.

Sisi Waarabu tumeua na kudhulumu mara milioni ya aina yetu kuliko Magharibi na Israeli.

Haikuwa Magharibi au Israeli iliyooza mama yangu alipokuwa mtoto. Ilikuwa watu wangu mwenyewe.

Sio Magharibi au Israeli ambayo imekuwa ikishambulia Yemen na kuua zaidi ya Wayemeni 400,000. Ni watu wetu wenyewe.

Sio Israel au nchi za Magharibi ambazo zimepandikiza misimamo mikali ya Kiislamu. Mashariki na Magharibi. Ni vitabu vyetu, ni misikiti yetu, ni maimamu wetu. Ni kile tunachosoma na kile tunachohubiri.

Sio Magharibi au Israeli inayotulazimisha kuwatendea wanawake wetu kama bidhaa na zaidi ya yote, sio Magharibi au Israeli ambayo haithamini maisha ya Waarabu. Ni sisi Waarabu ambao hatuthamini maisha ya mwanadamu.

Ikiwa hatujikubali sisi wenyewe kwamba sisi ni tatizo, kwamba tunahitaji maendeleo, kwamba tunahitaji kubadilika, basi mabadiliko hayatatokea kamwe, na damu itaendelea kutiririka na hakuna mtu atakayetuheshimu.

Je, tunatarajia jumuiya ya kimataifa ituheshimu vipi wakati hatujiheshimu?
 
100% true. Israel imeshindwa kabisa kuingia Ghaza. Kila wakajaribu kupenya wameishia kulambishwa mchanga mpaka amekubali kukaa meza moja na Hamas kufanya makubaliano🤣🤣🤣 ameishia kuzizunguka hospital zilizoko beach tena kwa msaada mkubwa wa ndege na meli
Afu walingia wengine kwa magari ya freezers si wako wanafiki wengine wapalestin ni wakristo ndio waliwaingiza hapo Al shifaa Hospital šŸ˜„

Siwalijidai Hamasi wameisafisha, Hamasi akawajibu kwa vitendo matekwa wote anawafikisha yeye tena wapo na mavazi ya kijeshi pale North Gaza šŸ˜„


View: https://youtu.be/Sz3-rXeK_qI?si=RsL3pioeQxK-x_Vz
 
I have no problem with that, they can do that, Kina Petro suffered prosecution, they didn't complained why sheria ziliruhusu wateseke, ni kawaida sana tu, waachr wafuate misingi ya Imani yao.

Ninaamini katika commitment ya Imani mtu kaichagua, na sio usanii.

Then wewe kama hauna shida basi sisi wengine tuna shida, hatutaki kulazimishiwa dini kwa kutumia upanga, uko hapo unajifanya kuhubiri uhuru wa kila mtu kuamua masuala ya kiimani ila hapo hapo unashabikia upuzi hawa mazombi kulazimisha watu kwenye dini yao, kwanza wao huandamana kabisa kukataza imani zingine....


View: https://www.youtube.com/watch?v=pcwvILodCKM
 
Kupigwa sio tatizo hata hao mabwana zako wayahudi walipigwa sana na wanaendelea kuteseka, ila hakuna wakuzuia dini ya mungu isiendelee ndio maana hadi leo inazidi kukubalika hadi nchi za makafir

Huyo muarabu mungu wenu aliishi kwa kuibua maugomvi kote na mauchafu mengine, ila enzi hizo alivumiliwa, nyie mnafikiria mtayaendesha kwenye dunia ya sasa mvumiliwe? Huyo mzee alikua mchafu sana na bila aibu mnamuabudu, tena mauchafu yake yameandikwa kabisa kwenye vitabu vyenu.
 
Waswahili ndio mana wanaziita hadith njoo na uwongo Kolea.

Bila aibu unaabudu mtu wa hivi, unabinuka na kanzu na kumuabudu MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
 
Kama Waarabu, tunapaswa kukiri kwamba Magharibi na Israeli sio wakandamizaji wetu.

Sisi Waarabu ni maadui zetu wakubwa na madhalimu wakubwa.

Sisi Waarabu tumeua na kudhulumu mara milioni ya aina yetu kuliko Magharibi na Israeli.

Haikuwa Magharibi au Israeli iliyooza mama yangu alipokuwa mtoto. Ilikuwa watu wangu mwenyewe.

Sio Magharibi au Israeli ambayo imekuwa ikishambulia Yemen na kuua zaidi ya Wayemeni 400,000. Ni watu wetu wenyewe.

Sio Israel au nchi za Magharibi ambazo zimepandikiza misimamo mikali ya Kiislamu. Mashariki na Magharibi. Ni vitabu vyetu, ni misikiti yetu, ni maimamu wetu. Ni kile tunachosoma na kile tunachohubiri.

