mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
- Thread starter
- #121
Kuna njia nyingine ile yakuangalia ute wa uzazi ni 98% na salama zaid.
Mmh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna njia nyingine ile yakuangalia ute wa uzazi ni 98% na salama zaid.
Itabdi tufanye hivyo , nikajua ww ni mtu wa vyoda[emoji14]Nikajua na wewe una likizo kazini! Basi twende tukanywe ijumaa
Toa asilimiaNi wa viwango sema simuamini tu
Mbona umeguna?
Kwanza amesha kutambulisha ata ndugu yk mmoja? Vipi kwenu je wanamjua alishawahi kupeleka sura yake kwenye.
ukijibu hayo maswali nitakushauri.
Umejuaje una mzunguko uliovurugika?Ya kwanza haitaki
Ya pili kwa sie wenye mzunguko wa kuvurugikaa haitufai
Zaa uchekwe usingle mother
Sasa hapo mamy ngoja dada yako nikufundishe mbinu za kivita. Si umesema unamtegemea yeye kila kitu kwa sasa? Na hiyo ina maanisha anakuhudumia si ndiyo? Na hapo nimeona mambo ya ma abroad maana yake ana hela. Sasa wewe muombe akufungulie hata saloon au hata biashara nyingine yoyote unayohisi unaweza kuifanya. Kisha unaweza ukajiaminisha kubeba mimba.. hata asipokuoa akikimbia unakuwa na biashara itakayo ku support kwenye malezi ya mtoto.
Eeh olewa ukafue majeans
Jiandae mapema kisaikolojia mayoo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuna washing machine
Toa asilimia
Mbona umeguna?
Hiyo apoHiyo njiaa
Umejuaje una mzunguko uliovurugika?
Unakula vyakula Gani?
Anavaa vitamba [emoji1787][emoji1787]Jiandae mapema kisaikolojia mayoo.
Unampa ushauri mbaya.Bora muhuni mwenye uwezo wa pesa kuliko muhuni masikini. Kama huyu wa sasa anauwezo zaa naye
WoiiiiiiiiiAnavaa vitambAAAA[emoji1787][emoji1787]
Woiiiiiiiii
OK ni njia nzuri mno nitakueleza ukitafute.Naomba kitabu nisomee