uchaguzi ni mchakato sio hisia au imani.Uchaguzi gani boss, Tanzania hakuna uchaguzi, bali Kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura.
Chawa, umesahau kuweka hapo namba ya simuHuo ndio ukweli wenyewe kuwa Rais samia ndio mtu sahihi aliyesheheni sifa zote zinazohitajika na watanzania juu ya kiongozi wanayemhitaji.,anastahili kuendelea kututumikia watanzania kwa kuwa amekata kiu yetu na kukidhi matarajio yetu watanzania.
nina hakika mimi na familia yangu, ndugu jamaa na marafiki zangu, familia ya wana ccm na watanzania wote wenye mapenzi mema na mama Tanzania, Tunasimama na Dr.PhD,E.G.H Comrade SAMIA SULUHU HASSAN...Atakuvusha wewe tu, Hafai kwa nchi yetu
Mimi ninasubiri maumivu ya mikataba inayosainiw kama mvua. Ule mmoja tu wa DPW umeleta patashika nguo kuchanika.ili mzidi kuiba kwa uhuru au sio
uko sawa kabisa mchapakazi mzalishaji,Watu masikini muda wote uwaza chaguzi tu!
Jikiteni kwenye uzalishaji na kujenga uchumi!
Kwa ule upuuzi unaondelea kwenye chaguzi zetu, mtu mpuuzi tu ndio anaweza kuendelea kushiriki ushenzi huo.uchaguzi ni mchakato sio hisia au imani.
shiriki kikamilifu kwa vitendo kwenye mchakato huu muhimu, kuondoa fikra potofu na uitumie haki yako ya msingi vema na kwa manufaa yako wewe mwenyewe.
mambo yanabadilika na mambo yamebadilika sana, ukitaka kuelezea maswala ya uchaguzi wa Tanzania basi nakusihi jipange kuelezea uchaguzi wa 2024 na 2025. Maboresho makubwa yamefanyika na nikuhakikishie chaguzi zote zijazo nchini zitakua huru, haki na wazi kuliko chaguzi zozote. narudia tena zozote ulizowahi kuskia na kuziona duniani chini ya comrde Dr.PhD,E.G.H SAMIA SULUHU HASSAN...Kwa ule upuuzi unaondelea kwenye chaguzi zetu, mtu mpuuzi tu ndio anaweza kuendelea kushiriki ushenzi huo.
Kwa katiba na muundo huu wa uchaguzi, watu wajinga tu ndio watajitokeza kupiga kura. Jiandaeni kupika idadi ya wapiga kura, maana chaguzi hizo zitakuwa na wapiga kura wachache mno. Hakuna mtu anayejitambua ataendelea kushiriki chaguzi za kishenzi.mambo yanabadilika na mambo yamebadilika sana, ukitaka kuelezea maswala ya uchaguzi wa Tanzania basi nakusihi jipange kuelezea uchaguzi wa 2024 na 2025. Maboresho makubwa yamefanyika na nikuhakikishie chaguzi zote zijazo nchini zitakua huru, haki na wazi kuliko chaguzi zozote. narudia tena zozote ulizowahi kuskia na kuziona duniani chini ya comrde Dr.PhD,E.G.H SAMIA SULUHU HASSAN...
Na nikuhakikishie tu,
chaguzi za 2024-2025 zitapewa kongole nyingi mno na kushangiliwa dunianai pote,
kwasababu utakua ni uchaguzi mzuri mnoo......
usipange kukosa fursa hiyo muhimu, ya kipekee na kihistoria tafadhali.......
nashukuru tunaelekea kuaelewana taratibu, taratibu,Kwa katiba na muundo huu wa uchaguzi, watu wajinga tu ndio watajitokeza kupiga kura. Jiandaeni kupika idadi ya wapiga kura, maana chaguzi hizo zitakuwa na wapiga kura wachache mno. Hakuna mtu anayejitambua ataendelea kushiriki chaguzi za kishenzi.
Una uhuru wa kutoa mawazo yako na hongera. "Mahiri na hodari wa kuhubiri amani.." siyo sifa. Amani kuwepo ndiyo sifa nzuri kwenye matangazo ya biashara. Pia " msikivu... anayejali utu wa watu wa hali zote... mchapa kazi makini..." inaonekana kama unamkumbusha ya kufanya au unamfanyia tangazo hasi la biashara (negative commercial "? Inafaa kuwa makini katika matangazo. Huu ni ushauri wa bure tu kutoka kwa mtazamaji wala sikupingi!!Mzalendo msikivu, Mwenye huruma, anaye jali utu wa watu wa hali zote, muungwana kwa maneno na vitendo, mchapakazi makini, mahiri na hodari wa kuhubiri Amani, Umoja, mshikamano na utangamano wa waTanzania.
Ni alama ya demokrasia, uhuru, haki, uwazi, uwajibikaji na usawa nchini. Mwenye maono ya maendeleo ya watu na vitu aliebeba matumaini ya uhakika ya waTanzania.
Hakika Mama Samia Suluhu Hassan ni pendekezo sahihi na la uhakika, kutuvusha salama uchaguzi mkuu 2025.