Sio Magharibi au Israeli inayotulazimisha kuwatendea wanawake wetu kama bidhaa na zaidi ya yote, sio Magharibi au Israeli ambayo haithamini maisha ya Waarabu. Ni sisi Waarabu ambao hatuthamini maisha ya mwanadamu.

Ikiwa hatujikubali sisi wenyewe kwamba sisi ni tatizo, kwamba tunahitaji maendeleo, kwamba tunahitaji kubadilika, basi mabadiliko hayatatokea kamwe, na damu itaendelea kutiririka na hakuna mtu atakayetuheshimu.

Je, tunatarajia jumuiya ya kimataifa ituheshimu vipi wakati hatujiheshimu?
Umeandika kwa uchungu sana mkuu, lakini ni nani atakuelewa, ikiwa mwafrica na Africa ndiyo iliyobarikiwa kulikoni hata mabala yote

Lakini Mwafrica ndo anayeishi kwenye shida kulikoni mtu mwingine dunianj, na akifa hapumziki, maana itamlazimu kule kaburini akajigeuze mzimu wa kusaidia shida za ndugu zake!

Aliyetuloga, sjui kama atarudi ili aje kuondoa ulozi wake ili tupate zile akili zetu za kwanza?

Mi na wewe hatujui!

Labda tuendelee kutega masikio!
 
Umeandika kwa uchungu sana mkuu, lakini ni nani atakuelewa, ikiwa mwafrica na Africa ndiyo iliyobarikiwa kulikoni hata mabala yote

Lakini Mwafrica ndo anayeishi kwenye shida kulikoni mtu mwingine dunianj, na akifa hapumziki, maana itamlazimu kule kaburini akajigeuze mzimu wa kusaidia shida za ndugu zake!

Aliyetuloga, sjui kama atarudi ili aje kuondoa ulozi wake ili tupate zile akili zetu za kwanza?

Mi na wewe hatujui!

Labda tuendelee kutega masikio!
Viongozi wa Africa wanapishana Dubai Airport kwenda kuomba misaada Ulaya./
Mtoto mdogo akizaliwa anawaza kuomba.
Mkuu wa Mkoa anamuomba Raisi.
Waziri anamuomba waziri.
Tumeumbiwa kuomba badala ya kudai.
 
Wewe jamaa mbona unaelekea upande sio, huyo jamaa kweny video kaongelea jamii ya waarabu, hajaongelea uislamu, mtoa mada pia nae hajatoa yoyote hoja pinzani kuhusu uislamu, sasa kwann kumwita "Islamophobe"

Kwamba wakiongelewa waarabu directly mnawaza wanaongelewa waislamu?
Ndio hao wanaodandia na kila siku kuwasema wazungu lakini wanakimbilia huko huko kwa wazungu.
 
Huyo muarabu mungu wenu aliishi kwa kuibua maugomvi kote na mauchafu mengine, ila enzi hizo alivumiliwa, nyie mnafikiria mtayaendesha kwenye dunia ya sasa mvumiliwe? Huyo mzee alikua mchafu sana na bila aibu mnamuabudu, tena mauchafu yake yameandikwa kabisa kwenye vitabu vyenu.
Kuna watu walioua watu wengi kama hao wazungu wako, nani aliyeenda kuanzisha vita iraq? Nani aliyeenda kuanzisha vurugu libya? Nani alianzisha world war 1 na 2 ni muarabu?
 
Bila aibu unaabudu mtu wa hivi, unabinuka na kanzu na kumuabudu MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
Hakuna hadithi ya hivyo katika uislam, Mtume Muhammad kwa tarifa yako kwa Mungu ni Sayid Albashari yani daraja lake kwa Mungu ni kuliko Mtume Ibrahim na Mussa na Yesu.

We baki kumzulia uwongo na kuleta hadithi za kujifurahisha wewe na wakristo wenzako, lakini ukweli utabaki hapo hapo Mungu ni mmoja tu na Yesu ni kiumbe na ni Mtume kama nilivyo kueleza hapo juu, watume wa Mungu huwa wanakuja fundisha yale mazuri sio machafu.

