Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Alafu kweli huyu pacha wangu...hadi sifa zote kama zangu ninazozitaka
Si ndio maana ukanigandaaa kama luba.
Na ungekuja nikiwa sina mtu ndoa ingekuhusu. Hao wamasai wangetaka ng'ombe mia tano ndio wangetujua wapare. Ningemtonya mzee mzima wamwananyamala mshana na tungewatengeneza hao wamasai na chumambele zao tungewaletea mbuzi mmoja tu dadeki
 
Aliyewahi kukaa nje ya nchi eti hahahaaa!!, Huyu dada kwanza anaonekana limbukeni sana, anafikiri kukaa nje ya nchi basi ni mafanikio sana.
 
Anakuja 2030, msubili
 
Wewe mwamamke unaonekana ukiolewa utakua unamchamba mmeo kumshinda mange kimambi!
 
dear nakuomba rudi kwenye uzi wangu usome sehemu nilipoandika kuusu kuishi nje plz go an read, hii kwangu sio lazima nimeweka wazi
 
SIFA NUMBER 6.

Body size ni moja ya kigezo cha mwanaume kua Gentlemen???

Wapi uliona hio? Nani kasema? Bullshit...

Being a Gentleman is all about actions/ affections towards a woman or man.

Any man who shows affection to a woman is highly considered to be a gentleman..

Body size is not and it will never be a guarantee for a any man being a gentleman.


Hahahaha! I wish I could see you physically.....
 
Nimewaza sana ,lengo lako kufutahisha au umemaanisha,maana kwa umati wa wanawake mlivyo ijaza Dar kuliko wanaume usingeweka vigezo vya vitisho kiasi hicho

Labda angekuwa X wife Mond tungewahi nafasi pale maana noti ipo
 
Ulishaona nimeleta tangazo la kutafuta Mme humu?

Au nilishawahi kukutaka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…