Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #21
uchaguzi ni mchakato sio hisia au imani.Uchaguzi gani boss, Tanzania hakuna uchaguzi, bali Kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura.
shiriki kikamilifu kwa vitendo kwenye mchakato huu muhimu, kuondoa fikra potofu na uitumie haki yako ya msingi vema na kwa manufaa yako wewe mwenyewe.