BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
na mwanamke akikupa stress?
Unaongeza mke wa pili...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na mwanamke akikupa stress?
snowhite keshamaliza kule juu, hizo vitu haziulizaGI birth certificate.
hahahahahaa poa njoo nikuoe
Khaa jamani tusione watu wanatupia tu mapicha wapo vacation sijui tukawatamani, maake kila weekend watu wanatalii tu. Kuta za nyumba zinaficha mengi kiruuuu.
Sema me namuaminia dida, hapa sisi tunatokwa povu yeye jana kavuta baby mpya (new ride) hehehehe tushamtangazaaaaaa. Nahisi hapo kichwani anawaza style mpya ya gauni atakalovaa on her next wedding. Anaweka shida chini, ananyanyua mikono juu anabanjukaaaaaa. Huyo ndo Dida a.k.a kim k, a.k.a ndimu mkata shombo. Namtamiajee mwenzangu ndoa ya 4 ipo njiani, me hata kupewa proposal on april fools sijawahi hahahahaahaahaha
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hehe..makubwa, hukawii kukimbia nyumba yako mwenyewe.
Haaah unamaanisha Albinism cio?
Dida mwisho, kakurudisha wewe?
Hehe lets assume mie nakuoa wewe, niko na kwangu pia uko na kwako, hutaki kutoka kwako kuja tuishi kwangu..mie nijishushe nikuskilize wewe nije kwako, itakuwa sahihi kweli kuniita mvivu na unanilea?
Hapa kipindi wanafunga ndoa na Ezden... Mahaba nigalagaze!!
![]()
Kamtoa Yaeda!
Mchezo!
Af konnie babu anakuita ujikumbushie enzi zako!
Za kuimbiwa na hedi boy I!
Khaa jamani tusione watu wanatupia tu mapicha wapo vacation sijui tukawatamani, maake kila weekend watu wanatalii tu. Kuta za nyumba zinaficha mengi kiruuuu.
Sema me namuaminia dida, hapa sisi tunatokwa povu yeye jana kavuta baby mpya (new ride) hehehehe tushamtangazaaaaaa. Nahisi hapo kichwani anawaza style mpya ya gauni atakalovaa on her next wedding. Anaweka shida chini, ananyanyua mikono juu anabanjukaaaaaa. Huyo ndo Dida a.k.a kim k, a.k.a ndimu mkata shombo. Namtamiajee mwenzangu ndoa ya 4 ipo njiani, me hata kupewa proposal on april fools sijawahi hahahahaahaahaha
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
hivi unajua ni kwa ini mwanume anaitwa kichwa? ni kwa sababu ni anatakiwa kuwa mmiliki... hivi umekuja kwangu nyumba yangu , kila kitu changu do u think unaweza kuwa nasay pale kwa maana hiyo wewe ni mkia... you have power because you have something
mbona hizi picha zilitokaga vibaya hivi?
Dida mwisho, kakurudisha wewe?
siku hizi kuna wanaume na wakiume, mimi nilikuwa simjui huyo dogo ila nilivyojuwa tu ni yule anyehost kipindi pamoja na jokate kidoti yani hajiongezi tu akili kwamba waliowapanga vile ndio wanamatch?
mtu yoyote mwenye akili ni lazima ajiongeze kwamba anapaswa akiwa na mkewe awe na taswira kama akiwa na kidoti, hivi hawa vijana wana wazazi kweli? au mama zao ndio washiriki wa bibi bomba?
Kamtoa Yaeda!
Mchezo!
Af konnie babu anakuita ujikumbushie enzi zako!
Za kuimbiwa na hedi boy I!
siku hizi kuna wanaume na wakiume, mimi nilikuwa simjui huyo dogo ila nilivyojuwa tu ni yule anyehost kipindi pamoja na jokate kidoti yani hajiongezi tu akili kwamba waliowapanga vile ndio wanamatch?
mtu yoyote mwenye akili ni lazima ajiongeze kwamba anapaswa akiwa na mkewe awe na taswira kama akiwa na kidoti, hivi hawa vijana wana wazazi kweli? au mama zao ndio washiriki wa bibi bomba?