Huyu naye anataka kuzaa na mimi ndio anioe

Kwanza amesha kutambulisha ata ndugu yk mmoja? Vipi kwenu je wanamjua alishawahi kupeleka sura yake kwenye.

ukijibu hayo maswali nitakushauri.

Mimi sijamtambulisha kwetu yeye kanitambulisha
 

Sawa dada

Ila mimi naepukaa hilo la mwisho hata asiponioa ilo ndio siitaki nizae na mtu afu aniachee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…