Huyu ndio mtabiri bora wa mpira 2015-2022

Huyu ndio mtabiri bora wa mpira 2015-2022

Hakuna kitu kinachoshangaza duniani kama kuwaona baadhi ya watu wako mbele ya muda! Ndo ujue kuna watu wanaishi ukimwengu huu na ule usionekana!
Kuna mazuzu wapo zao huko mvuti wanaleta ubishi wa kunya
 
Bro kutokana na hali ya hewa ilitangazwa mapema mbona soma hii link ya mwaka 2015 inaonekana umeanza shabikia mpira 2020

Soma hii
Mkuu baada ya kusoma nikaona hakuna utabiri wa kutisha apo, ni sawa na Tz ishiriki alafu wewe ni mtz useme Tz itabeba. Uyo jamaa kama angekuwa raia wa nchi nyingine alafu tarehe ya fainali isingetajwa kabla basi angekuwa mtabiri bora kuwahi kutokea.
 
Back
Top Bottom