Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Kuna watu wamejaaliwa kupinga kila kitu, hata ingekuwa ni matibabu yao watampinga dakitariMchongo kivipi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wamejaaliwa kupinga kila kitu, hata ingekuwa ni matibabu yao watampinga dakitariMchongo kivipi mkuu
Na ukiona hivyo ujue akili yake ndogoKuna watu wamejaaliwa kupinga kila kitu, hata ingekuwa ni matibabu yao watampinga dakitari
Nilishawahi kukasikia tangu mwaka Juzi, sijui ni ka wapi haka katoto! Kalikuwa kanataja mpaka majina ya marais na Mawaziri!Huyu mtoto ukimsikiliza ana uwezo mkubwa sana wa kujieleza na kufanya hesabu.
Anajibu maswali ambayo hata wewe huwezi kuyajibu hapo ulipo saivi
View attachment 3159995
Ee Mungu tunakuomba huyu mtoto asiharibiwe na mfumo wa elimu yetu.
Mtumie huyu mtoto kuonyesha ukuu wako.
Amen na Jumapili njema
WE PROTECT THIS YOUNG ANGEL BY BLOOD OF JESUS. AMEN
Yale mabumunda yako mbana hayajawahi kukumbuka chochote?Amekakaririshwa ujinga ndo unasema anaakili kuliko wote? Hebu omba radhi haraka
SanaNa ukiona hivyo ujue akili yake ndogo
Nahisi ni kangoshaNilishawahi kukasikia tangu mwaka Juzi, sijui ni ka wapi haka katoto!
Mwombe Mungu akupe uwezo wa kupima vitu kwa haraka. Huyo mtoto ni mdogo sana kuelewa vitu kama hivyo.Kwamba ulipita vijiji na tarafa zote nchini ukafanya tathmini kujua huyo ndiye mwenye akili kuzidi wote nchini? Acha mtindio wa akili
Sasa hako hawawezi kuwa kangosha kwa vile ni ka kike!Nahisi ni kangosha
Ana IQ kubwa anaelewa mambo ya wakubwa na hesabu zote anafanya kwa kichwa.Hakuna kitu
Ni mtoto wa shangazi yako? Huyo atakua na akili kuliko ndugu zako tu,huwezi kuchukua takwimu za kifamilia ukazifanya za kitaifa.Mwombe Mungu akupe uwezo wa kupima vitu kwa haraka. Huyo mtoto ni mdogo sana kuelewa vitu kama hivyo.
Nilishawahi kukasikia tangu mwaka Juzi, sijui ni ka wapi haka katoto! Kalikuwa kanataja mpaka majina ya marais na Mawaziri!
Kuna tofauti kubwa kati ya akili na kukariri(memorizing).Watu wote kusanyikeni hapa mmsikilize malaika wa Mungu
Huyo ni mkubwa kuliko yule. Yule anaelezea kitabu na kufanya hesabu. Huyu anaomba alafu ni mtu mzima. Tofauti yao ni nini. Yule mtoto mdogo anaweza kujiunga chuo kikuu na akaelewa.
Kuna vitoto vya madurasa vimekariri Qoran nzima na hadithi sijui za Ibn Omar!Ni vyema tuwe tunaleta video kama hizo hapa jukwaani ili kuutukuza ukuu wa Mungu.