Neema na Baraka za Mungu zikuandame vema dominika ya leo .
Mama aendelee mpaka 2035
Achana na porojo za sijui uzalendo na msikivu swala la msingi na Muhimu ni kwamba anafanya vizuri san kwenye uchumi na Huduma za jamii.Mzalendo msikivu, Mwenye huruma, anaye jali utu wa watu wa hali zote, muungwana kwa maneno na vitendo, mchapakazi makini, mahiri na hodari wa kuhubiri Amani, Umoja, mshikamano na utangamano wa waTanzania.
Ni alama ya demokrasia, uhuru, haki, uwazi, uwajibikaji na usawa nchini. Mwenye maono ya maendeleo ya watu na vitu aliebeba matumaini ya uhakika ya waTanzania.
Hakika Mama Samia Suluhu Hassan ni pendekezo sahihi na la uhakika, kutuvusha salama uchaguzi mkuu 2025.
Neema na Baraka za Mungu zikuandame vema dominika ya leo .
Alaah kumbe! Nimekurupuka nikijua Kuna jambo la maana nami nisipitweMzalendo msikivu, Mwenye huruma, anaye jali utu wa watu wa hali zote, muungwana kwa maneno na vitendo, mchapakazi makini, mahiri na hodari wa kuhubiri Amani, Umoja, mshikamano na utangamano wa waTanzania.
Ni alama ya demokrasia, uhuru, haki, uwazi, uwajibikaji na usawa nchini. Mwenye maono ya maendeleo ya watu na vitu aliebeba matumaini ya uhakika ya waTanzania.
Hakika Mama Samia Suluhu Hassan ni pendekezo sahihi na la uhakika, kutuvusha salama uchaguzi mkuu 2025.
Neema na Baraka za Mungu zikuandame vema dominika ya leo .
uzalendo na usikivu ni nyenzo na ni jambo muhimu mno, na tena, nadhani ndio msingi wa kua na mipango mikakati makini na madhubuti katika kubuni, kupanga na kujenga uchumi imara, wa uhakika na unao aminika na kuchochea hali bora za maisha ya watanzania, kipato cha uhakiaka, uhakika wa maji wa maji safi na salama, madawa na madakitari wanaotosheleza, elimu nzuri na bora, usafiri na usafirishaji wa uhakika, biashara, ulinzi na usalama wa watu na mali zao, na kwakweli umoja na mshikamano wa waTanzania.Achana na porojo za sijui uzalendo na msikivu swala la msingi na Muhimu ni kwamba anafanya vizuri san kwenye uchumi na Huduma za jamii.
Tuhame kubadili porojo tuje kulinganisha matokeo ya utendaji wa kazi.
hujachelewa na kwakweli muda bado upo, nafasi ipo na hakuna atakea achwa nyuma kwenye safari hii muhimu, salama na ya uhakika kuelekea Tanzania ya kipekee Duniani chini ya comrade Dr.Phd.E.G.H SAMIA SULUHU HASSAN.Una uhuru wa kutoa mawazo yako na hongera. "Mahiri na hodari wa kuhubiri amani.." siyo sifa. Amani kuwepo ndiyo sifa nzuri kwenye matangazo ya biashara. Pia " msikivu... anayejali utu wa watu wa hali zote... mchapa kazi makini..." inaonekana kama unamkumbusha ya kufanya au unamfanyia tangazo hasi la biashara (negative commercial "? Inafaa kuwa makini katika matangazo. Huu ni ushauri wa bure tu kutoka kwa mtazamaji wala sikupingi!!
Nikishasikia mtu anajiita Mzalendo na blaa blaa kama hizo najua hamna kitu.uzalendo na usikivu ni nyenzo na ni jambo muhimu mno, na tena, nadhani ndio msingi wa kua na mipango mikakati makini na madhubuti katika kubuni, kupanga na kujenga uchumi imara, wa uhakika na unao aminika na kuchochea hali bora za maisha ya watanzania, kipato cha uhakiaka, uhakika wa maji wa maji safi na salama, madawa na madakitari wanaotosheleza, elimu nzuri na bora, usafiri na usafirishaji wa uhakika, biashara, ulinzi na usalama wa watu na mali zao, na kwakweli umoja na mshikamano wa waTanzania.
Yote haya yanaweza kufanywa na mtu mzalendo na msikivu pekee ambae kwakweli ni dhahiri shahiri ni comrade Dr.PhD.E.G.H SAMIA SULUHU HASSAN.
hapana, hujakurupuka,Alaah kumbe! Nimekurupuka nikijua Kuna jambo la maana nami nisipitwe
Masuala yote ya Kisiasa, Kiuchumi, Kijamii, Sayansi na Technolojia yanayotekelezwa kwa weledi na umahiri mkubwa na Comrade Dr.PhD.E.G.H SAMIA SULUHU HASAN ni matokeo ya uzalendo usio shaka.Nikishasikia mtu anajiita Mzalendo na blaa blaa kama hizo najua hamna kitu.
Tuhame kutoka kwenye porojo kwenda kwenye vitendo