Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Si ndio maana ukanigandaaa kama luba.Alafu kweli huyu pacha wangu...hadi sifa zote kama zangu ninazozitaka
Haina noma man ila tusimshangae kamanda labda Ana papuchi ya shaba.Ni Mention kwenye Huo Uzi man
Same type tu sioni utofauti wako na wao...
Nili kua nime lala ila baada ya kuona hii post nika amka kabisa....
Una taka mwanaume alie kaa nje ya nchi.... So crazy... Hahaha! It's Funny how some women can be so complicated more than life is.
Nime kutana na type kama zako I swear it's pain in the ass....
Am sure watu wana ku avoid hata ofisini huko uliko sema why? Wana ona kabisa dating you isn't worthy doing.
Kila mtu Ana sifa anazo hitaji...ila over exaggerating of those features.... It's a clear sign you're one of those complicated women.
So be humble... A humble woman is a sweet woman to be with..
Achana na HOLLYWOOD mentality.
Nyani ngabu?Ninae mwenye sifa zote ila ana watoto
Hivi.unafikiri subscribers zaidi ya laki 5 ama 6 wa jf wote wana comment kwenye thread za watu?Huku jf sidhani kama yupo
Anakuja 2030, msubiliWakuu salaam.
Kwa malezi niliyolelewa mimi sistahili kufanya ili jambo, pia kwa mira na desturi za kiafrika sistahili kufanya hiki kitu, lakini huu moyo ni wangu, na mmiriki wa moyo wangu ni mungu. Sasa nikajiuliza kwa nini niendelee kuumia? Hakuna sababu ya kuendelea kuumia? ingawa najua mwanamke kumtafuta mwanaume ni aibu kubwa, ila nikawaza kwakuwa kuna sababu ambayo najua ni muhimu sana akipatikana na nikampenda nitamuweka wazi na atanielewa. Mamayangu amenilea vizuri kwa maadili na heshima, nina Imani ninachokiandika hapa mungu yupo anashuhudia,
Wale mtakaokuja kuniponda eti kwa nini nitafute mtandaoni huku niishiko hawapo? Jibu ni kwamba wapo kibao na wengine nikiri wananililia kunioa but, for the sake of my heart wacha niweke wazi mwanamme ninae mtaka staki wahuni mm sio mhuni mung undo shihidi.
SIFA ZA MWANAUME NINAE MTAKA.
1. Awe na mama yake mzazi/mlezi lakini akiwa na wazazi wot itapendeza sana.kama hana wazazi basi sawa ni mpango wa mungu ingawa itaniuma sana,
Why awe na mama yake? wakuu nataka kumuona huyu mwanamke duniani kote yeye ndo atokee anizalie mme? Nataka kumuona nimwambie ‘mama asante kwa kubeba mimba miezi 9 ukanizalia mwanaume wa ndoa nitakupenda kama mama yangu mzazi.’
2. Awe msafiiiiii. Narudia tena awe msafi kupitiliza spendi mwanaume mchafu sipend aina yeyote ya uchafu, No no nataka siku nikikutana nae macho yangu yadhibitishe kuwa ni msafi,yaan kuanzia kwake ndani mavazi awe smart.
3 Awe mrefu.
4. Rangi Yeyote hainipi shida ila akiwa na ka uweusi Fulani atanoga
5. Awe anajua kuvaa. kama hajui kuvaa smart nitamfundisha hii sector niko vizuri sana
6. Asiwe mwembamba. nataka zawadi za nguo nitakazokuwa nampa zimkae vizuri yaan awe na body size ya kati.(gentleman
7.Awe ana upendo. jamani kama mimi.nasisitiza kama una roho ya paka usijidanganye nataka nionje taste of love
8 Awe ana care, jamani awe na mkono mwepesi hata akinipa pipi ina thamani kwamgu, namiss hii kitu mm natoa sana nikimpenda mwanaume siwezi kutoka mjini bila kumnunulia chochote nguo ndo usiseme.
9.Awe kristo rc na mcha Mungu
10. Awe na miaka 34+ ni lazima.
11. Awe ameshafika stage Fulani ya maisha. Staki mwanaume tegemezi, atleast awe na mradi mmoja wa kumuingizia pesa tofauti na ajira.staki mwanaume mzembe ambae hajui kutafuta pesa. Inshort awe na mipango ya kuwa somebody na future nzuri .staki mwanaume anaemiliki p.u.m.b.u na smartphone.mm ni mtafutaji staki mwanaume wa ovyo.
12,Awe na kucha zote miguuni, napenda weekend nikimkata vizuri kucha zikae fresh avae sandles sometimes pensi fulan amaizing atoke bomba.
