Kwanza post yako namba moja umeweka miaka 18.
Usemi wako wa sasa hivi "Alianza kuwa na mama bob before the age of eighteen." unaweza
kutuabia exactly ni miaka mingapi? Kwani sheria za Tanzania za juzi juzi tu zilikuwa zinaruhusu wenye umri wa miaka 14 kuoana.
Jamaica mwaka 1945 ilikuwa ni miaka
minapi unaweza kuolewa? Na huyo binti alikuwa miaka 18 au "chini ya hapo", kama chini ya hapo alikuwa na miaka mingapi?
Jamaica kama sikosei ilitawaliwa na Mwingereza, sheria ya ndoa ya 1925 iliongeza muda wa kuolewa kufikia miaka 16. Kabla ya hapo ilikuwa umri hauna maana ila ni "consent" maridhiano ya wazee.
The Age of Marriage Act 1929 (19 & 20 Geo 5 c 36) was an
Act of the
Parliament of the United Kingdom which increased the
age of marriage to sixteen. It was passed in response to a campaign by the
National Union of Societies for Equal Citizenship.
[2]
Tukiuongelea haya mambo ya kupakazia tuelewe tunachokiongea, la sivyo
tuyaacha kama yalivyo.
Kwa umri uliouweka kwenye post namba moja, hauwezi kusema huyo ni "pedophile". Kwani hilo ni kosa kubwa sana na unaweza kushitakiwa kisheria kwa ku defame mtu, tazama hii, huyu ndiyo anafaa kuitwa hivyo:
HABARI PICHA BLOG: Mzee wa kanisa Aumbuka baada ya kufumaniwa Gesti na kibinti kidogo kilicho chini ya miaka 18