Huyu ndie wa kutuvusha salama mwaka 2025

Sawa mheshimiwa waziri.
 
Narudia tena, hakuna mtu anayejitambua atajitokeza kushiriki hizo chaguzi za kishenzi. Ww endelea na hizi documentary zako, lakini hakuna mtu ana muda mchafu wa kushiriki huo ukhanithi.
nashukuru kamanda,
naona umeanza kunielewa vizuri taratibu, zaidi sana nashukuru umeanza kumuelewa comrade Dr.PhD.E.G.H SAMIA SULUHU HASSAN na punde amehitimisha hotuba bora na mujarabu sana hapa ikulu ya chamwino dodoma.
I hope hadi wakati muafaka tutakua na mtazamo moja na nia mojo kwa maendeleo ya Tanzania moja na Dr.PhDE.G.H SAMIA SULUHU HASSAN.

Hakika itapendeza zaidi ndugu kuishi pamoja kwa umoja na upendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…