13 Asiwe alishawahi kuoa wala kuwa na mtoto nje ya ndoa, Mtoto ni Baraka ila watoto wa nje ya ndoa wanaleta migogoro .staki mme wa mtu mm.
14. elimu degree, masters phd vyote sawa.
15 asiwe mhaya .plz naomba msinielewe vibaya samahani sana mnisamehe
SIFA ZANGU
1. Namshukuru mungu kunipa upendo nina upendo kwa kila mtu
2. Mimi ni msafiiiiiiiiii yaaani ni msafiiiii kupitiliza
3. Nimeajiriwa ila nimejiajiri kimradi changu kidogo pemben tho sipendi kuajiriwa ndo mana nataka mwanaume ambae atanipa sapport tupanga miradi tuwe na maisha bora.
4. Elimu –degree
5. Rangi –mweusi kiasi
6. Urefu size ya kati umbo mm sio bonge.
7. nacare sana nikimpenda mtu nampenda kwa vitendo
8. Sijawahi kumsaliti mtu
9. Dini mkristo –rc
10, najitegemea sitegemei mwanaume vitu vidogovidogo nina uwezo navyo in short mm ni mtafutaji.
11mimi ni mcha mungu.
12 napenda sana competition sipend mme wangu azidiwe na wanaume wengine hasa kimaendeleo
13 sina mtoto na sijawahi kuolewa.
14 nina akili ya maisha yaani IQ yangu ipo juu saa upstairs niko vizuri.
15 Mm ni mchangamfu sana mcheshi namshukuru mungu kuniumba hivi.
16. mm ni mvumilivu ila ikiwa too much, siwezi kuvumilia tena.
N.B. Mimi ni binadamu sijakamilika nina mapungufu yangu lakini hivyo kidogo mungu alichonijalia kinaendana na ukweli niliouandika hapa. hasa sifa zangu.
NOTE. Ningependa nikutane na mwanaume ambae alishawahi kuishi nje nchi yaani ana exposure ya mambo mengi nina sababu ya msingi hasa kimaendeleo / biashara LAKINI AKIDHI VIGEZO VYOTE NO 1-15 . lakini kama hajawahi kuishi nje na ana vigezo hakuna mbaya najua nikiwa nae tutafika mbali.
NINAVYO MISS.
1. Mme wamgu uko wapi? Nimekusubiri nimejitunza nimechoka kukusubiri
2. Nimemiss kukumbatiwa miaka sasa
3. Nimemiss kukiss staki kukiss na jitu la ajabu lichafu
4. Nimemiss kubebwa
5. nina upweke staki kukaribisha vijianaume vya ajabu kwangu
6. Uko wapi baba nikupikie uone ninavyojua kupika.
7. Njoo uone nilivyo msafiii sijawahi kuingiza mwanaume kwangu njoo uone kwangu nilivyo msafi
8. Njoo uone ninavyojipenda
9. Njoo nikuoneshe upendo
10 Njo baba mama yangu anataka kukuona.
11. Namiss neno baba njoo nikuite baba.
Kiukweli nimeniss vingi sana sio kwamba nilipo hakuna wanaume wapo wengi kazini ila nataka wangu wa moyo nimuoneshe upendo nae anioneshe maana hiki ndicho ninachokimiss kutoka kwa mtu nimpendae.
Mwisho mm ni mwanamke ninaejitambua wale ambao mtakuja hapa kunitusi eti nichonge au nizae mme wangu nawaomba tafadhari mkae kimya najua ninachokita. na nina imani huyu mtu mwenye sifa hizi yupo.
Angalizo.
kama unajua huna vigezo hivyo hapo juu plz usijisumbue kuja pm maana niko makini, najua kuna vitoto vinavyomiliki laptop baada ya kupaya mkopo wa board vitakuja plz tuheshimiane ninaomba.
Karibuni.
Na kweli, wengi wana watoto humu. Ila kusema wanawake wenye watoto sasa!!!Jamaa wana watoto humu!!! Ukitaka mume jf kuwa mama wa kambo hakuepukiki
Kumbe huyu nina vigezo vyake vyote kasoro kimoja.Eti "ningetamani awe ameishi nje ya nchi"hahahahahaha utasubir sana
Dunia nzima hakuna wa hivo, labda mbinguniHuku jf sidhani kama yupo
dear nakuomba rudi kwenye uzi wangu usome sehemu nilipoandika kuusu kuishi nje plz go an read, hii kwangu sio lazima nimeweka waziSame type tu sioni utofauti wako na wao...
