Huyu ndio Dr. Emmanuel Nchimbi ninayemfahamu

Huyu ndio Dr. Emmanuel Nchimbi ninayemfahamu

"Sisi watatu hapa Mimi, Sophia Simba na Adam Kimbisa hatukubaliani na Maamuzi ya Kamati kuu ya kukata wagombea wanaofaa kwa faida ya kuteua Wagombea wasiofaa ( Magufuli,January,Membe,Asha rose na Amina Salum Ali) kuanzia leo tunajitenga na Maamuzi ya kamati kuu na hatutakuwa sehemu ya uamuzi huu - Dr.Emmanuel Nchimbi 11 July,2015 02:00 am Kwenye Ukumbi Mpya wa Mikutani ya CCM
 
Hatutaki Awe Spika Wa Bunge,maana mbinu za lowassa twazijua
 
Dr Nchimbi ni kiongozi aliyeiva
Anajua kipi kifanyike na wakati gani

Hakika bunge atalimudu
 
Hatumtaki hawezi kutetea hoja kamati ya maadili ilimwonea rais wetu Lowassa alijaribu kuoji lakini hakuonyesha ujasili akapozwa akakubali hafai kuwa spika
 
Anaitwa Dr Emmanuel John Nchimbi, Moja Kati Ya Masenior Comredi Ndani Ya Chama Cha Mapinduzi Ni Mtu Mahiri Katika Kile Anachokiamini Na Hafundishwi Punda Kumwita Falasi .......

Ni Mwanasiasa Mwenye Nguvu Ndani Na Nje Ya ccm katika Ushawishi na Ukubalikaji wake ........
Wasifu wake kiuongozi ni mpana sana Ameanza Kuwa Raisi Wa Chuo Kikuu Mzumbe Akaja kuwa Mwenyekiti Wa uvccm Taifa Akagombea Ubunge jimbo La songea mjini akirisi mikoba ya Laurensi gama

Amekuwa mbunge kwa miaka kumi na amekuwa waziri kamili katia wizara mbili tofauti Wizara Ya Nyumba Na Makazi Na Wizara Ya mambo ya ndani pia Amekuwa naibu waziri katika wizara mbili tofauti wizara ya habari tamaduni na michezo pamoja na wizara ya mambo ya ndani....

Anasifika kwa uwelewa mpana wa mambo ya kitaifa katika nyanja mbali mbali kijamii kisiasa na kiuchumi.....

Ameweza kuwatenegeza wanasiasa wengi mashughuli wakiwemo madc na wabunge wabunge lijalo katika baraza la vijana taifa la mwaka 2008

Makatibu wa uvccm na wa wilaya na mikao ni product yake pia ni mjumbe kamati kuu kwa miaka isopungua 17 anajua ajenda za chama na kitaifa

Kijana na msomi mwenye uwezo wa kulimudu Bunge lijalo la 11

#Twende na Nchimbi Uspika
Msitufanye hatumfahamu nchimbi tunamjua sana na kwa taarifa yako mtoa mada nchimbi ni mmoja wa mamafia na ni kinara wa makundi ndani ya chama ambapo yupo kwenye kundi moja na washtumiwa wa ufisadi mkubwa hapa nchini.,kaz zake nying anazotekeleza ni kutafuta uungwaji mkono ndani ya chama ili ule mtandao wa wahujumu uchumi ukiongozwa na gabachori lililokubuhu rostam aziz uzidi kushika rasilimal zote kwa kutunyonya
Mara nying utamkuta akiwa na mama simba mwenyekit wa jumuiya ya wanawake mama la waizi..kazi nyingi za ufisadi zinaratibiwa mitaa ya upanga
Pole sana kama humjui nchimbi
 
