Huyu Mwarabu popote alipo, aagize soda nitalipa, kawasuta sana waarabu na dini yao

Aha wapi kwa mnavyomuabudu, akitajwa huwa mpo radhi hata kulipuka mabomu, yaani hata Wakristo hawamuabudu Yesu kwa namna huwa mnaabudu huyo mze na maukatili yake ikiwemo kugegeda mtoto.
loh, nani aligegeda mtoto na anatetewa?
 
Swali kwako , waarabu wanaouawa huko Gaza na Mashariki ya kati yote wanauawa na wakristo au waislamu? Kama ni waislamu hata kama ni akili za West nani alaumiwe zaidi ya mwarabu mpumbavu kuliko wote
 
NAni aliyekwambia kwamba yeye muarabu?
Yeye kasema ni raia wa Yemen anaishi kwenye taifa la infidels la sweeden nahis ni mkimbiz sababu waarabu wenzenu wameharibu nchi Yao
 
Huyu na wewe hamna tofauti

Na wewe tukuite mwarabu??
 
KAfir usilazimishe watu wote wawe kama wewe sisi tunmwabudu mungu mmoja tu

Hehehe kwamba huyo 'mungu' wenu kawafundisha mtukane waafrika wenzenu kafir kia hawamuabudu.
 
Yeye kasema ni raia wa Yemen anaishi kwenye taifa la infidels la sweeden nahis ni mkimbiz sababu waarabu wenzenu wameharibu nchi Yao
Waharabu hawajawahi k
Hehehe kwamba huyo 'mungu' wenu kawafundisha mtukane waafrika wenzenu kafir kia hawamuabudu.
MTu yoyote ambae haamini kama mungu ni mmoja ni kafir
 
Waharabu hawajawahi k

MTu yoyote ambae haamini kama mungu ni mmoja ni kafir

Usitulazimishe tuabudu huyo muarabu, ambaye amekuagiza umtukane mwafrika mwenzio kwa lugha yake eti jina kafir,
 
Waharabu hawajawahi k

MTu yoyote ambae haamini kama mungu ni mmoja ni kafir
Kuna mtu Pakistan Pakistan alikuatwa anakula nguruwe akauawa pia India Kuna mwamba muislamu alichinja ng'ombe kwaajili ya mgahawa wake pia aliuawa, wahindu walimuoma ni kafri so next time keep your opinions to yourself usilazimishe wengine waamin unachoamin acha matendo yake yawavutie sio kua radical wakipumbavu
 
Huyu ni indoctrinated by the West's Khazarian opium,he actually does not understand what he is talking about.Yes Arabs need to change but what they are is also Khazarian induced mindset.

So the guys mindset is distorte,the Arab mindset is also distorted,so it is double distortion.
 
Hatujasema mtu auawe maana adhabu ni mamlaka ya mwenyezimungu
 
Swali kwako , waarabu wanaouawa huko Gaza na Mashariki ya kati yote wanauawa na wakristo au waislamu? Kama ni waislamu hata kama ni akili za West nani alaumiwe zaidi ya mwarabu mpumbavu kuliko wote
Warabu na wafrika nani mpumbavu zaidi πŸ˜„

Warabu hawafi njaa nchi zao jangwa, Mwafrica nchi yake ina kila kitu na bado anaenda omba chakula πŸ˜„

Mzungu ni mpumbafu sana sababu anatembea na mavi wakati choo chake anakisafisha kwa maji πŸ˜„

Vipi wewe unatumia toilet paper au maji? Kama maji we ni mwarabu au Mwislam tu, lakini kama toilet paper we ni yule mpumbafu tu, unatembea na mavi
 
Mkuu muhammad kwetu ni mtume siyo mungu sisi siyo kama nyie makafir mkiletewa mtume kama yesu mnamuita mungu, kwetu mungu ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa na hana mshirika hizo habari za mungu watatu tunawaachia nyie makafir
Mudy Angekuwa ni Mtume basi asingekuja Jibril, hivyo Mtume wa Waislam ni Jibril.. and Mudy ni mtu wa Kudispatch tu.. Yesu according to Qoran ni ndie Creater of everything. WAISLAM hamna Mungu even Allah kasema Hakuna Mungu ila Allah na Allah ni Just a name tu. And angekuwa ni mmoja basi Maandiko ya Koran yasingekuwa yameandikwa misemo ile ya Tumekuleteeni Aya n.k hiyo inaonesha Wingi Allah is not Alone.. and hana uwezo wowote hata kuwa na Mtoto hawezi hii jibu kuwa Allah sio Almighty.

Kuhusu ushirikiano basi Mudy amejiweka level moja na Allah si huwa mnasema Allah and Messenger knows best hiyo ni Shirki piq imeandikwa Shikeni aliyosema Allah na Mtume wake.. another Shirki..

Mna utatu ila wajinga nyie hamjui mnawacheka Wakristo kuhusu utatu japo kuwa uislam utatu upo kona zote.. 1st aya inasema 1 Bismlillah 2 alhman 3 rahim.

Mkienda tawadha mnafinya kila kitu mara tatu kama mngekuwa na Allah mmoja basi mngesafisha uso mara moja mmngenawa kila mkono mara moja, kwenye Adhana mnesema Allauh akbar mara moja tu
 

Kimsingi ameeleza ukweli kama wote, waarabu wakitulia wajiulize maswali kuna mengi yatabadilika, na nyie mnaowaabudu kwenye dini yao pia mtabadilika.
 

hehehe taratibu mumeanza kukubali, sasa mnabadilisha eti kumbusu, yaani jamaa anapiga denda na kunyonya ulimi na mauchafu mengine....

MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:

Muhammad aliikamilisha ndoa yao kwa tendo la unyumba wakati 'Aisha alipokuwa na umri wa miaka tisa."Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.236, uk.153.
 
Huna unachojua huwezi kumpangia mungu njia zake na sio wewe mchungaji wa mbagala hata wasomi wa kizungu waliosomea degree ya dini ya kikristo wamefanya research ya kukosoa quran wakaishia kusilimu hata wewe ukitoa ujinga wako na kusoma quran vizuri utagundua dini ya kweli ni ipi, ndio maana hadi leo unaona hao wasomi wazungu wa dunia ya kwanza ndio wanaoongoza kuingia kwenye uislamu, mungu siku zote ana njia zake huku papa akiendelea kuwaangamiza wakristo kwa kubariki vitu ambavyo mungu mwenyewe alivilaani
Halafu nilishakwambia elimika ficha ujinga wako mungu kwa kiarabu ni allah , kwa kiswahili ni mungu na yupo mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa, hizo habari za yaweh sijui nini ni lugha ya kiyahudi nao pia wanaamini mungu mmoja tu hana mshirika ila nyie wa miungu wa tatu ndio mnatutia aibu
 
Kimsingi ameeleza ukweli kama wote, waarabu wakitulia wajiulize maswali kuna mengi yatabadilika, na nyie mnaowaabudu kwenye dini yao pia mtabadilika.
Nimesema Mwarabu yupo distorted,sasa nitamuabuje mtu ambaye najua yupo distorted.Halafuu,mimii namuabudu Mungu wa Mbinguni,sio mwanadamu, hiyo sio Imani yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…