Nili kua nime lala ila baada ya kuona hii post nika amka kabisa....
Una taka mwanaume alie kaa nje ya nchi.... So crazy... Hahaha! It's Funny how some women can be so complicated more than life is.
Nime kutana na type kama zako I swear it's pain in the ass....
Am sure watu wana ku avoid hata ofisini huko uliko sema why? Wana ona kabisa dating you isn't worthy doing.
Kila mtu Ana sifa anazo hitaji...ila over exaggerating of those features.... It's a clear sign you're one of those complicated women.
So be humble... A humble woman is a sweet woman to be with..
Achana na HOLLYWOOD mentality.
Mpeni le mutuzAliyewahi kukaa nje ya nchi eti hahahaaa!!, Huyu dada kwanza anaonekana limbukeni sana, anafikiri kukaa nje ya nchi basi ni mafanikio sana.
Nimewaza sana ,lengo lako kufutahisha au umemaanisha,maana kwa umati wa wanawake mlivyo ijaza Dar kuliko wanaume usingeweka vigezo vya vitisho kiasi hichoWakuu salaam.
Kwa malezi niliyolelewa mimi sistahili kufanya ili jambo, pia kwa mira na desturi za kiafrika sistahili kufanya hiki kitu, lakini huu moyo ni wangu, na mmiriki wa moyo wangu ni mungu. Sasa nikajiuliza kwa nini niendelee kuumia? Hakuna sababu ya kuendelea kuumia? ingawa najua mwanamke kumtafuta mwanaume ni aibu kubwa, ila nikawaza kwakuwa kuna sababu ambayo najua ni muhimu sana akipatikana na nikampenda nitamuweka wazi na atanielewa. Mamayangu amenilea vizuri kwa maadili na heshima, nina Imani ninachokiandika hapa mungu yupo anashuhudia,
Wale mtakaokuja kuniponda eti kwa nini nitafute mtandaoni huku niishiko hawapo? Jibu ni kwamba wapo kibao na wengine nikiri wananililia kunioa but, for the sake of my heart wacha niweke wazi mwanamme ninae mtaka staki wahuni mm sio mhuni mung undo shihidi.
SIFA ZA MWANAUME NINAE MTAKA.
1. Awe na mama yake mzazi/mlezi lakini akiwa na wazazi wot itapendeza sana.kama hana wazazi basi sawa ni mpango wa mungu ingawa itaniuma sana,
Why awe na mama yake? wakuu nataka kumuona huyu mwanamke duniani kote yeye ndo atokee anizalie mme? Nataka kumuona nimwambie ‘mama asante kwa kubeba mimba miezi 9 ukanizalia mwanaume wa ndoa nitakupenda kama mama yangu mzazi.’
2. Awe msafiiiiii. Narudia tena awe msafi kupitiliza spendi mwanaume mchafu sipend aina yeyote ya uchafu, No no nataka siku nikikutana nae macho yangu yadhibitishe kuwa ni msafi,yaan kuanzia kwake ndani mavazi awe smart.
3 Awe mrefu.
4. Rangi Yeyote hainipi shida ila akiwa na ka uweusi Fulani atanoga
5. Awe anajua kuvaa. kama hajui kuvaa smart nitamfundisha hii sector niko vizuri sana
6. Asiwe mwembamba. nataka zawadi za nguo nitakazokuwa nampa zimkae vizuri yaan awe na body size ya kati.(gentleman
7.Awe ana upendo. jamani kama mimi.nasisitiza kama una roho ya paka usijidanganye nataka nionje taste of love
8 Awe ana care, jamani awe na mkono mwepesi hata akinipa pipi ina thamani kwamgu, namiss hii kitu mm natoa sana nikimpenda mwanaume siwezi kutoka mjini bila kumnunulia chochote nguo ndo usiseme.
9.Awe kristo rc na mcha Mungu
10. Awe na miaka 34+ ni lazima.
11. Awe ameshafika stage Fulani ya maisha. Staki mwanaume tegemezi, atleast awe na mradi mmoja wa kumuingizia pesa tofauti na ajira.staki mwanaume mzembe ambae hajui kutafuta pesa. Inshort awe na mipango ya kuwa somebody na future nzuri .staki mwanaume anaemiliki p.u.m.b.u na smartphone.mm ni mtafutaji staki mwanaume wa ovyo.
12,Awe na kucha zote miguuni, napenda weekend nikimkata vizuri kucha zikae fresh avae sandles sometimes pensi fulan amaizing atoke bomba.
13 Asiwe alishawahi kuoa wala kuwa na mtoto nje ya ndoa, Mtoto ni Baraka ila watoto wa nje ya ndoa wanaleta migogoro .staki mme wa mtu mm.