Swali huyo shoga wenu Paulo alipewa kitabu gani na Mungu, mpaa awe mtume šŸ˜„ Na kwani alikuwa hataki kuona wanaume wakiowa, hivi we pia ni shoga sababu ukristo na ushoga vinaendana sana, lini utafunga ndoa ya jinsia moja kanisani kwenu šŸ˜„
 
Hakuna hadithi ya hivyo katika uislam, Mtume Muhammad kwa tarifa yako kwa Mungu ni Sayid Albashari yani daraja lake kwa Mungu ni kuliko Mtume Ibrahim na Mussa na Yesu.
Evidence please
 
Ukweli ni kwamba..the fear of the unknown inatutesa jamii ya wasiojihusisha na kufikiri.
Waliojiondoa katika kifungo hiki wanaishi kwa usawaziko.
Binadam ni suluhisho la kweli na hakika zaidi dhidi ya changamoto zake!
Mungu abaki kwa ulimwengu wa roho na hasa kuukubari uumbaji basi.
Yaliyobak ni juu yetu na hana cha kufanya katika hayo
 

Attachments

  • 399346800_1004951954105882_4825151787615832176_n.mp4
    2.6 MB
Kwa hio Angola walivyo pigana wakristo kwa ukristo unasema nini hapo tena hao wenyewe kwa wenyewe nchi moja kabisa, vipi Ukraine na Mrusi nani gaidi kuna muislam hapo.

Wanakuambia waswahili nyani haoni nini jaza mwenyewe hapo.

Ukristo in ugaidi wao ndio walio uanzisha vita vya dunia vyote ni wakristo kwa wakristo uliwahi ona taifa la kislam hapo šŸ˜„

Yesu aliye mpigilia msalabani nani, kama sio nyie na mashoga zenu.

We tazama vita vyote vya dunia lazima kuna mikono ya magaidi ambao ni wakristo.

America ni taifa la kikristo au lakislam?

Kuna watu walisalimika na hilo taifa, hata wajapani hamkuwawacha na Vietnam.

Nyie wakristo wote ni watu mnaopenda kuona maiti, hata Mungu wenu mlimtoa uhai, eti kafa kwa ajili yenu na kachukua dhambi zenu, lini mtakubali ukweli.

Afu mnakosa mpaa akili zakufikiria vipi Mungu afe? Kama si uchizi wa kuwauwa watu wasio na hatia.

Mkiuwa watoto mnasema tunauwa magaidi, mkiuwa wanawake mnasema magaidi nani kwenu sio gaidi šŸ˜„
Adiosamigo brother ukitaka ku-judge dini flani usitumie matendo ya mtu binafsi au kikundi cha watu kusema kwamba hii dini iko hivi, na wala usichukue tasfiri za mtu flani au kikundi cha watu uliyowasikia mtandaoni/mtaani hata kama ni mtu/watu maarufu au ni kiongozi wa dini flani(mfano Papa) ukachukua tasfiri yao ukasema kwamba dini hii ndo iko hivi, hapo unakuwa unakosea mkuu.

Unachotakiwa kufanya ni kusoma maandiko rasmi ya hio dini/dhebebu ndo utapata ukweli kamili, kutoa mifano ya nchi za kikristo kuanzisha vita haimaanishi ukristo ni dini inayo support vita na kuuana, kusema kwamba wakristo wamemuua yesu hapo napo ni uongo na inaonekana wewe ni mtu ambaye unaongea vitu bila kufikiria au kuwa na uhakika, waliomuua yesu ni wayahudi pamoja na warumi wa kipagani(pagan rome), ukishasema "mkristo" ni mtu ambaye tayar anamwamini kristo kwamba ni mwana wa mungu, huyo tayar hawez kuhusika kumuua, na kumbuka ukristo ulianza kusambazwa na mitume baada ya yesu kuondoka duniani.

Na kitu kingine sasa sijui sijui hii kitu uliongea wewe au mtu mwingine ila Kusema kwamba wakristo wengi wanahamia uislamu haimaanishi kwamba upande mmoja ni mbaya na upande mwingine ni mzuri, au upande mmoja ni ukweli na upande mwingine ni uongo, hapana mzee kweny dini kuna mind-tricks nyingi, statistics zisiwadanganye, dini ni zaidi ya statistics, mungu wetu haoni faraja kuwa na wafuasi milioni moja na kati ya hao watano tuu ndo wakristo wa kweli wanaofuata haki, lahasha hata abaki mkristo mmoja na wote wamehamia uislamu, kama huyo mkristo mmoja ni mtumishi wa kweli, hio itakuwa ni faraja kwa mungu kuliko kuwa na wanafiki million 10 waliojazana kweny ukristo, kwaio statistics zisikuchanganye mkuu.

Nadhani umenielewa brother.
 
Evidence please
Quran ranks Prophet Muhammad above previous Prophets in terms of his moral excellence and the universal message he brought from God for humanity. The Quran calls him the "beautiful model" (al-uswa al-hasana) for those who hope for God and the last day (Quran 33:21).
 
Back
Top Bottom