Njia salama ni condom au kujua kalenda yako , basi.Nimekataa nipe njia salama [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njia salama ni condom au kujua kalenda yako , basi.Nimekataa nipe njia salama [emoji23][emoji23]
Kuna njia nyingine ile yakuangalia ute wa uzazi ni 98% na salama zaid.Njia salama ni condom au kujua kalenda yako , basi.
Nataka bia Pepsi inaleta nzi.
Kwanza amesha kutambulisha ata ndugu yk mmoja? Vipi kwenu je wanamjua alishawahi kupeleka sura yake kwenye.Nyie wa ndugu ni wazima.
Tuna mahusiano ya mwaka 1, mwezi kama huu ndio tulijuana kisha akaenda abroad now amerejea ila anataka tuzae...
Apana mkuu sio kila mtu bia zinakimbilia chini , mimi huwa zinani provoke kuongea kingereza tu, alafu bia ni mda wote mkuu mama samia apate kodi ya mishahara ya wafanyakazi.Bia mchana huu? Ndio ulewe upate sababu ya kufanya uzinzi eeh? Wewe kunywa hata Mo xtra moja hapo.
Apana mkuu sio kila mtu bia zinakimbilia chini , mimi huwa zinani provoke kuongea kingereza tu, alafu bia ni mda wote mkuu mama samia apate kodi ya mishahara ya wafanyakazi.
Kumbe ndo ivo?? mbona kuna mabaharia wengi wana hela na wana makali, wanachakata mbussu balaa[emoji23]
Achana na huyo family guy[emoji23]
Hahahaha ila pombe kidgo inafaa zaid j mosi katakati ya wiki utapoteza mahesabu[emoji4]Kumbe bia zina kufanya uongee kingereza fresh enh. Sasa jioni twende kwa mangi wote unywe bia halafu utaongea kingereza na mimi.
Una elimu gani?Wewe ni Ke ?
Eeh olewa ukafue majeansNyie wa ndugu ni wazima.
Tuna mahusiano ya mwaka 1, mwezi kama huu ndio tulijuana kisha akaenda abroad now amerejea ila anataka tuzae
Suala la ndoa anasema on process nikiwa tayari nina kibendi sababu ni kwamba naweza kumkimbiaa [emoji23][emoji23]
Mimi kwasasa sina kazi namtegemea yeye hilo suala la kuzaa kwasasa nimelipingaa lolote linaweza kutokea huko mbeleni
Ushaurii wenu ni njia salama za kujikinga na mimba. Na kwa waliowahi kutumia na hazija waathiri
NB: Mimi sijawahi kutumia njia yoyote ya uzazi wa mpango so nataka nianze kutumia now
[emoji1787][emoji1][emoji1]
Kama yeye anazo pesa unashindwa vip kumpa masharti akupe mtaji kwanza then utakubali ombi lake ili na wewe ujitegemee ?
Hii ni violence[emoji23]Eeh olewa ukafue majeans
Mbona si maharage ya mbeya [emoji23][emoji1787][emoji23]
Hahahaha ila pombe kidgo inafaa zaid j mosi katakati ya wiki utapoteza mahesabu[emoji4]
Kupitia jinsi anavoishi
Je ni mtu ambaye anatimizq ahadi zake kwa wakati?(NIDHAMU)
Kama hatimizi ahadi yake kwa wakati, jiandae kuwa single mom. Tabia haibadiliki
🤣🤣🤣🤣🙌Wewe inatakiwa utandikwe viboko ukiwa unatembea bila tupu ili akili ikurudie
Dada angu, maneno mazuri ndo ubinadam, na sio watu wote aanaingia huko kwenye kwa sababu wana uhakika, ni maturity....
Kama umri umefika, unampenda, anajali, anataka mtoto? Why not, kama sio wewe kuna mtu atampa haja ya moyo wake.
Njia salama ni condom au kujua kalenda yako , basi.