14. elimu degree, masters phd vyote sawa.
15 asiwe mhaya .plz naomba msinielewe vibaya samahani sana mnisamehe
SIFA ZANGU
1. Namshukuru mungu kunipa upendo nina upendo kwa kila mtu
2. Mimi ni msafiiiiiiiiii yaaani ni msafiiiii kupitiliza
3. Nimeajiriwa ila nimejiajiri kimradi changu kidogo pemben tho sipendi kuajiriwa ndo mana nataka mwanaume ambae atanipa sapport tupanga miradi tuwe na maisha bora.
4. Elimu –degree
5. Rangi –mweusi kiasi
6. Urefu size ya kati umbo mm sio bonge.
7. nacare sana nikimpenda mtu nampenda kwa vitendo
8. Sijawahi kumsaliti mtu
9. Dini mkristo –rc
10, najitegemea sitegemei mwanaume vitu vidogovidogo nina uwezo navyo in short mm ni mtafutaji.
11mimi ni mcha mungu.
12 napenda sana competition sipend mme wangu azidiwe na wanaume wengine hasa kimaendeleo
13 sina mtoto na sijawahi kuolewa.
14 nina akili ya maisha yaani IQ yangu ipo juu saa upstairs niko vizuri.
15 Mm ni mchangamfu sana mcheshi namshukuru mungu kuniumba hivi.
16. mm ni mvumilivu ila ikiwa too much, siwezi kuvumilia tena.
N.B. Mimi ni binadamu sijakamilika nina mapungufu yangu lakini hivyo kidogo mungu alichonijalia kinaendana na ukweli niliouandika hapa. hasa sifa zangu.
NOTE. Ningependa nikutane na mwanaume ambae alishawahi kuishi nje nchi yaani ana exposure ya mambo mengi nina sababu ya msingi hasa kimaendeleo / biashara LAKINI AKIDHI VIGEZO VYOTE NO 1-15 . lakini kama hajawahi kuishi nje na ana vigezo hakuna mbaya najua nikiwa nae tutafika mbali.
NINAVYO MISS.
1. Mme wamgu uko wapi? Nimekusubiri nimejitunza nimechoka kukusubiri
2. Nimemiss kukumbatiwa miaka sasa
3. Nimemiss kukiss staki kukiss na jitu la ajabu lichafu
4. Nimemiss kubebwa
5. nina upweke staki kukaribisha vijianaume vya ajabu kwangu
6. Uko wapi baba nikupikie uone ninavyojua kupika.
7. Njoo uone nilivyo msafiii sijawahi kuingiza mwanaume kwangu njoo uone kwangu nilivyo msafi
8. Njoo uone ninavyojipenda
9. Njoo nikuoneshe upendo
10 Njo baba mama yangu anataka kukuona.
11. Namiss neno baba njoo nikuite baba.
Kiukweli nimeniss vingi sana sio kwamba nilipo hakuna wanaume wapo wengi kazini ila nataka wangu wa moyo nimuoneshe upendo nae anioneshe maana hiki ndicho ninachokimiss kutoka kwa mtu nimpendae.
Mwisho mm ni mwanamke ninaejitambua wale ambao mtakuja hapa kunitusi eti nichonge au nizae mme wangu nawaomba tafadhari mkae kimya najua ninachokita. na nina imani huyu mtu mwenye sifa hizi yupo.
Angalizo.
kama unajua huna vigezo hivyo hapo juu plz usijisumbue kuja pm maana niko makini, najua kuna vitoto vinavyomiliki laptop baada ya kupaya mkopo wa board vitakuja plz tuheshimiane ninaomba.
Karibuni.
Ulishaona nimeleta tangazo la kutafuta Mme humu?Hahahhh.....hacha kudakia tangazo la mwenzio.....na wewe toa lako tuone vigezo gani unatoka na vyako pia...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lakini mbona haya matangazo yamekuwa mengi siku hizi kuliko siku zote za jf?, haiwezi pita wiki au siku bila kukutana na tangazo la kutafuta mchumba????, kwa nn??, au idadi ya wanaume ni ndogo kuliko wanawake au wanaume hawajui kutongoza au tatizo nn aswaaaaa????, miss natafuta, miss chaga, kasie, kapeace, witnessj na wengine majibu tafadhali.....
tatizo lako chura? mm sina ila namshukuru mungu hicho kidogo nilichonacho.
Hivi inabidi umuumbe wakwako
Kwa sie tilio zaliwa na wanawake wenzio tutakupa kero