Huyu naye alikuwa anawaza nini kumuoa Dida?

Huyu naye alikuwa anawaza nini kumuoa Dida?

Khaa jamani tusione watu wanatupia tu mapicha wapo vacation sijui tukawatamani, maake kila weekend watu wanatalii tu. Kuta za nyumba zinaficha mengi kiruuuu.

Sema me namuaminia dida, hapa sisi tunatokwa povu yeye jana kavuta baby mpya (new ride) hehehehe tushamtangazaaaaaa. Nahisi hapo kichwani anawaza style mpya ya gauni atakalovaa on her next wedding. Anaweka shida chini, ananyanyua mikono juu anabanjukaaaaaa. Huyo ndo Dida a.k.a kim k, a.k.a ndimu mkata shombo. Namtamiajee mwenzangu ndoa ya 4 ipo njiani, me hata kupewa proposal on april fools sijawahi hahahahaahaahaha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

kha! we mwanamke una maneno kweikwei, nimecheka sana ndio maana nilikwambia mimi sina muda na viblog uchwara maana hapa ni full burudani.

jana umeniuliza mchuchu wangu what's happen kabla sijakujibu thread ikafungwa, hata hivyo kesho atakuwa ndani ya nyumba ya jf manshkhofu, alimuwa bize kunikarangizia.

ila maisha sijui kwa nini hayako fair, waowaji serious wanapata tabu sana kukutana na wadada ambo wako committed, na wadada pia hali kadhalika nao wanajikuta wameangukia kwa kina mr tombah tombah.
 
Hehe lets assume mie nakuoa wewe, niko na kwangu pia uko na kwako, hutaki kutoka kwako kuja tuishi kwangu..mie nijishushe nikuskilize wewe nije kwako, itakuwa sahihi kweli kuniita mvivu na unanilea?

hivi unajua ni kwa ini mwanume anaitwa kichwa? ni kwa sababu ni anatakiwa kuwa mmiliki... hivi umekuja kwangu nyumba yangu , kila kitu changu do u think unaweza kuwa nasay pale kwa maana hiyo wewe ni mkia... you have power because you have something
 
Hapa kipindi wanafunga ndoa na Ezden... Mahaba nigalagaze!!

1011290_10200281292494974_119616017_n.jpg

Duuuh..kweli LOVE IS BLIND!!


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
huyu kijana ni kichaa, nimeshindwa kusikiliza kwa aibu.
 
Khaa jamani tusione watu wanatupia tu mapicha wapo vacation sijui tukawatamani, maake kila weekend watu wanatalii tu. Kuta za nyumba zinaficha mengi kiruuuu.

Sema me namuaminia dida, hapa sisi tunatokwa povu yeye jana kavuta baby mpya (new ride) hehehehe tushamtangazaaaaaa. Nahisi hapo kichwani anawaza style mpya ya gauni atakalovaa on her next wedding. Anaweka shida chini, ananyanyua mikono juu anabanjukaaaaaa. Huyo ndo Dida a.k.a kim k, a.k.a ndimu mkata shombo. Namtamiajee mwenzangu ndoa ya 4 ipo njiani, me hata kupewa proposal on april fools sijawahi hahahahaahaahaha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Aisee nimechekajee..???
 
hivi unajua ni kwa ini mwanume anaitwa kichwa? ni kwa sababu ni anatakiwa kuwa mmiliki... hivi umekuja kwangu nyumba yangu , kila kitu changu do u think unaweza kuwa nasay pale kwa maana hiyo wewe ni mkia... you have power because you have something

siku hizi kuna wanaume na wakiume, mimi nilikuwa simjui huyo dogo ila nilivyojuwa tu ni yule anyehost kipindi pamoja na jokate kidoti yani hajiongezi tu akili kwamba waliowapanga vile ndio wanamatch?

mtu yoyote mwenye akili ni lazima ajiongeze kwamba anapaswa akiwa na mkewe awe na taswira kama akiwa na kidoti, hivi hawa vijana wana wazazi kweli? au mama zao ndio washiriki wa bibi bomba?
 
siku hizi kuna wanaume na wakiume, mimi nilikuwa simjui huyo dogo ila nilivyojuwa tu ni yule anyehost kipindi pamoja na jokate kidoti yani hajiongezi tu akili kwamba waliowapanga vile ndio wanamatch?

mtu yoyote mwenye akili ni lazima ajiongeze kwamba anapaswa akiwa na mkewe awe na taswira kama akiwa na kidoti, hivi hawa vijana wana wazazi kweli? au mama zao ndio washiriki wa bibi bomba?

wanawazazi sema wanjifanyaga mapenzi nipofue .. wanajilipua tu
 
siku hizi kuna wanaume na wakiume, mimi nilikuwa simjui huyo dogo ila nilivyojuwa tu ni yule anyehost kipindi pamoja na jokate kidoti yani hajiongezi tu akili kwamba waliowapanga vile ndio wanamatch?

mtu yoyote mwenye akili ni lazima ajiongeze kwamba anapaswa akiwa na mkewe awe na taswira kama akiwa na kidoti, hivi hawa vijana wana wazazi kweli? au mama zao ndio washiriki wa bibi bomba?

hahahahaaa! majanga na baba zao ni?!
 
Back
Top Bottom