Huyu ndie Baba yake Bob Marley

Huyu ndie Baba yake Bob Marley

Bidada bora kase
Inaitwa copy and paste. It's very easy, even an idiot can do it.
pa mngebishana hapa hadi basi, Na wewe ndo umeshinda Mkuu,
Jibu anajua lakini anafanya makusudi
 
Kwanza post yako namba moja umeweka miaka 18.

Usemi wako wa sasa hivi "Alianza kuwa na mama bob before the age of eighteen." unaweza kutuabia exactly ni miaka mingapi? Kwani sheria za Tanzania za juzi juzi tu zilikuwa zinaruhusu wenye umri wa miaka 14 kuoana.

Jamaica mwaka 1945 ilikuwa ni miaka minapi unaweza kuolewa? Na huyo binti alikuwa miaka 18 au "chini ya hapo", kama chini ya hapo alikuwa na miaka mingapi?

Jamaica kama sikosei ilitawaliwa na Mwingereza, sheria ya ndoa ya 1925 iliongeza muda wa kuolewa kufikia miaka 16. Kabla ya hapo ilikuwa umri hauna maana ila ni "consent" maridhiano ya wazee.

The Age of Marriage Act 1929 (19 & 20 Geo 5 c 36) was an Act of the Parliament of the United Kingdom which increased the age of marriage to sixteen. It was passed in response to a campaign by the National Union of Societies for Equal Citizenship.[2]

Tukiuongelea haya mambo ya kupakazia tuelewe tunachokiongea, la sivyo tuyaacha kama yalivyo.

Kwa umri uliouweka kwenye post namba moja, hauwezi kusema huyo ni "pedophile". Kwani hilo ni kosa kubwa sana na unaweza kushitakiwa kisheria kwa ku defame mtu, tazama hii, huyu ndiyo anafaa kuitwa hivyo: HABARI PICHA BLOG: Mzee wa kanisa Aumbuka baada ya kufumaniwa Gesti na kibinti kidogo kilicho chini ya miaka 18
=Tuyaache
Naona umeanza kufuta ujinga kiasi ila Kazi ya udaktari hufai utakuja kuua kwa makosa
 
BBC ni Royal funded propagation media, na baba yake Marley alikuwa mwakilishi wa wakoloni Jamaica, so what do you expect? Very complicated story, when they met, a baby born & the separation alikuwa 18 tu. Ukweli usioandikika na BBC ni kwamba huyu mzee kama ilivyokuwa wazee wengine wa kizungu ilikuwa ni tabia yake kuwatumia na kuwakalia wasichana wadogo wa kiafrika. Maneno matamu ndio tabia ya pedos, huwa hawatumii nguvu ni walaghai wakubwa.


Argument yako hiyo haina mashiko, kwani mleta mada kwenye post namba moja aliposema mama'ke Bob alikuwa ana miaka 18 hukuona? Au na yeye source yake ni BBC?
 
JAH RASTAFARI:
Love the life you live.live the life you love
HIS IMPERIAL MAJESTY EMPEROL HAILE SELASSIE I THE FIRST
 
Argument yako hiyo haina mashiko, kwani mleta namba mada aliposema mama'ke Bob alikuwa ana miaka 18 hukuona? Au na yeye source yake ni BBC?
hapo kwenye nyekundu ni kiswahili cha kanda ipi?
 
Back
Top Bottom