Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hebu msikilizeni huyu Ezden! Yaani anatia huruma kweli.
Anakiri mwenyewe kuwa Dida alikuwa anamzidi kipato....halafu eti baada ya kufunga ndoa akaenda kuishi nyumbani kwa Dida.
What a dummy!
Mtu kweli na akili zako timamu unaoa mwanamke kama Dida? Really? Seriously?
Anakiri mwenyewe kuwa Dida alikuwa anamzidi kipato....halafu eti baada ya kufunga ndoa akaenda kuishi nyumbani kwa Dida.
What a dummy!
Mtu kweli na akili zako timamu unaoa mwanamke kama Dida? Really? Seriously?
Last edited by a moderator: