Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Jamaa aliingia cha kike bila kujua. Dem gume gume toka mimba inatungwa. Na jamaa anaonekaka alikua "Marioo" maana muda wote ni kulamba midomo.
Huyu dogo Ezden ---- kweli!
Namjua tangu shinyanga pindi anasoma Uhuru secondary na Dulla Ambua!!
Anapenda sana vya bure huyu dogo,hata kiss fm mwanza alikua na demu mkubwa zaidi yake!
Lady Jay Dee alishaimba wanaume kama mabinti ndo huyu sasa kijana mwenzetu
makahaba wawili hawawezi kuishi pamoja...
Nawaza ze whole idea ya kubeba talaka na kwenda kuhojiwa ikiwa mkpnoni!
Maskini nan sijui atampaka mapoudwwer
Vijana wa bajaj
Hakikisheni kweny kila nyumba ya star wa kike mnaweka kijiwe!
Anzieni kwa shilole.
Snura
Jide ah huyu hakuna biashara washavuka hii stage!