Emmanuel Nchimbi CV

Honourable
Emmanuel Nchimbi
MP20th-Minister of Home AffairsIn office
7 May 2012-? 20 December 2013Preceded byShamsi NahodhaSucceeded byMathias ChikaweMinister of Information, Culture, Sports and YouthsIn office
28 November 2010-? 7 May 2012PresidentJakaya KikweteDeputy Minister of Defence and National ServiceIn office
13 February 2008-? 28 November 2010MinisterHussein MwinyiDeputy Minister of Labour, Employment and Youth DevelopmentIn office
17 October 2006-? 13 February 2008Deputy Minister of Information, Culture and SportsIn office
6 January 2006-? 16 October 2006Member of Parliament
for-Songea Town

Incumbent

Assumed office
December 2005Preceded byLawrence GamaPersonal detailsBorn24 December 1971-(age-43)NationalityTanzanianPolitical partyCCMAlma materMzumbe University-(MBA)

Emmanuel John Nchimbi-(born 24 December 1971) is a-Tanzanian-CCM-politician andMember of Parliament-for-Songea Townconstituency since 2010. He was the-Minister of Home Affairs.[1]
 
Tunakushukuru kwa taarifa , sasa nakutuma ukamuulize ni wapi yalikopotelea mabasi ya wanafunzi wa Dar es salaam ?
 
Nchimbi anajisogeza karibu kwenye kiti cha uspika!
 
Twende na Nchimbi
Ni msomi
Ni kijana
Ana uwezo
Ana uzoefu mkubwa
Anaweza kuunganisha watu wa mitizamo tofauti
Ni mwanadiplomasia
Ana kipaji cha uongozi
Ni rika la wabunge waliowengi ktk kipindi hiki
Anaijua ccm ndani nje
Anaijua nchi yetu
Anaweza tumsaidie atalisaidia bunge.

Uvccm hamjaacha ukuwadi tuu wa madaraka udalali sio mzuri kaka dafy umedalalia kigwa akapigwa uraisi wakamdalalia lowasa akapigwa uvccm sio sehemu ya kuaminika tena
 
Kugombea uspika ni haki yake lakini not my cup of tea.
 
JF members hatupigi kura ya kuchagua spika peleka ushuzi wako kwa waheshimiwa wateule
 
Alikuwa rafiki mkubwa wa Mpakanjia,kila nikikumbuka issue ya Amina chifupa yaani inaniuma sana
 
Anaitwa Dr Emmanuel John Nchimbi, Moja Kati Ya Masenior Comredi Ndani Ya Chama Cha Mapinduzi Ni Mtu Mahiri Katika Kile Anachokiamini Na Hafundishwi Punda Kumwita Farasi.

Ni Mwanasiasa Mwenye Nguvu Ndani Na Nje Ya ccm katika Ushawishi na Ukubalikaji wake.

Wasifu wake kiuongozi ni mpana sana Ameanza Kuwa Raisi Wa Chuo Kikuu Mzumbe Akaja kuwa Mwenyekiti Wa uvccm Taifa Akagombea Ubunge jimbo La songea mjini akirisi mikoba ya Laurensi gama.

Amekuwa mbunge kwa miaka kumi na amekuwa waziri kamili katia wizara mbili tofauti Wizara Ya Nyumba Na Makazi Na Wizara Ya mambo ya ndani pia Amekuwa naibu waziri katika wizara mbili tofauti wizara ya habari tamaduni na michezo pamoja na wizara ya mambo ya ndani.

Anasifika kwa uwelewa mpana wa mambo ya kitaifa katika nyanja mbali mbali kijamii kisiasa na kiuchumi.

Ameweza kuwatenegeza wanasiasa wengi mashughuli wakiwemo madc na wabunge wabunge lijalo katika baraza la vijana taifa la mwaka 2008

Makatibu wa uvccm na wa wilaya na mikao ni product yake pia ni mjumbe kamati kuu kwa miaka isopungua 17 anajua ajenda za chama na kitaifa

Kijana na msomi mwenye uwezo wa kulimudu Bunge lijalo la 11

#Twende na Nchimbi Uspika

Unamuombea kura huu..
 
Back
Top Bottom