Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

Ww kabila gan kwanza tujue?? Maana unatukataa sjui y...af cha ajab wengi wenye cfa hzo zote ni wahaya sasa...hahhhaaaaaaa
 
Sasa huu ni upunguani, usikute Malaya, kila mtu kachovya, au sura mbayaaa, kuna mmoja alishawahi kutoa tangazo lake hapa, sifa kibao, nikamfata pm. Tukajadiliana, nikamtumia picha za uongo, basi akaingia mwenyewe. Akanipa namba, tukuanza kuchati, siku nakutana nae Mungu wangu, asee hapana nilimuuliza Mara mbili mbili ni wewe mwenye I'd hii, ooh ni Mimi. Nakapiga stori pale, tulipoacha tu, nikablock kabisa namba zake. Sasa usikute anatajia sifa nyingi kumbe mtu mwenye wa hovyo hovyo
 
Yan mwanaume awe na 34+
Asiwe na mke wala mtoto Af awe mtafutaji? Umeshindwaje kujiuliza atakua anamtafutia nani.


Af umegoma kutaja umri wako kwa nn?
 
Usafi wa kupitiliza ni aina fulani ya ukichaa, hivyo ilibidi upitie Milembe kidogo warekebishe IQ yako hiyo unayodai iko vizuri. Biologically mtu anayehangaika kufanya usafi sana is not okay upstairs, prove me wrong!
So mkuu unamshauri atafute mchafu kidogo?Au na wewe ndio wale msiofua nguo za ndani hadi ichore ramani?
 
Hizo mbio zako, utasimamishwa na umri, narudia tena umri haujawahi kusema uongo..! CHEZEA PESA, KAZI, MIRADI ILA USICHEZE NA KITU KINAITWA UMRI/MUDA UTAAMBUKA.

Ushauri wa bure.

Nenda katubu kwa padri na umuombe Mungu msamaha kwa kutukana na kudharirisha viumbe wake wanaume.
 
Ila wewe mwanamke utakuwa upo romantic sana, Mimi nimekupenda sema vigezo vimenishinda.
 
Haya chacha!! "Reo ni reo".
 
Miaka 34+ sina hata mtoto.?
Vipi mimi niliyefiwa na mama.?
Degree + masters bado niko single tu.?
Mrefu + asiwe mwembamba + msafi!!!

Dada ukimpata ana vigezo vyote ulivyoandika mchunguze vizuri lazima kuna mahali ana kasoro.

Tatizo mnapenda Already made. Hamtaki kuanzia chini mnabadilishana ndani kwa ndani.

We lazima utakua 30+ jichunguze tena
 
Ila si huna chura.
Sisi twataka wox2.. Ila mtafute Daby huyu atakufaa.
Anaishi uholanzi ulaya huko.
Wewe mdanganye mtoto wa watu aje nimchungishe n'gombe apigwe jua viganja vikakamae hata kushika simu aombe ushauri JF ashindwe.

Huyu chura anayo tena kubwa tu.. halafu anataka bwana aliyeishi sio anayeishi ulaya.... Wewe au Dr. Shika mnamfaa saana.
 
A very sincere ad, nimekosq vigezo vichache hapo hasa umri na unene

All the best dada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…